Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona Mimi namsikia hapa mawingu fm sema simuelewiameanza au mimi sioni wala kusikia muda umepita
Shost habari za siku ngapi ngapi? uko biyeeeeeeeeeeee?huko dar hakuna kazi ingine?
Ahsante mkuuMkuu, Pia clouds fm, mubashara.
Nilipata kusema hii ni vita ya Makonda V's mateja na ni vita rahisi sana ila kwa wale waliocompromise hii vita na kuipa hadhi ya dhidi ya wauzaji wa dawa za kulevyakwa hiyo hivo ndio kupambana? a very big Joke
nipo shost wangu miss u big tyme!Shost habari za siku ngapi ngapi? uko biyeeeeeeeeeeee?
Aisee bora uyasikie mwenyewe ni mambo mazito kuyaandika hapaAnasemaje sina access na clouds
Imeisha kweli.Mtuhumiwa kakamatwa na msokoto mmoja.Mission accomplished!Vita ya madawa imeisha,leo anaenda kujitetea kwa shutuma zinazomkabili.
Bora huyo aliyekiri kabisaT.I.D amekiri kutumia madawa ya kulevya mbele ya mkuu wa mkoa, na ameomba asaidiwe kuyaacha