Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Yan ananiuz huyu mtu Sana, Hana la maana kabisa anatafuta umaarufu Tu kwenye media
 
Kwa nini asiwe TBC wanaondeshwa kwa kodi zetu?Nani anagharamia matangazo hayo pale mawingu?Jee ni walipa kodi wa jiji la Dar?au ni yeye mwenyewe ?ama anafadhiliwa kama alivohoji Musukuma kule bungeni??!
 
… ili tushinde vita hii uliyoianzisha, ningeshauri pamoja na hatua ulizochukua fanya haya ya msingi ili yatusaidie kupiga vita dawa za kulevya Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla:

Kwanza : Akamatwe mara moja AGNESS JELARD MASOGANGE, mtanzania aliyekamatwa na dawa za kulevya zenye thamani ya shilingi za kitanzania bilioi 6.8 nchini Afrika Kusini mwaka 2013, alifikishwa mahakamani na kupatikana na hatia na kuhukumiwa. Kwa sasa yupo hapa Dar es Salaam. AKAMATWE, aisaidie polisi ili tujue wapi alitoa shehena hiyo kubwa ya dawa za kulevya (sitanii…, niko “serious “)

Pili : JACQUELINE CLIFFORD FITZPATRICQUE (JACK PATRICK) aliyefungwa gerezani nchini Macau-China kwa kosa la kusafirisha mzigo wa dawa za kulevya kutoka Tanzania, AKAHOJIWE huko huko au tuwasiliane na serikali ya huko itusaidie kumhoji ili tujue ni wapi alipata huo mzigo aliokamatwa nao

Huo ndiyo ushauri wangu kwa leo, Mhe. Makonda.. I hope.. hii itakufikia tu..
 
Aise wamempa maarifa ya kusafirisha madawa aise makonda chombo
 
Back
Top Bottom