Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...


Kwahyo makonda ana chuki na wema!!! watanzania bna πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wanasubir kuitwa itv wakunje 4 kwny kpnd cha dakika 45
 
huu ushauri unaotoa nawe pia uufate, ni muda tu ndio mwalimu usipende sana kujudge vitu unavyoviona, hata wewe kifo chako huwezi kitabiri ila cha mwingine umeshakijua
binadamu msijipe majukumu ya Mungu
aisee am not your level
 

Adding, shamba lake huko Kilimanjaro amepigwa stop, wakidai lipo ktk chanzo cha maji!
 
King of Kings huwa hafikiwi
 
Chadema wameshatoa tamko huko, kama siyo yeye ni kwa nini wametoa tamko?

Eti wanasema ingetumika sheria kumuita mbowe!! kwenye madawa kuna kubembelezana!!? hawa chadema hakuna kitu kabisa, yan bado wanazidi kukumbatia ujinga wanashindwa ht kuonyesha ushirikiano!! mtu ameitwa akahojiwe then baada ya hpo ndio otagundulika ana hatia au hana hatia sasa wao wanapoanza kutetea sijui wanakuwa na maana gani!!!

Anyway ndo kashaitwa hvo asipofika tutamfuata .... go go makonda.
 
Mbona hatujadili hoja iliyomezani tunarushiana tu mapovu?
Eti oooh kataja vidagaa
Leo kataja hao bado mnaendeleza chuki binafsi na upinzani upepo unaofata mtu popote hata ktk maovu!!
Watanzania tubadilikeni kama kweli tunatska mabadiliko.
 
Kwa ujumla ninatoa sifa kwa mawaziri wachache sana ktk serikali hii. Wengi waliojifanya ma-star serikali iliyopita, kwa sasa wako kwenye paralysis!
Pongezi kwa waziri Mbalawa, kidogo waziri Lukuvi (lakini naona pumzi imekwisha au alikuwa anaingiza tabia isiyo yake), naibu waziri Mpina kule mazingira, waziri ndalichako kwenye elimu (lakini nahisi anaposemwa anakosa ujasili wa kusimamia anayoyaamini),

Mambo ya ndani na ile ya sheria kuna tatizo!! Hakuna initiatives zozote pamoja na uozo unaojitokeza kwenye vyombo vya sheria.
 
Kwa mbowe hapo ni siasa zilizopangwa tu ili kudhoofisha upinzani,makonda anatumiwa
Maadam ni search ya wabaya, tusimtetee. Aende akaripoti, huenda ni mtu muhimu anayejua majina ya wale wa juu zaidi.
 
Kwahyo makonda ana chuki na wema!!! watanzania bna πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
porpularity contest..i refuse to be fooled again..nataka nione matunda hizi kelele za kutajana tumeshazichoka..richmond..maremeta..buzwagi..escrow..walitajwa watu but nothing happened..i want to see people getting procecuted..all bark and no bite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…