lulu yupo kimaslahi bwana wewee!warumi umesikia ya lulu na majizo na hamisa? eti toka majizo awekwe ndani lulu hajaonekana pande hizo .hamisa ndo anapeleka chai ya baba mtoto! watu wanajua fursa balaa
Boss wake kaitwa sasa akamtetee lakini sijui kama hawajakutana huko huko mahabusu wagome kula pamojaMmelia na "Vidagaa"..sasa Mmeletewa "Fish fillet"
Uzuri Mkuu hakai mbali na Bahari.
Huu mchezo hauitaji hasira, umekuwa kituoni, nenda kwani tatizo liko wapi??
dogo ana kisirani yule !akikaa na mtu muda haupiti life time majanga ana spiritual husband nini akaombewe na lusekelo kabla hajapiga viroba lakinilulu yupo kimaslahi bwana wewee!
jela kaa na mzazi mwenzio huyooo!!
ukirudi tule bata!!
Ila lulu watu wataanza kumuogopa haswaa mapedeshee
Wale wale!! Kesho zamu yako!! Unafurah sana kuona vijana wanaangamia eeeeh, kwa ajili ya wajinga wachache kuneemeka! What a shame!! Think twice boy!!ungeitwa wewe ndio ungeona kama kuitwa kituoni kuna tatizo au la
usiniambie binamu?warumi umesikia ya lulu na majizo na hamisa? eti toka majizo awekwe ndani lulu hajaonekana pande hizo .hamisa ndo anapeleka chai ya baba mtoto! watu wanajua fursa balaa
ndo hivo
hivi anachosema mange kuhusu sitta kumdinya makonda ni kweli? mi sijawahi kuamini hii kituyap yap..!!
si bure ana jini gunduu!!!akiombewa umaarufu kushnei!
dogo ana kisirani yule !akikaa na mtu muda haupiti life time majanga ana spiritual husband nini akaombewe na lusekelo kabla hajapiga viroba lakini
kaa kimyaaahivi anachosema mange kuhusu sitta kumdinya makonda ni kweli? mi sijawahi kuamini hii kitu
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
hapo neno hilooo...[emoji3] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] una milioni 7 za dhamana?!hivi anachosema mange kuhusu sitta kumdinya makonda ni kweli? mi sijawahi kuamini hii kitu
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
ila siamini kama hajaenda central na hamis ndo kaenda inawezekana kweli?ndo umbea wa mjini huoooo....mobeto katimba kumjulia mume halii
si bure ana jini gunduu!!!akiombewa umaarufu kushnei!
Si nasikia kwake kulikutwa na misokoto ya majaniKwann,wote watolewe na abaki wema tu,na wote walikua na shutuma za namna moja.au sababu wema alivyotoa maneno ya kusema mbona masogange hajakamatwa.mbona wengine hatujawaona kama Racy,chid Benz.
Yani hapa natetemeka binamu, sasa andunje ye hajui kupika chai au ndo anajua tu kupaka make up? majizzo nae akome,ebu nipe namba ya mobeto nimwambie kesho akalale central kabisa abebe mimba ya pili andunje arudi kwao tabata akauze mka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bnamuuuu
umbea wa mjini umeunyakaaa....!!!!?!!
bibiye mobeto kenda mjulia hali baba fantasy..central upo ....?!!;
hilo ht mm siamini!!![emoji3] [emoji6] [emoji6] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ila siamini kama hajaenda central na hamis ndo kaenda inawezekana kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uchungu wa baba mtoto mwenzanguu!!Yani hapa natetemeka binamu, sasa andunje ye hajui kupika chai au ndo anajua tu kupaka make up? majizzo nae akome,ebu nipe namba ya mobeto nimwambie kesho akalale central kabisa abebe mimba ya pili andunje arudi kwao tabata akauze mka
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Mange ana chuki na makonda sana,sijui alimkosea nini duhhilo ht mm siamini!!![emoji3] [emoji6] [emoji6] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mwenzanguu[emoji6] [emoji6] [emoji6] Ila anakoma makondaa na mangeMange ana chuki na makonda sana,sijui alimkosea nini duh
agiiii njooo! ila sauti hadi naiota jamanimwenzanguu[emoji6] [emoji6] [emoji6] Ila anakoma makondaa na mange
Ila masogangee anafaidiiii