Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Daaah [emoji32] [emoji27] aisee umenikumbusha Machungu!!! Apumzike kwa Amani... Amina Chifupa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah [emoji32] [emoji27] aisee umenikumbusha Machungu!!! Apumzike kwa Amani... Amina Chifupa
amesema amewaita kuwahojiUnapomtaja mtu uwe na ushahidi, Je makonda anapata wapi ujasiri wa kutaja majina ya watu hadharani bila ushahidi?
Tundu lissu sasa ye mwanasheria wa chama je atakuwa tayari kwenda kumtetea mwenyekiti wake kama atapelekwa kisutu?Nilijua tu hizi nguvu za kuwatetea wauza Sembe ni kwamba chadema wanahusika na uuzaji Sembe, sasa Tundu Lisu abanwe mpka aseme Sembe huwa wanatoa wapi!
Kuna watu wamenuna ujueMlitaka mapapa sasa yametajwa....hii movie inazidi kuwa tamu leo watu wataropoka sn naona
moto chini namuunga mkono makonda ila usisahau upande wa pili kwenye kusibitisha kama kweli hizo ndo biashara zao mwanzo wametajwa
makonda mwishoni kamalizia kwa kusema tuliowaachia tuliwataka wawataje na kushirikiana na sisi ina maana kama hukutaja hutoki swali je kama mtu alitaja ili atoke inakuwaje?
Take your time dudeSidhani kama teja anaweza kukubaliana na makonda aka Duterte.
L.akini amesema kwa wale anaowataja, taarifa zao wanazo kuliko hata wanavyofikiria. stay tunemoto chini namuunga mkono makonda ila usisahau upande wa pili kwenye kusibitisha kama kweli hizo ndo biashara zao mwanzo wametajwa
makonda mwishoni kamalizia kwa kusema tuliowaachia tuliwataka wawataje na kushirikiana na sisi ina maana kama hukutaja hutoki swali je kama mtu alitaja ili atoke inakuwaje?
Dereva wa helikopta yake ni ndugu yangu, ananiambia kapigiwa simu na Mchungaji msaidizi wa Gwajima ajze Helikopta full tank...🙂Gwajima ndani....
I don't agree with you totally.Huyu ni mtu muhimu sana katika vita hii. Bweka yake itawafukuza mbweha!Mbona Rais katoa msimamo wake? Kafanya hivyo kwa kuwa anajua uzito wa kauli yake.Waziri wa Mambo ya Ndani naye anapaswa kutambua uzito wa kauli yake katika vita hii.hii vita sio ya kuropoka ropoka. hili sio swala la sukari au mahindi ya njaa. tusimjudge mwigulu
Kuna haja Kubwa ya hawa Jamaa Kurudi tena Shule za Jornalism aisee. Mwandishi wa habari anapaswa Kuwa Msomi wa Hali ya Juu.Ndiyo maana hata ile siku ya magufuli waliboronga.
Hata mkuu wa mkoa anaweza piaHivi hili suala kwa nini asilishughulikie waziri husika? Badala ya kushughulikiwa na mkuu wa mkoa,,,
ana ushahidi au ndio amekuja kuchafua watu?Walitaka mapapa watajwe, hao hapo sasa!!!! Waseme lingine
Good question, unajitambua.Hivi hayo anayoyafanya makonda ni ya hadhi yake kweli?
Hivi waziri na naibu wake wapo wapi?
Nahisi kunatatizo kwa kinachoendelea