Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili lilishapita mkuu. Au haupo TANZANIA nini. Mkulu alianza na hili mawaziri wake wakakimbizana kila kona sijui mwisho wake ulikuwa nini.vibali feki vya kazi
Sijui kama litapata nguvu maana unga umeyameza madammatokeo ya shule za Dar
Hilo ni kweli lakini kama uijuavyo nchi yako hilo limepita. Jaribu kuvuta kumbukumbu ni jambo gani limewahi kufatiliwa hadi mwisho na tukaona matokeo chanya? Hivi unataja watu wanaojihusisha kwenye madawa ya kulevya kwa a.k.a zao kweli wengi eti huwajui majina unataja mmiliki wa..... na wengine unawakosea majina yao...... Are you serious with what you are doing!!Issue ya madawa ni serious lakini naona kuna juhudi za kutaka kuizima taratibu ili biashara iendelee.
Na watanzania tusipoungana ktk vita hii na Ku support kinachoendelea tunarudi kule kule .
Sabotage sabotage sabotage!!!!!!???!!!
Hapo umenenakuuSimba na yanga
Hayo hataki hata kuyasikia kabisaMatokeo ya kidato cha nne ni mwiba kwake
..moto+sufulia+mwiko=ugariLoading......................
Karibu tutabiri.
Ipo kwenye bomba ingawa ni jembamba.Sadaka kanisani na msikitini kukatwa kodi
swissme
Mkuu njaa si tulipigwa marufuku kuijadiliHii ilizima kuzungumzia ukame na njaa nadhani tutarudi kuzungumzia hilo tena
Aaaah lakini jf ibaki hewani
Loading......................
Karibu tutabiri.