Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Saa tano si ndo hii ngoja tusubir kidogo tuone mheshimiwa atakuja na tamkoo ganii
 
Mwanzo nilimuunga mkono Mkono jamaa nikidhani hii vita ni for real, hata hivyo Hukumu ya Jana imethibitisha kuwa hao waliokamatwa ni insignificant, hawana impact yoyote katika biashara ya madawa!

Wema naona ameamua kumtunishia msuli wa kimamlaka!

Hii ni aibu!
Na utu uzima wako wote ukaamini kuwa makonda atapambana na hawa watu wa madawa. Pole sana!
 
Sijaona kiongozi yoyote kuanzia ccm mpaka nje ya ccm anaeweza kupambana na madawa ya kulevya hayupo, huyo kaamua kututoa kwenye reli tu ya matokeo ya form 4 hana zaidi
 
Wamekaa kimya miaka mingapi na hakuna la maana lililofanyika ? Huko nyuma ni drug dealers wangapi habari zao zilikuwa zinajulikana

Hii vita inahitaji massive campaign na ilipaswa hii vita itangazwe na PM,Waziri wa Mambo ya Ndani,Polisi washirikiane na vyombo vya habari hata wale wanaofanya hii biashara wafahamu kuwa now mambo yamekuwa tofauti.Duterte anawakamata na anawaua na ametangaza vita hadharani kabisa
Kwahiyo makonda hii vita sio yake?
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Tangu lini Gwajima alikuwa Mlezi WA CHADEMA? Hivi kina Msukuma na Nape nao Ni CHADEMA? Kusema vidagaa wanaonewa wanaachwa mapapa si ndo njia nzuri ya kugundua kuwa wapo Mapapa kwenye dawa za Kulevya na sii ajabu wanafichwa? Kuwa mwanaccm unahitaji kuwa mfu!
 
Unga haukamatwi hivyo labda dona kwa maneno maneno na ujanja ujanja tuu...
 
Kwanini asiende TBC ?? Tunakolipia kodi zetu .
Huko MAWINGU kuna nini si nimeskia nao wako kwenye ile list au atawasafisha kwenye tuhuma
Why mawingu ?

Mkuu, umefanya vizuri kunikumbusha kuhusu TBC, hivi kumbe bado ipo?
 
Huyo WEMA anaandaliwa mashtaka mengine ya kumtukana Mkuu wa mkoa na kutoa lugha zilizokosa maadili, Ili akipandiswa mahakamani ajibu tuhuma zote!
Ukweli maneno aliongea alikua polisi na chini ya ulinzi ni mahijiano . Yeye hakua na simu hivyo walotoa nje ndio wamevunja masharti ya mahojiano....
 
Kuna sehem wema alimuita boss mat*k* km ukisikiza ile clip vizur
Hio ni clip akiwa chini ya ulinzi wa polisi. Ilikua ni sehemu ya mahijiano.
Hakua na simu. Aloyatoa nje ndo kafanya kosa
 
Hio ni clip akiwa chini ya ulinzi wa polisi. Ilikua ni sehemu ya mahijiano.
Hakua na simu. Aloyatoa nje ndo kafanya kosa
Kwa hyo kutukana ni sawa?mi naona aliyemrecord na kuisambaza ndo kamuharibia wema ila aliyerecord sidhan km atapata tuhuma
 
Makonda kaingia gizani nini? Mbona ni saa 11:11 asubuhi.
about-lovely-monkey-font-b-listen-b-font-font-b-radio-b-font-vintage-paper-poster.jpg
 
Mkuu wa mkoa anaongea saa 5 ya kingereza yaani saa 11 au mbona giza tu na sasa ni saa tano inaelekea na nusu au kaahilisha.
mwenye kujua atujuze popcorn zinaisha
 
Mkuu wa mkoa anaongea saa 5 ya kingereza yaani saa 11 au mbona giza tu na sasa ni saa tano inaelekea na nusu au kaahilisha.
mwenye kujua atujuze popcorn zinaisha
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia

43f5dd645d2131afae370625a6bdbe00.jpg


Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Respect,watu tulivyokuwa tunasema hii vita ni ngumu tulitarajia lazima watajitokeza wengi kumpinga Makonda.Angalia jinsi Polisi,Mwigulu walivyokuwa kimya
Ukimya wa Mwigulu kuhusiana na swala hili unatia mashaka sana.Jamani hata pamoja na bosi wake kuliongelea,yeye hajaamsha hata mdomo!Why?Kweli ni vigumu kujua nia halisi ya RC. Makonda katika hili swala,lakini yeye kama Waziri wa Mambo ya Ndani alipaswa kutoa msimamo wake hata kama ni kwa ku-pretend tu.
 
Mkuu wa mkoa anaongea saa 5 ya kingereza au? yaani saa 11 au mbona giza tu na sasa ni saa tano inaelekea na nusu au kaahilisha.
mwenye kujua atujuze popcorn zinaisha
 
Back
Top Bottom