Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
SHERIA NI MSUMENO
 
But still Makonda ana hoja ya kujibu kuhusu huo utajiri wake!

Yaani akijibu ndio makosa ya wala na wauza unga yatafutika au? Hao wabunge sikuz oooote hizo hawapajua takukuru? Hata kama kachukua, kaiba ngoja kwanza amalize hili, jinai haifi, atshtakiwa hata 2022 wakati huo ukawa wakiwa madarakani,kwkakwakwakkwkaa!
 
Mmelia na "Vidagaa"..sasa Mmeletewa "Fish fillet"

Uzuri Mkuu hakai mbali na Bahari.
Huu mchezo hauitaji hasira, umekuwa kituoni, nenda kwani tatizo liko wapi??
 
Ukiamini Freeman Mbowe anauza madawa basi hata ukiambiwa your mother is a prostitute Mara moja utakubali na kutangaza kuwa huo ni ukweli
Kufikia hatua ya kumdefend Mbowe hadi kujaribu kumuweka level ya mama yako ni dalili ya kuelekea kwenye ukichaa ....Hata mimi siamini Mbowe ni drug dealer ila mnakufuru sana na utetezi wenu ....
 
Mbona kwenye taarifa za habari Manji .Gwajima,Mbowe na Azan hawatajwi?au
 
Toka lini uchafu ukasafishwa kwa uchafu?
Dawa ya uchafu ni usafi
Big up Makonda
Shut up snitchz!!.
 
Nilikuwa nawashangaa wanaojitoa mhanga, ila kwa sasa nawaelewa, natamani nipate bomu nijifunge niondoke na huyu rc ili amani ipatikane kwa watakaobaki
 
mwenzangu kupata ban nyakati kama hizi za ubuyu ni msiba,wee anikomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bnamuuuu
umbea wa mjini umeunyakaaa....!!!!?!!

bibiye mobeto kenda mjulia hali baba fantasy..central upo ....?!!;
 
Iddi Azzan nimeshangaa kusikia anasema amefurahishwa sana kutajwa rasmi kwa kuwa sasa atasafishwa Rasmi
 
Back
Top Bottom