Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Tuacheni siasa hii issue ni kwa mustakabali wa taifa sasa kama kiongozi wa chama chako katajwa povu la nn unataka aendelee kutuharibia watoto wetu?
Na hapo bado hajapata power akiwa raisi siitakuwa balaa!.
 
Naona jamiiforums imepingwa ganzi baada ya mbowe kuweno katika list ya drug dealers. Jamani token njoni mtetee tena mana nyie ni mabingwa wa kusafisha na tutetea uozo.
Mwaka huu upinzani unapotea mana kila sehemu wamekabwa.
Kumbe ndo maana lisu mishipa nilitaka kupasuka kwa kuwatetea drug dealers ili lujihami kwa mwenyekiti wake!!!
Sasa mbowe kila uozo yumo. Kukwepa kodi yeye, kuharibu mazingira yeye,hata madawa? Sasa upinzani jamani si wangetuingiza chaka tungethubutu kuwachagua.
Asante mungu kwa kutuonesha hali halishi ya upinzani.
Lini mchaga akajifanya anakutetea ili we uwe na maisha mazuri?
 
Huyo ni mtani wangu...tunajuana. Ila umeiskia orodha ya Makonda? Mbowe yumo!
Mkuu Mimi ni siipendi ccm,ila kwq swala la MADAWA acha wakajibu. Sitetei MADAWA ya kulevya. Sitaki kuweka ukada wa kishamba kwenye swala la madawa ya kulevya. Hata kama angetajwa Ridhiwani kikwete,Tundu lisu Mimi sioni cha ajabu. Taifa haliwezi kupoteza nguvu kazi(vijana) kwa sababu ya kuwachekea wachache sababu ni wakubwa. Wakipatikana na hatia acha mkondo wa sheria uchukue nafasi yake.
 
Mtoa tuhuma anatuhuma sasa sijui anawezaje kuhukumu wakati yuko ndani ya tuhuma
 
Anachokifanya makonda tujiulize ni kizuri au kibaya? Kwangu mimi ni kizuri na kama kweli wewe ni mtanzania mzalendo unaipenda nchi yako huwezi pingana na hili analolifanya makonda.
Kingine ujiulize huyu msukuma kwanini alete hizo tuhuma juu ya makonda kwa kipindi hiki? kwanini hakuzileta kabla ya hili la madawa ya kulevya? moja kwa moja apo utajua kabisa hili suala linamgusa na wanafanya jitihada kwa hali na mali ili kuweza kuzimisha hizi harakati.

Wenda msukuma akawa anaguswa kwa njia moja ama nyingine, wenda akawa mtumiaji anahofia hii vita itafanya kutokea uhaba au kukososa kabisa hayo madawa.
Pili wenda akawa ni mmoja wa wafanya biashara wa madawa ya kulevya anaona biashara yao inaenda kuharibika.


Mwisho:
katika hili watanzania inabidi tumuunge mkono makonda kupinga kwa nguvu zote utumiaj na biashara ya madawa ya kulevya maana madhara yake ni makubwa na inapunguza nguvu kazi ya taifa.
 
Siwezi bisha Ila jiulize mapapa walio wafazili wa chama kubwa na hata member wao mbona hawatajwi ?
ajabu, wacha waliotajwa wataenda toa hayo mapapa ambayo wanayaficha na awamu ya 3 wawataje tuwaone, tunasubiri season 3
 
Katikati ya kinachoitwa vita ya madawa ya kulevya, ndipo machinjio makuu ya vyama vya upinzani nchini... Sauti ya umoja ni mhimu kuliko sauti ya umimi. Ishini kwa jicho la tatu.

Kila kinachotokea duniani kina sababu!

Na Yericko Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…