Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Mbunge wa hai katajwa km mtumiaji au muuzaji?!...sijaelewa vzr hapo
 

Wapi kawataja Mbowe, Manji, Gwajima, etc?
 

Nadhani ndo maana wakaamua kumficha Tundu Lissu.
 
Nilijua tu hizi nguvu za kuwatetea wauza Sembe ni kwamba chadema wanahusika na uuzaji Sembe, sasa Tundu Lisu abanwe mpka aseme Sembe huwa wanatoa wapi!
Kwa hyo msukuma na nape ni wanachadema??
 
Makonda akwende ku update list yake kwa kuongeza jina la Masogange. Wanasema wahenga kuwa lisemwalo lipo. Akamhoji na huyo binti maana amekuwa akishutumiwa na watu wengi sana. Anakuwa mkali kama mbogo maslahi yake yakiguswa. Pia anatakiwa aje aseme amepata wapi utajiri alionao. Shutuma za mbunge Msukuma zinzhitaji majibu.
 
Hawa jamaa Tundu Lisu na Mbowe nilijua tu ni lazima wanauza na wanatumia Sembe!
Halafu walitaka tuwakabidhi nchi hawa wauwaji wa Vijana wetu? Yaani Mbowe na Tundu Lisu ndiyo wangekuwa Ikulu sasa hivi, hii Nchi kweli Mungu anatupenda!
Makonda hana ajualo ni mtupu kama aliyemuweka yaani kwa kufanya hivyo andhani ndio anapata sifa ndio maana wengi wanaamini anatumiwa kisawasawa
 
Freeman Aikael Mboweeee!

Nasikitika hata huko mtamkosa.Shida yenu ni kumuumiza na kuua CDM lakini chuki,visasi na ubaguzi havitajenga.

Madrug Lords wenyewe hata mmoja hajatajwa hapo.
 
Kwanini makonda hakumtaja hadharani huyo mama aliyedai ana maduka ya nguo??
 
Kwani huko "mawingu" alienda? Au matangazo yakirushwa na clouds basi yanafanyika clouds?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
kweli kabisa maana ukicheki pale kulikuwa na mic za station nyingi tuu za tv so kama wengine waliamua kurekodi ili wakahariri kwanza isiwe sababu ya kuwaandama mawingu tv
 
Mkoroshokigoli nishampongeza,wote nawapongeza kwa hii movie tunayowachezea!
Tunawapiga kotekote!
Mkija kushtuka,2019 hii hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…