Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Msukuma uduni wa elimu ndio unaomla,
siku zote alikuwa wapi kuhoji hayo kama si hofu imezingira, na huenda ni mtumiaji au muuzaji hawezi tu kulipuka bure, hiyo ni defense mechanism kama yumo asubiri kutajwa........
The saga Continue


But still Makonda ana hoja ya kujibu kuhusu huo utajiri wake!
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

we teja??

huyo msukuma ni mbunge si aende mahakamani?

umeongea utopia, mwenzako makonda anafanya action ambazo ndio topic zenu

ulichoongea hapo juu ni hadithi za kudhania tu
 
Hii 05:00 unamaanisha saa kumi na moja alfajiri ama? Nilivyofundishwa mimi ni kwamba masaa yanaandikwa kwa namna mbili. Either kwa kutumia mfumo wa masaa kumi na mbili yaani 05:00PM/AM ambayo ni saa kumi na moja alfajiri au saa kumi na moja jioni au kwa masaa 24 yaani 0500HRS ambayo humaanisha saa kumi na moja alfajiri. Wewe umemaanisha muda upi mkuu? Au ulitaka kumaanisha saa tano asubuhi?
Kumbe ndio maana kina Escobar huwa mnapigwa risasi hadharani
Sababu huwa mnafanya makosa madogo madogo yanayowaudhi watu,na watu wanajiuliza huu ni uzembe au makusudi?Unamkumbuka Escobar wa Colombia aliyepigwa risasi kwa kuifungisha team yake Kombe la Dunia?

Mbona nimeandika 05:00 asubuhi?Kwa "common sense" tu unafikiri inweza kuwa saa kumi na moja alfajiri?Au ndio unathibitisha "Not all common senses are common"
 
Tusubiri kuyaona na kusikia ambayo hatujawahi kusikia..!
 
Nawashauri Idara ya Usalama wa Taifa kumdhibiti Makonda.
Boss wake juzi amemsifia tena amemtaka atembee KIFUA MBELE, hiyo Idara itamdhibiti vipi unadhani??
 
Hii 05:00 unamaanisha saa kumi na moja alfajiri ama? Nilivyofundishwa mimi ni kwamba masaa yanaandikwa kwa namna mbili. Either kwa kutumia mfumo wa masaa kumi na mbili yaani 05:00PM/AM ambayo ni saa kumi na moja alfajiri au saa kumi na moja jioni au kwa masaa 24 yaani 0500HRS ambayo humaanisha saa kumi na moja alfajiri. Wewe umemaanisha muda upi mkuu? Au ulitaka kumaanisha saa tano asubuhi?
Wewe ndo unajichanganya. Mleta mada kaandika vizuri na tumemwelewa. Rudi kasome tena mada
 
Hii movie ni tamu mi napenda iendelee
Maana tutasikia mengi
Ktk vitu ambavyo nahakikisha ni kuwa na bando la kutosha maana sitaki kupitwa na episode sinavyotoka
Siku hizi siaangalii tena tv maana simu inakila kitu

Najua leo huo muda itazinduliwa new episod
 
mimi ni tajiri kuliko makonda njoo mniulize

kama msukuma analipenda taifa angetakiwa kulisemea kabla ya makonda kuamka na hii operations

makonda anakamata, anafanya

msukuma anasema tu...

ona tofauti ya wanaume hapo

Hongera kawa kuwa tajiri ndugu Waberoya natumai umeupata huo utajiri kwa njia zilizo halali kabisa.

Hoja kwa Mamkonda sio utajiri tu bali muda alio upata huo utajiri! Mishahara ya RC na DC inajulikana na amseshika vyeo hivyo kwa miaka mitatu tu.

And dont get me wrong I dont support Msukuma in any way of his! Just another crook to me.......
 
Wamekaa kimya miaka mingapi na hakuna la maana lililofanyika ? Huko nyuma ni drug dealers wangapi habari zao zilikuwa zinajulikana

Hii vita inahitaji massive campaign na ilipaswa hii vita itangazwe na PM,Waziri wa Mambo ya Ndani,Polisi washirikiane na vyombo vya habari hata wale wanaofanya hii biashara wafahamu kuwa now mambo yamekuwa tofauti.Duterte anawakamata na anawaua na ametangaza vita hadharani kabisa

Massive campain = true 100%

Makonda anafanya oneman show off


Massive campain ni wao huko ndani ya office zao kwa ushirikiano wa wizara husiki, idara za upelelezi, ikulu, wadau husika, magereza nk


Hii sio siasa majukwaani.......ni vita kubwa wa sio ya kimkowa tu nk.
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.

unamaanisha Nape na Msukuma hawaeleweki??
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Wawakilishi wepi hao wanaopiga kelele kina Musukuma au Nape, kwa hiyo wewe unataka wakae kimya kama kina Mwigulu, mbona Lumumba hamueleweki.
 
Hongera kawa kuwa tajiri ndugu Waberoya natumai umeupata huo utajiri kwa njia zilizo halali kabisa.

Hoja kwa Mamkonda sio utajiri tu bali muda alio upata huo utajiri! Mishahara ya RC na DC inajulikana na amseshika vyeo hivyo kwa miaka mitatu tu.

And dont get me wrong I dont support Msukuma in any way of his! Just another crook to me.......

mkuu kabla ya hapo utajiri wake ulikuwaje? na then ulivyoongezeka umeongezeka kwa sh ngapi? mtoa tuhuma ana data kuhusu hili?
 
mkuu kabla ya hapo utajiri wake ulikuwaje? na then ulivyoongezeka umeongezeka kwa sh ngapi? mtoa tuhuma ana data kuhusu hili?

Nunua gazeti la Mwananchi la leo wameweka vizuri sana wasifa wake na ni rahisi kuona jinsi alivyopata utajiri huo!!!
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.


Nilipokuwa nasikia hawa mapapa wa madawa ya kulevya wananguvu sana nilijihoji maswali wananguvu gani na wanazitumiaje, kumbe wanatumia watu kama hawa watoa post kudhohofisha mtu yoyote anayepambaba nao? Yaani wanatumia mbinu ya kumbambika tuhuma kama zao.

Najihoji mwananchi mzalendo unayeona madhara ya madawa haya unawezaje kupinga harakati izi za Makonda mtu ajafanya kazi aliyokusidia lakini tayari umeishamuhuku kuwa ameferi kama wewe si muuzaji au mnufaikaji ni nini kinakukereketa hadi unashindwa kuwa na subira ya kuona Makonda anafikia wapi.

Unataka mapapa mapapa unawajua wewe? Kama unawajua mbona kwenye post yako haujataja hata mmoja why uwezi kuwataja pamoja na kuwa unatumia ID feki.

Tupunguze miemko, nchi ni yetu sote hawa viongozi tumewakathimisha madaraka kwa muda tu.
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
mpelekee Makonda ripoti ili aifanyie kazi , na mkumbushe majina 58 ayafuate ikulu babo yapo .ENDELEA NAWE KUCHEZA NGOMA NA MKURUPUKAJI MWENZAKO
 
Back
Top Bottom