mume wa mtu
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 653
- 386
lakini kumbuka,wanaotutungia sheria vigezo ni kujua kusoma na kuandika tu si ajabu naibu spika anasumbua na wanampigia makofi tu.Labda ndio maana wanaambiwa wawe na hata ka digrii kuweza kuifanya kazi hii. Wengi kwa kweli ni shida tupu.
Makonda kaanza mapambano siku nyingi. Uliona alivyomtolea uvivu Eddo kwamba hafai kuwa rais? Halafu mzee Wa katiba ya wananchi ilibidi atolewe ukumbiniSindano zinaingia bila ganzi! Hii ndo Serikali tunayoitaka!
Makonda hazimtoshi kabisa sasa kama ni bilicanus mbona hajataja meli ya KINANA AMBAYO MAISHA IMEKUWA IKIBEBA UNGA NA YEYE MWENYEWE SIKU ZOTE AMEKIRI KWAMBA HAJUI MZIGO WA NANIUmewahi kwenda billcana? Kama kuna wabunge wengi wa hai sawa bt kama yupo mmoja tulia na haimaniishi kuitwa ni kuwa muuza unga. Mbona kina TID Wametoka ingekuwa wanauza unadhani wangeitwa kistarabu hivyo. Yaan muuza unga umpe siku ya kuja kituoni si atatokomea na ushahidi, si kila kitu ni UKAWA. tupunguze mahaba
Machapta.studioMkuu umemskiaa kwenye mkoaa wake!
Dar haijawahi kutokea rc kama Huyu maana ana nia n'a dhati ya kupambana n'a hawa wauzaji
Ova
MWACHE ATUMIKEE TU KWANI WANAOPAKUWA VYEO KUPITIA YEYE WATAMUACHA NA LAANA ZAKE AENDELEE KUTAMBA TUUMakonda kaanza mapambano siku nyingi. Uliona alivyomtolea uvivu Eddo kwamba hafai kuwa rais? Halafu mzee Wa katiba ya wananchi ilibidi atolewe ukumbini
Huyu Dogo ni hatari.
Halafu hapo hapo anakwambia - 'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'Mbona hayo majina wengine hayako specified? Unataja vip jina moja tu la mtuhumiwa? Utasemaje mmiliki wa Slipway, ndo jina lake hlo? Nani anamjua huyo mmiliki wa Slipway? Bado namashaka makubwa na hii list
Gwajima ana tabia ya kuzimia akifikishwa Polisi. Halafu anasema aliijiwa na bwana wa majeshi.Namsubiri Mch.Gwajima atakavyoharisha maana kwa vyovyote vile lazima atajibu tu
Kama sio leo subiria kesho au jumapili kwenye ibada akiwa kwenye madhabahu
Wewe utakuwa mbunge viti maalum si bure.Mimi sijaona katika hayo maandishi Palipoandikwa Freeman Mbowe labda iwe ilitamkwa vibginevyo tuache mihemko. Hivi kila jina linaloishia na Mbowe itakuwa KUB??
Kwa hiyo mahakama za magufuli zitafunga watu bila vithibitisho kwa sababu kamtuma makonda awataje ujinga mkubwa
Wewe utakuwa mbunge viti maalum si bure.
Umchanganya madawa kidogo. Gwajima ni mzee Wa misukule, mzee Wa upako ni yule Wa bapa.Mzee wa Upako Gwajima tulisema muda mrefu sana kuwa huyu Kijana Anauza Unga. Mkatutukana sana humu .ohh we kahtaan Mdini a ohhh una mashetani.
Haya sasa. Upako na Dawa za kulevya. Halafu Wanakondoo wanampigia makofi eti anafufua wafu.!!
Huyu anafufua au anaua vijana wetu?
Halafu akitoka huko atasema Bwana alimjia akampa nguvu za milele. Na ataendeleza Ufufuo kama kawaida na kondoo wake ataendelea KuchungaMakonda keshaona kesho. Kawaita ijumaa
Huyo mfufuaji hataonekana madhabahuni jpili
Atalala mahali salama hadi jtatu.
Casino ni mahali pa anasa nadhani kwa vile wanalipa kodi si mbaya na hata sigara ni hatari sana kwa watumiaji pengine kuliko mirungi lakini kwa 7bu kodi inalipwa sio mbaya, hata konyagi na zwenzake ni Kali sometimes kuliko gongo lakini ushuru tunakusanya so sio mbaya. Nothing good or bad just ask attitude to defineHapo issue ni sembe mengine baadae.
Umewahi kwenda billcana? Kama kuna wabunge wengi wa hai sawa bt kama yupo mmoja tulia na haimaniishi kuitwa ni kuwa muuza unga. Mbona kina TID Wametoka ingekuwa wanauza unadhani wangeitwa kistarabu hivyo. Yaan muuza unga umpe siku ya kuja kituoni si atatokomea na ushahidi, si kila kitu ni UKAWA. tupunguze mahaba
Umewahi kwenda billcana? Kama kuna wabunge wengi wa hai sawa bt kama yupo mmoja tulia na haimaniishi kuitwa ni kuwa muuza unga. Mbona kina TID Wametoka ingekuwa wanauza unadhani wangeitwa kistarabu hivyo. Yaan muuza unga umpe siku ya kuja kituoni si atatokomea na ushahidi, si kila kitu ni UKAWA. tupunguze mahaba
Sijui citation naipata wapi lakini nilisoma kuwa ukweli ni ule uliosemwa na mahakama na si vinginevyo (justice) wana sheria watanisaidia, Manji na Chidi Benzi wote ni binadamu it doesn't matter una msaada gani kwa nchi kama utatoa sadaka hata m wananchi mmoja kwa madawa ya kulevya na uachwe kwa 7bu umeajiri miamoja. Tusubiri episode inayofata ukweli utakuja tu,jamani leave manji alone mnamuhusishaje na tuhuma za kumchafua iv...ni mtu kati ya watu wanaochangia pato la taifa kwa kutoa ajira kwa vijana wengi zaid...hata kama ni tuhuma tuu kumtaja tyuu ni kumchafua sio fair alafu tunalalama uchumi unashuka wakat wanaocontribute tunawachafua