Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia

43f5dd645d2131afae370625a6bdbe00.jpg


Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.

Maswali ni mengi mnoo..Hata huyo Mbunge Msukuma anautajiri wa kutisha sana na taarifa zinasema nayeye ni alikuwa/muuza poda thus why ameng'aka na hii vita ya Makonda..
Na kwanini Msukuma akae kimya kipindi chote hicho mpaka baada ya Makonda kuanza hii vita ya madawa ndiyo yeye alipuke? Where is his moral Authority?

Mwacheni Makonda amalize vita yake then tutakuja kujadili hizo tetesi zenu.

# Hakuna kiunga cha dsm ambacho hakitafikiwa.
 
Jamani Mimi naona makonda anganza na wahusika wakuu ambao kuna ingiza madawa ili kuwanusuru vijana wenzetu
 
Kwanza nasapoti sana vita unayoifanya dhidi ya madawa ya kulevya.usikate tamaa, pambana na nakuhakikishia una my full support na utafanikiwa.
Nataka kukusahihisha kuhusu technology wanayoitumia kujua position ya mapipa kama ulivosema, siyo GPRS bali ni GPS.
GPRS=General Parket Radio Service
Hii ni technology ya mawasiliano ya simu yenye uwezo wa 2.5G (ina ubora wa mawasiliano ulio kwenye kundi kati ya 2G na 3G).Haihusiki kabisa na kujua position ya vitu kwenye uso wa dunia

GPS=Global Position System
Hii ni technology inayotumia satellite kutambua position na muda(time) wa vitu mbalimbali duniani.hicho kifaa kinachofungwa kwenye mapipa kinaitwa GPS receiver na kinawasiliana na GPS satellite.

Ni hilo tu kaka
Mapapa wamekamatwa
 
Uzuri wenye akili kubwa kuhoji ndio kazi yetu.........

Hata upinzani ufe Mimi kwangu kuhoji kuko pale pale maana sina cha kupoteza..........
 
Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.

Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Respect,watu tulivyokuwa tunasema hii vita ni ngumu tulitarajia lazima watajitokeza wengi kumpinga Makonda.Angalia jinsi Polisi,Mwigulu walivyokuwa kimya
mi nielewesheni. kuwataja watu bila ushahidi kuna faida gani zaidi ya kuwafanya wawe makini na uuzaji wao. mana mi nlitegemea kama kweli wako genuine na hii vita na wanawajua hao wanaouza madawa y a kulevya je kwa nini wasiwategee mitego wakawakamata wakiwa na ushahidi mikononi wakafunguliwa mashtaka na kupewa adhabu ili wawe mifano.. sasa kumwambia mtu ambae hata ushahidi huna aje akariport kituoni kuna faida gani? kuna kitu hakijakaa vizuri hapo
 
Hahaaaaaaaakubwa la maadui Mbowe ndani ya nyumba...Chezea Makonda wewe!
Hiyo orodha inamtaja Philemon Mbowe, unamaanisha ndiye Freeman Mbowe? Hata kama kutakuwa na ukweli katika baadhi ya cases, lakini ukisoma orodha ya yale majina huchelewi kuhitimisha kuwa kinachofanywa ni kukurupuka tu ilimradi lengo la "character assassination" linatimizwa. Katika awamu ya tatu mimi nitapeleka jina la "ibambasi wa JF"!
 
CHIDI BENZI KUHARIBIKIWA KWAKE KUMEFANYA JAMII SASA IPAMBANE VILIVYO NA TATIZO HILI
 
fikiria mara mbilii wewe Idd azan, kitwna na manji hao wote ni CCM unasemaje wanakamatwa wapinzani tu,
mtu kama Sepetu ni kada mkubwa tu Chama dola
hivi mnatumia akili hizihizi wanazotumia watu wengine au mnafikiri kwa kutumia viungo vingine
Na akili nyepesi kama zako ni rahisi sana kunasa katika mtego uliotegwa?
 
Hilo ndio swali langu pia. Aliyeorodheshwa kwenye orodha iliyowekwa hapa ni Philemoni Mbowe. Clearly, huyo hawezi kuwa Freeman Aikaeli Mbowe. Sijamsikiliza Makonda wakati anataja haya majina. But it will be interesting to know kama alitaja Freeman Mbowe wakati orodha inasema Philemoni Mbowe. Kama wamekosea makusudi, basi watakuwa na lengo la kui-confuse jamii. Je, kuna mtu anafikiri jina la Freeman Mbowe linaweza kukosewa? Kwamba mtu aandike Philemoni Mbowe badala ya Freeman Mbowe? Maybe. Kukosea makusudi ni siasa.
Kwenye kutamka katamka Aikaeli mbowe mbunge wa hai kwenye kuandika kaandika Philemon mbowe.hata chizi awezi kumsikiliza makonda
 
Kukurupuka na mihemko tutaona mengi miaka hii.....

Uzuri wenye akili kubwa kuhoji ndio kazi yetu.........

Hata upinzani ufe Mimi kwangu kuhoji kuko pale pale maana sina cha kupoteza..........
Unaogelea kupana sana broda. Choose your battles wisely otherwise utaishia km Makonda
 
Back
Top Bottom