Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa sawa je mbinu alizotumia zilikuwa sahihi kuwatangaza hazarani ? je hao aliowataja ni nani aliefungwa ? kama hawajafungwa kwa nini aliwataja ? kwa nini pia anatumia sana kituo ambacho pia kinahusishwa na inshu ya madawa ? ukitaka kumkosoa mwenzako anza kwanza na wewe MAKONDA ni mtoo wa masikini anavyosema yeye nini juu ya ukwasi alionao kautolea wapi ? au na yeye anahusika na ngada ? anataka kuwaharibia soka hawa ili nae watu wake wapige kazi kwelikweli ?Ukitaka kuamini kila alichokifanya JK anzia kwenye issue ya reli SG na jiulize kwanini Magufuli amezikataa tirioni 17 ambazo wachina walikuwa tayari kutoa kama mkopo nafuu. Kiongozi usizungumzie issue ya madawa kwa utawala wa JK kama kweli una historia kidogo na ilo. Hivi raisi kufikia hatua ya kutolea mfano mkewe kuwa kama wanahisi anauza wamkamate haukuelewa maaana yake.
Vita ya madawa ni vya jeshi la Polisi na nguvu ya mkuu wa mkoa ni kubwa kwenye mkoa wake ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama kwenye mkoa wake.
Makonda anafanya kazi nzr sana lakini mnamvunja moyo sana. Ebu chukulia ungekuwa ni wewe utajisikiaje.
Huyo Kitwanga hachana nae maana kashifa zake zilikuwa wazi pengine madawa alikuwa anatafuta sababu tu.
Haahaahaa, pole sio ccm watanyooka? maana naona msukuma kashupaa kweli kweli..Safi sana Makonda,
Chadema watanyooka tu
Mwacheni makonda afanye hii kazi. Porojo zingine unazozifahamu peleka polisi. Hii vita I atakiwa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye akili timamuMakonda ana chuki flani amaizing, yaani anakwenda clouds TV kupigilia msumari kuwa Majizo EFM TV anauza madawa? huyu jamaa anatumika kwa maslahi ya wengine na hajui kama anatumika.
Makonda anakurupuka na kwa hili ni lazima sasa anajuta, hakujua kuwa yupo kwenye nyumba ya vioo alivyoanza kutupa mawe, hahaaahaa, aseme mfadhili wa mambo yake sasa.Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa sawa je mbinu alizotumia zilikuwa sahihi kuwatangaza hazarani ? je hao aliowataja ni nani aliefungwa ? kama hawajafungwa kwa nini aliwataja ? kwa nini pia anatumia sana kituo ambacho pia kinahusishwa na inshu ya madawa ? ukitaka kumkosoa mwenzako anza kwanza na wewe MAKONDA ni mtoo wa masikini anavyosema yeye nini juu ya ukwasi alionao kautolea wapi ? au na yeye anahusika na ngada ? anataka kuwaharibia soka hawa ili nae watu wake wapige kazi kwelikweli ?
Aliseme na la "makongo"Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.
Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Clouds Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.
Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...
Tega usikie....(Stay Tuned)
Kina Wema ndio Chadema, kama huna cha kuihusisha Chadema bora uwe unakaa kimya.Safi sana Makonda,
Chadema watanyooka tu
Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa sawa je mbinu alizotumia zilikuwa sahihi kuwatangaza hazarani ? je hao aliowataja ni nani aliefungwa ? kama hawajafungwa kwa nini aliwataja ? kwa nini pia anatumia sana kituo ambacho pia kinahusishwa na inshu ya madawa ? ukitaka kumkosoa mwenzako anza kwanza na wewe MAKONDA ni mtoo wa masikini anavyosema yeye nini juu ya ukwasi alionao kautolea wapi ? au na yeye anahusika na ngada ? anataka kuwaharibia soka hawa ili nae watu wake wapige kazi kwelikweli ?
Kapigana vita vibaya sana, kwa nini hawakamatwi watu na mzigo? why wanaambiwa wako huru watuhumiwa ila WASIFANYE KOSA? kosa lipi? Wale mateja aliokuwa anaongea nao mbona hakuwapekleka polisi? ni yupi kati ya watuhumiwa aliekutwa na unga? Vita hii kila mtu anaipenda hakuna mtu anapenda madawa ila makonda haja deal na wauzaji wa madawa ya kulevya haswa ndio maana mpaka sasa hatujaona mzigo wowote uliokamatwa na bado mateja wanaendelea kulewa tu mitaani, wanalewa na mzigo wa wema? Tunda? Acheni masihara jamani.Mwacheni makonda afanye hii kazi. Porojo zingine unazozifahamu peleka polisi. Hii vita I atakiwa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu
Cha msingi muache tu hii biashara sio kushupaza shingo kwa mtu anayejitoa sadaka kulinda Taifa lake.Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.
Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.
Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.
Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga
Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.
Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia
![]()
Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Sawa, hiyo inategemea na utashi na busara za muhusika, ila sheria huwa zinakata kuwili.Kusema una mchepuko ndio kosa..si ukatae tu
kwasasa nan kwambia? huyu ndie mtu aneongoza kutoa misaada kwa upinzani ukimtoa Sabodo na rostam baada ya Lowassa kuingia palemido luly
Huwe mtenganisha wakwimba na wa chato
kwajima yupo ccm kwasasa 100%
ok lakini wanaemsema makonda ni wanaccm wenzake pili mawingu nikukumbushe tu inshu ya mangwea ilikuwajeIssue ya clouds kuusishwa na madawa ilo ni jungu tu, Makonda kuusishwa na ukwasi wa pesa mkuu ilo nakuakikishia ni uzushi mkubwa sana. Kuwataja hadharani mie nashangaa mbona. Hawa sio watu wa kwanza? Ebu tuone watu waliotajwa sana na kukashifiwa kupita kiasi. Lowasa, R. Azizi, Membe, Tibaijuka, Mbowe Zitto nk
Ndyo unavyoaminishwa sababu wanajua watz wengi huwa hawafikirii wao ni kuambiwa ndicho wanaamini.Cha msingi muache tu hii biashara sio kushupaza shingo kwa mtu anayejitoa sadaka kulinda Taifa lake.
Pole sn, umesahau kua anachopigania ni kwa ajili yetu na vizazi vyetuAkomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.
Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!