Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Mh. Mbowe!hajamaliza ....lakini haya majina sio ya kutangazwa kwa staili hii. Ngoja tusubiri japo siasa zi wazi kuliko uhalisia.
 
Makonda atueleze sababu za shule za sekondari za Dar, kukamata mkia matokeo ya mtihani mwaka huu.Blabla sitaki kusikia.
 
Gwajima haahaahaaa., Yusuph Manji, Husein pamaba kali, sea cliff, dah! hakuna ataepona.
 
Mmhhh gwajima, mbowe, husen pamba kali jamani lkn mbowe mbowe dah aiseeeeeeee sitaki kuaamini macho yangu
 
I wouldn't go to the media kama kweli mimi ni kiongozi na nimeshafikishiwa majina ya watumia madawa ya kulevya. Kwenda kutaja majina kwenye media maana yake nini??? Kwani tunapambana na dawa za kulevya kupitia media? Kama ingekuwa ni hivyo basi hata lisingekuwa tatizo maana media zimeshaandika sana kuhusu tatizo hili. Thinking outside the box ni muhimu sana...
 
Back
Top Bottom