Yes huyu Papa Lowasa atajwe kabisa
Mtaishia kusema Lowassa fisadi kwa assumptions zenu ndio maana mlijenga mahakama ya mafisadi kuaminisha watu Lowassa atakuwa wa kwanza imedoda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes huyu Papa Lowasa atajwe kabisa
Je bunge halipaswi kukosolewa?Serikali lazima isemwe.......
Mahakama lazima isemwe .....
Rais kachaguliwa na wananchi na wabunge wamechaguliwa na wananchi hivyo bunge kumsema Rais( Serikali) ni wajibu wake.......
Msituletee porojo za kichama kimoja na Mawazo mgando ya kupiga mapambio kwa kila kitu......
Kama rais na serikali Yake hawataki kusemwa dawa ni kujiuzulu tu......
amtaje, watu wanaenda na sheria hawakurupuki kama yeye, kwanza mpaka sasa nahisi anajua na imemgharimu hata kama mkuu anampa kiburi, lakini nina uhakika usingizi sidhani kama anapataYes huyu Papa Lowasa atajwe kabisa
Hio hainuhusu..km yupo kwenye list atajwe tu..Who is he by the way!!?? Makonda amtaje tu.Pumba tupu!!!!
Ushahidiiiiiiiiii
Tunasema ushahidiiiiii
Ushahidi
Ushahidi
Mnawakamata wakifanya biashara husika?
Mahakamani wapika/wauza gongo hupelekwa na mapipa yao ya kupikia gongo na madum.
Sasa hawa mtawapeleka mahakamani na mivyuzi ya paka?
Gari gani hii m470?lazima aseme ni nani kamnunulia hili gari la milioni 470,hawezi kutengenezea wauza unga soko.![]()
Poor argument.lazima aseme ni nani kamnunulia hili gari la milioni 470,hawezi kutengenezea wauza unga soko.![]()
Gari gani hii m470?
Ukitumwa, jua na kuweka akili yako sawa!Ndugu zangu habari za asubuhi, huku tunajiandaa kulala
Tafadhali fatilia kwa makini hiki ninachokiandika hapa.. hii vita ya madawa ya kulevya ina agenda ya siri kama ingekuwa na lengo la kukomesha biashara hii haramu ingefanywa kwa kufuata kanunia na kwa weledi wa hali ya juu sana.
Kungefanywa uchungzi wa kina na baada ya uchunguzi waliobainika wangeitwa polisi kwa mahojiano zaidi kwa siri na kisha kupandishwa mahakamani.
Lakini kwa makusudi kabisa kinachofanywa leo kimesukwa kutaka kumchafua Lowassa baada ya mahakama ya kifisadi kushindwa kupata lolote la kumshitaki maana watu wengi waliamini kwamba atakuwa wa kwanza kushitakiwa kutokana na kusudio la kujenga mahakama hiyo, sasa imeshindikana na kuna hisia kuwa jama huyu asipopata mkasa wa kufikishwa mahakamani wananchi watamuunga mkono kwa wingi.
Ndio maana ikatengenezwa mbinu na kama mnakumbuka ni kijana yupi aliyejitolea kumlipua Lowassa kwenye vyombo vya habari alipokuwa ccm? ni Makonda.
Bahati mbaya jambo hili Baadhi ya viongozi wengi na mawaziri pia viongozi waandamizi hawakubaliani nalo wanaona ni siasa chafu zenye athari kwa nchi. Litakapotajwa jina la Lowassa pia litatajwa la Azim
Hayo majina kutajwa hadharani ni mkakati uliobuniwa ili siku akitajwa isemekane wengine walitajwa, lakini hakuna vita ya madawa ya kulevya inayopiganwa hivyo
Kama Makonda eti kwa tuhuma za kusema 'wabunge wanachekesha, wanasinzia'
Mnapoteza muda kutetea watu wasiofuata misingi ya utawala bora na sheria pia.ulikuwa na hoja kama yangu.Umenena kweli tupu.
Naona wabunge wanalalamikia kuhusu heshima yao wengi wao wa upande upinzani lakini wanasahau kwa namna wanavyo ongea bila hata breki juu ya rais ambaye naye anastahili heshima sawa na wao wanavyostahili.
Ukitaka kuheshimiwa jiheshimu na waheshimu wengine na si kutaka heshima upande wako tu bila kujali heshima ya wengine.