Lakini kwa kauli kasema Mbunge wa HaiLakini jina limeandikwa Philemoni Mbowe.
Unataka ushahidi sana asee....Mbona mnapenda kuexgrate mambo hivo....?? Hii kazi haifanyi yeye peke yake bwana. camon men.Madawa sio mazuri aseeeeeeeeeeeM
Makonda ni kijana wa vuijiweni, hana ushahidi hata tone zaidi ya kutafuta misifa
Angetakiwa ajibu tuhuma za Jana bungeni kwanza na katika list hiyo ameshindwaje kuwataja watoto wawili wa marais wastaafu?
Hiki hujakisoma post namba moja? "Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza" - RC Makonda
hebu tutajie majina ya viongozi watatu tu wa marekani unaowafahamu ambao walikuja na sera kama hizo wakauawa?nimekuwa nikifuatilia snaa hizi inshu za drug dealers america ..karibia kila kiongozi yoyote america anapokuja na sera za kuwakamta wauzaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya america huwa anaishia kufa gafla au kupigwa risasi....
hii ni kwa sabab drug dealers wana mtandao mkubwa sna na wanafadhiliwa na watu wenye pesa kama mtandao wenyew unavyojulikana kuwa kuna pesa ....yani kila drug dealer mkubwa lazima awe na bastola yani hicho ni kitu cha kawaida snaa ....manake kama ingekuwa ni america wew unayetangaza watu hadharani na kusema wajisalimishe yan tayr unaanza kuwindwa na wew..unawinda huku inawindwa pia ...
ile ni vita kubwa snaa sijui kwa hapa bongo
..(cursed skinned ppl)
itakuwaje...
kama kweli na wao wana mtandao mkubwa sijui tu lazima mtu afe hapa...unless otherwise wawe ni drug dealers uchwara.....
but kama kweli ni drug dealers under sponsored mamaaaae kuna damu zinamwagwa...
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Mataifa kama Mexico, USA, China, ASIA, RUSSIA wanafanya kila namna ya kundokana na tatizo hili wewe unaongelea faida za hii biashara ya madawa!...Labda sijakuelewa vyema!! Hii ni habari mpya...Unaweza walau kutupatia faida 1 ukiachilia maswala ya kitabibu hospitaliniNadhani kinachofanyika kina hasara zaidi kuliko hasara ulizojaribu kuainisha hapa! Inaweza kuwa vigumu kuelewa, lakini huo ndio ukweli na mwingine ni ushabiki usio na tija katika jambo "sensitive"!
mi nielewesheni. kuwataja watu bila ushahidi kuna faida gani zaidi ya kuwafanya wawe makini na uuzaji wao. mana mi nlitegemea kama kweli wako genuine na hii vita na wanawajua hao wanaouza madawa y a kulevya je kwa nini wasiwategee mitego wakawakamata wakiwa na ushahidi mikononi wakafunguliwa mashtaka na kupewa adhabu ili wawe mifano.. sasa kumwambia mtu ambae hata ushahidi huna aje akariport kituoni kuna faida gani? kuna kitu hakijakaa vizuri hapo
kuna mwingine pia muuza unga ni rafikiyake na hajatajwaaaaaaHussein pambakali ni rafiki yake Mkubwa na Le mutuz . .kwanini le mutuz hakamatwi???
Lakini jina limeandikwa Philemoni Mbowe.
Mi ndio naposhangaa hapo mbona Yanga hawapigi kelele, wakati chairman wao nae yupo kwenye listiKwanini anatetewa Mbowe tu kwenye huu uzi? mbona Manji na akina Zungu hawana watetezi?
makonda ni waziri au mkuu wa mkoa
makonda acha kutafuta kiki vita ya dawa za kulevya ata ukipewa mtaa tuu hiyoo vita hutaweza
usimsahau yule bos wako uliekuwa unambrush viatu
Hata uandike Kimexiko nini Kiingereza lkn Mbowe chadema ni Muuza Sembe!
[emoji134] [emoji125] [emoji23] Anakuona Anakuona unamkosoa mkubwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]nilimsikia akisema "karatu Pakistan" badala ya "karachi pakistan"[emoji23][emoji23][emoji23]