niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
na mapapa watataja mapapa wenzao.Mlitaka mapapa sasa yametajwa....hii movie inazidi kuwa tamu leo watu wataropoka sn naona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mapapa watataja mapapa wenzao.Mlitaka mapapa sasa yametajwa....hii movie inazidi kuwa tamu leo watu wataropoka sn naona
umeandika kutumia kiungo kipi?Hawa jamaa Tundu Lisu na Mbowe nilijua tu ni lazima wanauza na wanatumia Sembe!
Halafu walitaka tuwakabidhi nchi hawa wauwaji wa Vijana wetu? Yaani Mbowe na Tundu Lisu ndiyo wangekuwa Ikulu sasa hivi, hii Nchi kweli Mungu anatupenda!
Naona baada ya kukosa Mbowe kila mahali naona hii ndiyo ngazi ya mwisho kumbambikizia madawa any way ngoja tusubiri ushahidihivi mbona kila kitu hamtaki sasa shida ni yeye kujuana na matajiri au shida ni MBOWE na GWAJIMA kutajwa hahahahahaha
Dereva wa helikopta yake ni ndugu yangu, ananiambia kapigiwa simu na Mchungaji msaidizi wa Gwajima ajze Helikopta full tank...🙂
Ili nitoke ningemtaja yy mwenyewemoto chini namuunga mkono makonda ila usisahau upande wa pili kwenye kusibitisha kama kweli hizo ndo biashara zao mwanzo wametajwa
makonda mwishoni kamalizia kwa kusema tuliowaachia tuliwataka wawataje na kushirikiana na sisi ina maana kama hukutaja hutoki swali je kama mtu alitaja ili atoke inakuwaje?
Nazitaongeza nyingi sana.Ona uzi hauna lisaa lkn comments zaidi ya 500
Siwezi bisha Ila jiulize mapapa walio wafazili wa chama kubwa na hata member wao mbona hawatajwi ?Hapana Mbowe ni muuza poda
kama taarifa zake unazo wasiliana na mkuu wa mkoa wa dsm.Mbona Ridhiwan Kikwete Hajatajwa hapo sasa?
Yule dogo wa Kisukuma ni ndugu yako?Dereva wa helikopta yake ni ndugu yangu, ananiambia kapigiwa simu na Mchungaji msaidizi wa Gwajima ajze Helikopta full tank...🙂
Huyo WEMA anaandaliwa mashtaka mengine ya kumtukana Mkuu wa mkoa na kutoa lugha zilizokosa maadili, Ili akipandiswa mahakamani ajibu tuhuma zote!
Asisahau kujibu zile tuhuma za Wema kwenye ile video ya Mange!!
mmiliki wa slipway si huyu mwenye zile ndege za coastal aviation, au nitakuwa nimekoseaMakonda aendelea kuwataja wahusika wa madawa ya kulevya wapo watu maarufu akiwemo yusuph manji, mchungaji gwajima, mbunge mstaafu wa kinondoni iddy azzan mmiliki wa slip way, na mmiliki wa casino wa sea cliff..na wengine wengi nk!!
wataje mkuu tutakulinda usihofu.Siwezi bisha Ila jiulize mapapa walio wafazili wa chama kubwa na hata member wao mbona hawatajwi ?
Yeyete anashughuikia tu usijaliHivi hili suala kwa nini asilishughulikie waziri husika? Badala ya kushughulikiwa na mkuu wa mkoa,,,
Majina yapo 65 na mbowe ndani....Mbona majina yametajwa mengi mkuu wewe umesikia mangapi?.