Alisema Mbowe bungeni alitakiwa aripoti PCCB lakini uliamini, Je nini kinakufanya unakuwa mgumu kuamini Mbowe anauza madawa ya kulevya? nini kinakufanya huamini kuwa wabunge wanasinzia? au kusinzia ni Wasirra na marehemu Komba tuMbona tuliwasema juzi hapo baada ya kuhongwa mil 10? Kwani walifanyaje?....
Siyo wakazi wa Dar es SalaamMkuu wa mkoa unaendelea kulisaidia taifa kuondokana na biashara ya madawa ya kulevya.
Na umeonyesha ujasiri na ukomavu pale ulipotaja majina yao kwenye vyombo vya habari, na kuwataka uliwataja kufika polisi.
Inamaanisha unaweza kujenga taifa likaondokana na biashara ya madawa ya kulevya ambazo kila mtu anajua madhara yake.
Lengo letu ni taifa lisonge mbele siyo tu kwa kumaliza hii vita ya madawa ya kulevya.
Kwa kuwa umekuwa jasiri wa kutaja majina na tunakupa hongera.
*SIYO MADAWA YA KULEVYA PEKEE YAKE YANORUDISHA NYUMA MAENDELEO YA TAIFA HATA WALIOTUIBIA FEDHA ZA TAIFA LETU WAMETURUDISHA NYUMA*
NAOMBA:-
TUNAKUOMBA UWATAJE MAJINA NA WAJE KITUONI WARUDISHE FEDHA.
1.LUGUMI
2.ESCROW
3.WALIOFICHA FEDHA NJE YA NCHI MAJINA YAPO.
TUNAKUOMBA KUPITIA TV NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI WAITE KITUONI KWA KAMANDA SIRO.
Acha uongo wewe, usiandike kwa ajili ya kufurahisha au kuhadaa umma. Kama wanshindwa kukamilisha upelelezi wa mtu. Mmoja tu, kweli unataka kutaminisha kwa tuhuma hizi wana uhakika wa kuthibitisha mahakamani? Angalia mahaba yasikutie uchizi.Mtu unaitwa kwa ajili ya mahojiano juu ya Dawa za kulevya .Kabla hujaenda kuitikia wito kujua kama unatuhumiwa kuuza ,kutumia au kuna taarifa za mtu au watu zinahitajika kutoka kwako unakimbilia kuanza kutoa matamko ya kukanusha kujihusisha na biashara ya Dawa za kulevya.
Hii ni Dalili Tosha kwamba mmeguswa .
Wengine wanasema ooo sijui wao wasukuma ,sijui wanamuunga mkono Rais so what ?
Nendeni mkasikilize mlichoitiwa mtakuwa kwenye nafasi nzuri ya kusema kulipuka kwenu kunaongeza mashaka .
Mara oohh naonewa wivu sijui mbona nani hajatajwa huku ni kuweweseka tulieni mshughulikiwe.
Wengine wameitwa wao wanataka kulifanya hili jambo ni la Taasisi zao au madhehebu yao .Na baadhi ya wanachama au waumini wanataka kulibeba jambo hili wakiwa blind /Less informed.
Vyombo vya Dola vinawajua hawa viongozi wenu kuliko nyie mnavyowajua.
Makonda haya Mayowe usiyasikilize endelea kukomaa nao .
Usigeuke nyuma utageuka kuwa jiwe .
Ukitupa Jiwe gizani ukasikia mayowe ujue jiwe limelenga kwenyewe.
Ninajua Makonda hajakurupuka anazo taarifa za uhakika juu ya hawa anaowaita .
Chama ni watu, bila watu hakuna chama. Iwe ni Cuf, Chadema au CCM au chama chochote kile, ikumbukwe watu ndio wanaounda chama. Na unaposikia chama ni kichafu maana yake watu wake wanaokiunda ni wachafu. Hivyo basi hata katika suala hili la madawa ya kulevya, Kama wanaCCM watabainika ndio wahusika wakubwa, basi ni dhahiri kuwa chama kimechafuka na kimeumbuka. Hii ni fact na si siasa.Usiweke siasa kwenye masuala kama haya CCM ndio inauza unga au? embu ushindani usiwepo bwana hauwezi jua? hapa tuangalie nani kahusika na sio chama bwana
umenena.Ukwel ukisemwa watu huinuka kuupinga.siasa za utaifa ziko wapi nchi hii? Kila kona siasa za uchama, itakuwa gumu sana kufikia hiyo demokrasia
Raisi anawatimikia nani? anachaguliwa na nani? sawa ang'oke, ila waliotajwa pia wang'ke.Toa porojo zako hapa,wabunge wanawatumikia wananchi na wana haki ya kuhoji sehemu yoyote ile. Na makonda ni lazima ang'oke,akatumikie wauza unga wake GSM.
jifunze kujenga hoja ngariba,lazima aseme ni nani kamnunulia hili gari la milioni 470,hawezi kutengenezea wauza unga soko.
Ficha uwezo wako wa kufikiria!
Raisi anawatimikia nani? anachaguliwa na nani? sawa ang'oke, ila waliotajwa pia wang'ke.