Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuuza dawa za kulevya ni ujinga au ni pesa.Hii ni vita ya kisiasa ,mimi siamini Mbowe awe mjinga kiasi hicho awe anajihusisha na madawa ya kulevya
Kuna papa gani katajwa kwani? Mbowe?ha ha ha ni papa gani aliyetajwa kakugusa?
Kama hujui wema katukanaje kaa kimya,Kusema una mchepuko ndio kosa..si ukatae tu
Mzee ulitoka CCM kufuata mtu, ukawa shabiki wa mtu...ukasahau na kutupa principles...sasa unaona Mwenyekiti Mbowe yumo kwenye orodha ya Makonda...ulipotezwa mzee...rudi tu nyumbani maana hata Mzee pumzi imemuishia kabisa hasikiki tena!Wananipotezaje? Hebu acha maneno ya kichochezi.
naona wameandika Philemon Mbowe na sio Freeman MboweMbowe ni fabricated siasa as usual. Wengi hapo tulikuwa tunawasikia sikia ila kwa Mbowe big No.
Huyo ni mtani wangu...tunajuana. Ila umeiskia orodha ya Makonda? Mbowe yumo!Swala la madawa ya kulevya si la Bavicha wala uvccm,ni la watanzania wote. Wekeni pembeni itikadi zenu za kisiasa.
Nawashauri Idara ya Usalama wa Taifa kumdhibiti Makonda.
Hatajwi kwa kumuogopa mtuduh..sijui mlitaka atajwe nani??
kama mbowe hausiki maana yake hana hatia..na ataachiwa..hawawez kumfunga n
bila ushahidi....
Mbona kwenye hiyo list naona jina la "Philemon Mbowe" na si "Freeman Mbowe" au ni uwezo wangu wa kusoma na kuelewa umepunguaAiseeee mambo ni mazito
Mbowe kwenye list
Lema ndani anasubiri hukumu
Lijuakali miezi 6
Lissu ndani kwa mahojiano
Zitto anaponea chupuchupu
Lipumba ndiyo anajulikana na msajili
Siijui siasa ila I doubt something big will come before 2020
Mbowe anajulikananaona wameandika Philemon Mbowe na sio Freeman Mbowe
Tumetoka kwa kina dagaa, tupo kwenye samaki, watafuatia kina papaKuna papa gani katajwa kwani? Mbowe?
Gwajima?
Manji?
Iddi Azan?
????