Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Uwezo wa wabunge wetu wengi ni mdogo, wanataka kuabudiwa na zaidi naona labda na wao wanataka wasindikizwe na ving'ora. Lakini hawana lolote wandawazimu tu
 
Ndugu zangu habari za asubuhi, huku tunajiandaa kulala
Tafadhali fatilia kwa makini hiki ninachokiandika hapa.. hii vita ya madawa ya kulevya ina agenda ya siri kama ingekuwa na lengo la kukomesha biashara hii haramu ingefanywa kwa kufuata kanunia na kwa weledi wa hali ya juu sana. Kungefanywa uchungzi wa kina na baada ya uchunguzi waliobainika wangeitwa polisi kwa mahojiano zaidi kwa siri na kisha kupandishwa mahakamani.

Lakini kwa makusudi kabisa kinachofanywa leo kimesukwa kutaka kumchafua Lowassa baada ya mahakama ya kifisadi kushindwa kupata lolote la kumshitaki maana watu wengi waliamini kwamba atakuwa wa kwanza kushitakiwa kutokana na kusudio la kujenga mahakama hiyo, sasa imeshindikana na kuna hisia kuwa jama huyu asipopata mkasa wa kufikishwa mahakamani wananchi watamuunga mkono kwa wingi.

Ndio maana ikatengenezwa mbinu na kama mnakumbuka ni kijana yupi aliyejitolea kumlipua Lowassa kwenye vyombo vya habari alipokuwa ccm? ni Makonda.

Bahati mbaya jambo hili Baadhi ya viongozi wengi na mawaziri pia viongozi waandamizi hawakubaliani nalo wanaona ni siasa chafu zenye athari kwa nchi. Litakapotajwa jina la Lowassa pia litatajwa la Azim

Hayo majina kutajwa hadharani ni mkakati uliobuniwa ili siku akitajwa isemekane wengine walitajwa, lakini hakuna vita ya madawa ya kulevya inayopiganwa hivyo
Swali jepesi, akitokea mtu akamtaja Makonda kuwa anahusika, je atakamatwa? Maana polisi are acting on tips from different sources? Kama hawawezi basi haya yote kuna watu wanalengwa!
 
Kama tatizo basi ni CCM na wabunge wao manake ni wao kutokana na uwingi wao ndio wanaoweza kufanya hili na lile liwezekane au lisiwezekane!!

Kwahiyo badala ya kuwataja akina Zitto Kabwe, unge-opt kuwa fair kwa kuwatuhumu wabunge na mawaziri wa CCM kwavile wamehalalisha Makonda kwenda kusurubiwa!

Hii ni dalili ya jambo moja zito!! Kwavile kila anayehoji mnamuita anatetea wauza dawa za kulevya, hatua hii ya ubunge inathibitisha jambo moja kubwa kwamba, kumbe MAWAZIRI NA WABUNGE WA CCM nao wanatetea wauza dawa za kulevya!!

Na kwamba, kumbe JPM ana timu inayotetea wauza dawa za kulevya!
 
" Muda wa kuanfmgalie video ilitafsirwa kiswali na mkadala rufufu..mwakabagaleja " [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Awamu ya tatu umeambiwa ni majina kutoka serikali za mitaa na nyumba kumi kumi.....
 
Kuna mmoja jana alipendekeza tuweke sheria kando kwenye hili jambo. Ukiitwa kule lazima likuguse uwe hayakuhusu au yanakuhusu, na kwa kiasi ki kubwa unachafuka (mke wa siza hatakiwi kuwa na tuhuma ) hakuna anaekwenda kule kunywa juisi. Ndio maana kwa waungwana kuna namna ya kuitana. Heri na fanaka.
 
ulikuwa na hoja kama yangu.Umenena kweli tupu.
Naona wabunge wanalalamikia kuhusu heshima yao wengi wao wa upande upinzani lakini wanasahau kwa namna wanavyo ongea bila hata breki juu ya rais ambaye naye anastahili heshima sawa na wao wanavyostahili.
Ukitaka kuheshimiwa jiheshimu na waheshimu wengine na si kutaka heshima upande wako tu bila kujali heshima ya wengine.
Kuongea juu ya rais sio kutokumuheshimu,
nadhani ukiwa kiongozi ni vema ukajiandaa na mambo kama hayo.
 
Unatetea nn ww!! Km anahusika atajwe tu..tumewachoka...
Pumba tupu!!!!
Ushahidiiiiiiiiii
Tunasema ushahidiiiiii
Ushahidi
Ushahidi

Mnawakamata wakifanya biashara husika?

Mahakamani wapika/wauza gongo hupelekwa na mapipa yao ya kupikia gongo na madum.

Sasa hawa mtawapeleka mahakamani na mivyuzi ya paka?
 
Hawaweweseki Bali wanajibu Mapigo na kweli yamejibika!

Wewe Jaribu kumwita Mkuu wa Mkoa Mpumbavu kwny Press conference uone Kama ukienda Central utapokelewa na Kamishna na baada ya mahojiano unaandaliwa Nissan Patrol Nyeupe kwenda 'Kuombwa radhi '!

Wewe unatambulika Kama Mpiga kura, Mlalahoi Mara Mnyonge wenzio wanatambulika Kama Large Tax Payer, Mwekezaji, Mdau wa Maendeleo n.k na Dunia Nzima Wana heshma zao special

Wanyonge wenzio walikuwa wanasafisha Gari ya Mtuhumiwa kwa bendera za CCM Tena mbele ya kituo Kikuu cha Polisi [emoji12][emoji12][emoji12]Tazama video kwa Mange kimambi
 
Ndugu zangu habari za asubuhi, huku tunajiandaa kulala
Tafadhali fatilia kwa makini hiki ninachokiandika hapa.. hii vita ya madawa ya kulevya ina agenda ya siri kama ingekuwa na lengo la kukomesha biashara hii haramu ingefanywa kwa kufuata kanunia na kwa weledi wa hali ya juu sana.

Kungefanywa uchungzi wa kina na baada ya uchunguzi waliobainika wangeitwa polisi kwa mahojiano zaidi kwa siri na kisha kupandishwa mahakamani.

Lakini kwa makusudi kabisa kinachofanywa leo kimesukwa kutaka kumchafua Lowassa baada ya mahakama ya kifisadi kushindwa kupata lolote la kumshitaki maana watu wengi waliamini kwamba atakuwa wa kwanza kushitakiwa kutokana na kusudio la kujenga mahakama hiyo, sasa imeshindikana na kuna hisia kuwa jama huyu asipopata mkasa wa kufikishwa mahakamani wananchi watamuunga mkono kwa wingi.

Ndio maana ikatengenezwa mbinu na kama mnakumbuka ni kijana yupi aliyejitolea kumlipua Lowassa kwenye vyombo vya habari alipokuwa ccm? ni Makonda.

Bahati mbaya jambo hili Baadhi ya viongozi wengi na mawaziri pia viongozi waandamizi hawakubaliani nalo wanaona ni siasa chafu zenye athari kwa nchi. Litakapotajwa jina la Lowassa pia litatajwa la Azim

Hayo majina kutajwa hadharani ni mkakati uliobuniwa ili siku akitajwa isemekane wengine walitajwa, lakini hakuna vita ya madawa ya kulevya inayopiganwa hivyo
Siasa za kuchafuana hazitalisaidia taifa letu. Vita dhidi ya madawa ya kulevya ni vizuri vifanyike kiweledi pasipo KUMWONEA mtu yeyote ama kutokana na ITIKADI zake za kisiasa.
Maana tukiianza KUPAKANA TOPE badala ya UKWELI ni nani basi ATABAKI?
 
Wengine tulishaliona hili jambo kitambo

lakini mwisho wa hii kitu....Mnara wa babel.
 
Back
Top Bottom