Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia Zigo ndo hilo!!sio mimi ila nipo sampuli hii
warumi umesikia ya lulu na majizo na hamisa? eti toka majizo awekwe ndani lulu hajaonekana pande hizo .hamisa ndo anapeleka chai ya baba mtoto! watu wanajua fursa balaaNi kweli binamu
SHERIA NI MSUMENOKuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Mi nawapenda waliojazia jazia mmh!Ukisikia Zigo ndo hilo!!
Neema za Allah
But still Makonda ana hoja ya kujibu kuhusu huo utajiri wake!
Kufikia hatua ya kumdefend Mbowe hadi kujaribu kumuweka level ya mama yako ni dalili ya kuelekea kwenye ukichaa ....Hata mimi siamini Mbowe ni drug dealer ila mnakufuru sana na utetezi wenu ....Ukiamini Freeman Mbowe anauza madawa basi hata ukiambiwa your mother is a prostitute Mara moja utakubali na kutangaza kuwa huo ni ukweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bnamuuuumwenzangu kupata ban nyakati kama hizi za ubuyu ni msiba,wee anikomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yap yap..!!makonda alikulia kwa sitta?