usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,898
Hawa ndiyo tulikuwa tunawataka siyo kina Ray CIla kwa mbowe siamini kabisa
nilijiuliza hili swali tokea mwanzo na nitaendelea kujiuliza mpaka pale nitakapopata majibu halisi. sidhani kama kuna mwenye dhamira ya kweli ya kupambana na uuzaji na utumiaji Wa dawa za kulevya Bali naona mwisho Wa hili tunaweza kushuhudia viongozi wengi Wa upinzani wakiishia Kuleeeeeeeeeee! huenda hii ni mbinu Moja wapo waliyoamua kuja Nayo. Muda utasema
Kaa kimya kitu gani? Mleta mada ni wajibu wake aweke updates za hotuba neno kwa neno pale juu.Mkuu km hujasikiliza live kaa kimya
Freeman Aikael Mboweeee!
Nasubiri kusikia kauli ya Halima Mdee na Zitto KabweHawa ndiyo tulikuwa tunawataka siyo kina Ray C
Itapaa usiku mkiwa mmelala...ndio ukweli, safari ni saa 11 usikuYule dogo wa Kisukuma ni ndugu yako?
Sidhani kama itaruhusiwa kupaa ile chopa
Acha mahaba ndugu! Mbowe nae ni binadamu.Naona baada ya kukosa Mbowe kila mahali naona hii ndiyo ngazi ya mwisho kumbambikizia madawa any way ngoja tusubiri ushahidi
Wew hukutakiwa kuwa jf..akili yako bado ndogo
- Kweli mnampango wa kuua upinzani ila makonda nampa pole mana kuna vitu anajilopokea tu kisa kaahidiwa ulinzi
Unauliza unga mashineni?Hahahhhhaaaaaaa...anataka kusepa au???
Siasa za Makonda ni za chuki.Wale waluosemwa na Sema kwamba wamehonga wakafutiwa mashtaka amewataja??Diamond amemtaja??Mmiliki wa zile shule zenye jina kama za wakatoliki je??Ifike mahali Tuache siasa chafu. Mnadhani Mbowe angekuwa anafanya hiyo Biashara mpaka leo angekuwepo??kwanini umeona Mbowe tu ndo kasingiziwa, unafiki utatubakisha hapahapa tulipo watanzania
we nae kashasema hawataji mtu bila kufatilia, hivi umemsikia kweli au mihemko tu...Kwa hiyo nikimpigia simu na kumwambia nanihii naye anatumia dawa, kesho atakwenda kwenye media kumtaja??? Ha ha ha, hii nchi sasa inakuwa hatari kweli kweli...
Ila kwa mbowe siamini kabisa