Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuto kuamini mkuuHii ni vita ya kisiasa ,mimi siamini Mbowe awe mjinga kiasi hicho awe anajihusisha na madawa ya kulevya
yako wapi sasa hayo maneno ukamwambie mkuu wao wa mkoa pale kituo cha kati, majina hayo ndo yaliyotajwa leo unasema naropoka shame upon youUsipende kuropoka ndugu...Usikubali kuendeshwa na hisia hebu jitahidi kuchanganua mambo kwanza.
Ndiyo maana hata ile siku ya magufuli waliboronga.Waandishi wa Habari wengine Ni Vilaza Wakupindukia sijawahi ona. Mtu anauliza swali mpaka wenzake wanamkimbia ha ha haaaaaaaa
Hahaha wewe huna akiliAmejibu pia ile tuhuma ya Wema kuhusu Masogange? Tuhuma hizi pia ni nzito..
Kazugaaaaaaa Kaulizwa mara 3Amejibu pia ile tuhuma ya Wema kuhusu Masogange? Tuhuma hizi pia ni nzito..
Yule mtoto WA Boss Wako mbona hajatajwa?Mwenyewe anajijua.
Umejuaje!Hamna lolote hapo, just wordy mwisho wa siku hamtakuja kuona Papa yeyote kapandishwa mahakamani, hapa jamaa ana tu outsmart tuu
mkuu nilikuwa nasikiliza kwa radio,Waandishi wa Habari wengine Ni Vilaza Wakupindukia sijawahi ona. Mtu anauliza swali mpaka wenzake wanamkimbia ha ha haaaaaaaa
Hakuna masilahi ya wasukuma hapo Makonda anapiga kazi sana anastahili pongeziAkomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.
Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Nani aliyekudanganya mkuu hii nchi kila kitu kinawezekanaMTU wa upinzani ni vigumu kufanya biashara haramu. Watapatia sababu ya kumnyaka
Anakuwa mkali maswali ya Masigange
Nenda katoe taarifa basi pale kituo cha kati.Aseme na urafiki wake na wakina Saalah na GSM..... AACHE UNAFIKI. huwezi ona boriti jichoni mwa mwenzako wakati wewe una banzi jichoni mwako.
bila shaka wewe ni timu hii ya akina cntral maana so kwapovu hilo, mbona mambo yapo wazi tu GWAJIMA, MBOWE na akina fulani wanauzapumbfff tu wewe
Hawa jamaa wapuuzi ndugu
Kutajwa mbowe tu
Bora angetajwa hata babake!!
Dawa itawaingia awamu hii
Mkuu weka huko ukada wako. Hili swala LW MADAWA ni la watanzania woteNdio Maana Naipenda CCM!
Inazalishwa makada wakakamavu na wanaojiamini!
Asante Makonda!
Umethubutu!