Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Nilipokuwa nasikia hawa mapapa wa madawa ya kulevya wananguvu sana nilijihoji maswali wananguvu gani na wanazitumiaje, kumbe wanatumia watu kama hawa watoa post kudhohofisha mtu yoyote anayepambaba nao? Yaani wanatumia mbinu ya kumbambika tuhuma kama zao.

Najihoji mwananchi mzalendo unayeona madhara ya madawa haya unawezaje kupinga harakati izi za Makonda mtu ajafanya kazi aliyokusidia lakini tayari umeishamuhuku kuwa ameferi kama wewe si muuzaji au mnufaikaji ni nini kinakukereketa hadi unashindwa kuwa na subira ya kuona Makonda anafikia wapi.

Unataka mapapa mapapa unawajua wewe? Kama unawajua mbona kwenye post yako haujataja hata mmoja why uwezi kuwataja pamoja na kuwa unatumia ID feki.

Tupunguze miemko, nchi ni yetu sote hawa viongozi tumewakathimisha madaraka kwa muda tu.
Hapa hakuna kitu. Ni maigizo tu. Anatuma message kwa wale mapapa kuwa wawe waangalifu huku watumiaji wachache wakitolewa kafara
 
Boss wake juzi amemsifia tena amemtaka atembee KIFUA MBELE, hiyo Idara itamdhibiti vipi unadhani??
Huenda alikuwa hajazipata habari za Msukuma na yaliyojiri ziarani Asia, ulaya na America.
Na kama kazipata naona atamwondolea kazi na ulinzi kwani hii in dharau sasa juu ya vita ya ufisadi inayonadiwa kupiganwa huku wateule wakiendelea kuzipiga kuliko zamani.
Na kwa mtindo huu mahakama ya mafisadi haitompata hata mteja mmoja.
 
Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.

Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Sasa hivi tumeanza kuona mwanga sasa. Bavicha walikuwa wanakupoteza mzee
 
Massive campain = true 100%

Makonda anafanya oneman show off


Massive campain ni wao huko ndani ya office zao kwa ushirikiano wa wizara husiki, idara za upelelezi, ikulu, wadau husika, magereza nk


Hii sio siasa majukwaani.......ni vita kubwa wa sio ya kimkowa tu nk.
Hii vita inahitaji approach mpya ,matatizo ya madawa ya kulevya yapo kabla Makonda hajawa RC lakini hizo agency hazijawahi kufanya lolote na polisi wanaifahamu hii biashara vizuri na ni washiriki wakubwa kwenye hii biashara ndio maana umeona ile list waliokamatwa kuna polisi wengi.Hii vita inakuwa one man show sababu wafanyabiashara na vigogo wa idara za serikali ni wadau wa hii biashara.Hata Duterte anafanya one man show na amepata upinzani mkubwa sana lakini ameendelea kuwaua na wengi wamekimbia na hata wale waliokuwa wanataka kuingia kwenye biashara wanajua mambo yamebadilika. Vile vile madawa ya kulevya yanaingilia na kutokea DSM na pia ndio kuna watumiaji wakubwa

Makonda anapata upinzani kwa mambo mengine aliyofanya huko nyuma lakini kwa hili yuko sawa,kelele zake zinasababisha matatizo mengi yanazidi kujulikana
 
Anaipenda clouds kwasabubu
1..ndio wanamuandikia na kumuandalia mipango
2..ndio aliwahi kusema wana akili kuliko staff wa office yake
3..Pele yy km mtangazaji

NB Luna vijana pale kawanunulia hadi magari
1.yule wanamuita muuza magazeti kapewa Benz Mercedes
2..kuna mpiga picha wa video pale kampa rav 4

Kifupi wale clouds ndio wajanja wake
 
UKAWA wanasapoti wauza mihadarati!!? Siamini! Hizi siasa zitaichafua nchi
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.

Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Umeonge kitu kikubwa sana Mkuu kama walioko polisi wote waliitwa kuhojiwa wakabaki huko mpk Leo na kwake iwe hivyo kupitia tuhuma zinazomkabili
 
Hii 05:00 unamaanisha saa kumi na moja alfajiri ama? Nilivyofundishwa mimi ni kwamba masaa yanaandikwa kwa namna mbili. Either kwa kutumia mfumo wa masaa kumi na mbili yaani 05:00PM/AM ambayo ni saa kumi na moja alfajiri au saa kumi na moja jioni au kwa masaa 24 yaani 0500HRS ambayo humaanisha saa kumi na moja alfajiri. Wewe umemaanisha muda upi mkuu? Au ulitaka kumaanisha saa tano asubuhi?
Umemwelewa vizuri tu ila ujuaji wako
 
Nilipokuwa nasikia hawa mapapa wa madawa ya kulevya wananguvu sana nilijihoji maswali wananguvu gani na wanazitumiaje, kumbe wanatumia watu kama hawa watoa post kudhohofisha mtu yoyote anayepambaba nao? Yaani wanatumia mbinu ya kumbambika tuhuma kama zao.

Najihoji mwananchi mzalendo unayeona madhara ya madawa haya unawezaje kupinga harakati izi za Makonda mtu ajafanya kazi aliyokusidia lakini tayari umeishamuhuku kuwa ameferi kama wewe si muuzaji au mnufaikaji ni nini kinakukereketa hadi unashindwa kuwa na subira ya kuona Makonda anafikia wapi.

Unataka mapapa mapapa unawajua wewe? Kama unawajua mbona kwenye post yako haujataja hata mmoja why uwezi kuwataja pamoja na kuwa unatumia ID feki.

Tupunguze miemko, nchi ni yetu sote hawa viongozi tumewakathimisha madaraka kwa muda tu.
Makonda hatumpingi ila tunamchana ukweli wa mambo ulivyo ,vita vya madawa ya kulevya hazikuwa za mkuu wa mkoa naomba nikukumbushe KITWANGA alivyotuambia kabla hajamwaga unga "hatuwezi kuwakata kuwataja ila tumeandaa mkakati wa kuzia madawa yasiingie nchini '
Pili kazi hii ilipaswa kufanywa na RAIS ,MAKAM NA WAZIRI MKUU kwa sababu majina ya mapapa wanayo ikulu yaliachwa na JMK
 
Kwanini asiende TBC ?? Tunakolipia kodi zetu .
Huko MAWINGU kuna nini si nimeskia nao wako kwenye ile list au atawasafisha kwenye tuhuma
Why mawingu ?
Kazi ya serikali inafanyikia kwenye vyombo binafsi dah na mbana matumizi analiona hilo ujinga wa kijinga kwenye ujinga waambiane wajinga wenzao sisi tunajua kilichonyuma ya kinachosemwa
 
Makonda anawafungulia milango GSM kuwa wamiliki wakuu wa biashara ya madawa ya kulevya. Hii dhana inaleta maana.
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.

Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Thanks for info mkuu hatukuwahi kujua hayo uliyoyataja yalitokea na yakafanikiwa.
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Mmh,acha kuropoka jamaa yangu,wameumbuana so far ni ccm wenyewe,tumemsikia waziri wa michezo,tumemsikia mbunge wa ulanga tumemsikia mbunge wa geita vijijini wote hawa ni makada wa ccm,hata hao uliowataja ni ccm kitambo.
 
Nasema tena Adili na Akina wema na chid Ila Hao wengine Tutabaki kuwasikia tuuu

Mizizi yao ni mikubwa
 
Anaipenda clouds kwasabubu
1..ndio wanamuandikia na kumuandalia mipango
2..ndio aliwahi kusema wana akili kuliko staff wa office yake
3..Pele yy km mtangazaji

NB Luna vijana pale kawanunulia hadi magari
1.yule wanamuita muuza magazeti kapewa Benz Mercedes
2..kuna mpiga picha wa video pale kampa rav 4

Kifupi wale clouds ndio wajanja wake
Umesahau bosi wao kusaga anakula na kuuza unga
 
Back
Top Bottom