samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Shida sio kuita au kuitwa, tatizo ni je ukishaita hao wahusika nini kinafuata?? tumeona wale wakina tid na Wema nini kimetokea, kweli muuza Unga anapewa dhamana?
Mbona wale akina Shikuba, Chonji, mama Leila hawakupewa dhamana? na mpaka leo wako jela??
Huweza kusema unapambana na wahalifu kwa kuwaita na kuwahoji then ukawaacha waende zao then unatuambia uko kwenye vita ya madawa, ni aibu, dharau na utoto uliopitiliza...
Mbona wale akina Shikuba, Chonji, mama Leila hawakupewa dhamana? na mpaka leo wako jela??
Huweza kusema unapambana na wahalifu kwa kuwaita na kuwahoji then ukawaacha waende zao then unatuambia uko kwenye vita ya madawa, ni aibu, dharau na utoto uliopitiliza...