Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kuropoka ndugu...Usikubali kuendeshwa na hisia hebu jitahidi kuchanganua mambo kwanza.Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
yupo live saivi clouds fm akimaliza ndo atawapa waandishi wahabari hayo majina tuliza wengeMleta mada acha bange..pumbavu
Hayo majina yakwapi sasa.?
Mkuu sijui kama yupo kwenye orodha maana binafsi nilimshuhudia yupo hoi ofisini kwakeUmenikumbusha kifo cha Albert mangwea
Hawa jamaa wapuuzi nduguWatanzania sijui lini mtakuja kujitambua, wasipotajwa shida, wakitajwa shida!! Mbona husemi kwa nini Gwajima Na Idd Azan wametajwa!? Wapumbafu tuko wengi nchi hii, na dawa yetu ni mkono wa chuma ili tunyoke!!!!
pumbfff tu weweKuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji86] [emoji86] Mbowe?Freeman Aikael Mbowe
Mchungaji Gwajima
Yusuph Manji
Idd Azzani
Mbowe, Gwajima na Manji haaaahaa
Muache watu wafanye kazi yaoMTU was upinzani no vigumu kufanya biashara haramu. Watapatia sababu ya kumnyaka