Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

00c23a2f12b5b8e211b8bd6c8607b7b6.jpg


Hivi unadhani kile kinachoendelea kuhusu sakata la dawa za kulevya nchini,athari zake zikoje kitaifa??
 
Vita ya madawa ya kulevya ni kubwa kuliko tunavyofikiria.

Ukisikia mumeo, mkeo, hawara'ko, kaka'ko, dada'ko, mama'ko, baba'ko, babuyo, bibiyo, boss wako, rafiki yako, jirani yako, jamaa yako, mchungaji wako, sheikh wako au wewe mwenyewe unaitwa kuhojiwa usistuke.

Ni vita kubwa sana ambayo inagusa kila mmoja wetu kwa namna moja nyingine.

Tupambane kutokomeza unga, ni safari ndefu na ngumu.

Nchi imeanza kutikisika na ndiyo mwanzo.

Wapenda mema tushirikiane kwenye hili la sivyo sisi sote tutaingia kwenye janga tukitaka tusitake.

Tukiyawachia haya, utafika wakati tutawekewa madawa ya kulevya mpaka kwenye pipi, biskuti ili mradi tuwe wateja na watu waendeleze ushetani wao.

Tuungane bila kujali nani ni nani.
 
Bro Siro, nakufamu toka ukiwa Uru seminary, K'njaro Boys, Tosamaganga, Udsm nk. Nakushauri usidhalilishe weledi wako wala taaluma yako Bro.
 
Kama wanaushahidi kwann wangoje ijumaa badala ya kuamuru polisi wawakamate? Mwenye akili timamu anaelewa mchezo unaofanywa na makonda lkn hauwezi kuwa nawisho mwema.

Kuna strategies katika kufanya hivyo.

Mojawapo ni ku instigate forceful awareness kuwa none is exempted in this war.

Mbowe ana kila sababu za kuitwa polisi kujieleza.

Biashara zake za vilabu vya usiku ni kielelezo tosha kuwa anayajuwa mengi kuhusu "underworld".

Tuungane.
 
Kuna strategies katika kufanya hivyo.

Mojawapo ni ku instigate forceful awareness kuwa none is exempted in this war.

Mbowe ana kila sababu za kuitwa polisi kujieleza.

Biashara zake za vilabu vya usiku ni kielelezo tosha kuwa anayajuwa mengi kuhusu "underworld".

Tuungane.
Ahsante
 
Kuna strategies katika kufanya hivyo.

Mojawapo ni ku instigate forceful awareness kuwa none is exempted in this war.

Mbowe ana kila sababu za kuitwa polisi kujieleza.

Biashara zake za vilabu vya usiku ni kielelezo tosha kuwa anayajuwa mengi kuhusu "underworld".

Tuungane.
Sawa huyo ni mbowe, na je vilabu hawavijui vilipo? Tuachane na Mbowe what about others? Kwann wasingetuma polisi ghafla wawavamie na kusachi? Hivi unapotangaza kumtuhumu mtu kufanya jambo fulani wakati hujamkamata huoni kuwa unampa nafasi kuficha au kuharibu ushahidi wote? Mbinu anayotumia makonda hawezi kufanikiwa kamwe trust me.
 
Hiyo picha haikufai...hao ni third reich ....tofauti na hulka yako
Hii picha ina maana sana kwa dunia ya leo....tunaongozwa na illiberal democracy kila kona ya dunia ukiondoa westen europe.hio picha inatukumbusha kuwa hata uwe na nguvu gani basi huwezi kuifika ya Hitler..lakini hata kaburi yake hainekani...tenda wema watu walukumbuke kwa dua...
 
kuna vitu nkifikiria sana naona kama ukimkanyaga buibui unaweza kwenda kuzalisha mayai ndani ya kiatu chako maana hivi vitu naona kama kiiini macho. Hakuna kitu kilichokua na nguvu kama FARU JOHN leo yupo api? leo tunaona ishu ya madawa nayo imepamba moto... ngoja niishie hapa
 
Wakilikalia kimya suala la madawa, serikali ipo wapi?
Wakilivalia njuga, serikali ilikuwa wapi muda wote huo?

Ni vigumu sana kuwaelewa wanasiasa kama ilivyokuwa ngumu kumuelewa mwanamke..!
 
Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.

Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Brother pamoja sana....kuna mambo ambayo lazima yatuunganishe na tuyapinge kwa pamoja.

Vita anayopambana nayo Makonda si yake peke yake bali ya kwetu sote.
 
Video ya kwanza yenye Dakika Hamsini na Sita (56) na Sekunde Tisa (9), nimemaliza kuiangalia ila kuna baadhi ya vitu nimevigundua na vinanifanya nijiulize Masuali ya hapa na pale.

Nitataja vichache tu, kwanza:-

Mkuu wa Mkoa amewapa Wadau nafasi ya kuuliza Masuali lakini kuna baadhi ya Wadau waliouliza Masuali, hawakujibiwa ipasavyo, nikiwa na maana,

Wamejibiwa kwa mkato, kimkato. Moja la Suali ni la kumuhusu yeye mwenyewe binafsi kuhusiana na Nchi alizozizuru ni kama alienda kukutana na Magwiji wa Bwimbwi ili wayamalize juu kwa juu (kupunguza kasi), cha ajabu Mkuu wa Mkoa badala ya kujibu Suali, yeye anamwambia Muulizaji Suali,

"Utoto twende Suali lingine"

Huku akimpotezea Muulizaji Suali na kumchagua Mdau mwingine aulize Suali.

Hapana, hapa hakumtendea Haki Muulizaji Suali, labda tu kama angeweka Masharti kutokuulizwa Suali kuhusiana na yeye, hapo ningeelewa, lakini si kwa kuwapa Uhuru Wadau kuuliza Masuali kisha kutowajibu ipasavyo, inakuwa kama ni Dharau fulani vile.

Pili alipoulizwa kuhusu Masogange na kuhusiana na Biashara ya Bwimbwi,

Kwanza amepatwa na mshtuko, Pili hakupendezewa kuuulizwa lile Suali ingawa amejitahidi kuonesha ujasiri lakini kwa Mtu kama Mimi ambae nnao uwezo wa kumsoma Mtu nimeona kabisa pale kayumba, na kanywea kimtindo ingawa yeye Mwenyewe amejisifia ni Kidume wa kupambana na Changamoto yoyote ile ikiwemo ya KimaSuali.

Pili hapo hapo kwa Masogange kabla ya kumjibu Mdau Suali lake Kimkato, ilimchukua Muda kidogo na kufikia Kujikuna Taya, chini ya Kishavu karibu na Kidevu.

Hapa kwa upande wangu naona kuna namna fulani.

Sawa nampongeza kwa Kazi nzuri sana anayoifanya (kupambana na Madawa ya Kulevya), na sipingani nayo hata kidogo, na ninaifurahia sana, Maana mimi mwenyewe Watoto wangu bado wadogo sana, sasa niambie Mtoto wangu wa Kwanza atakapofika Umri wa Miaka Kumi na Kitu, na Ulimwengu wenyewe huu wa Madawa ya Kulevya si Mtihani wa hali ya juu. Sikatai, Malezi na Maadili wanayolelewa ni Meema ila kama ujuavyo Binaadam anabadilika pamoja na Maadili hayo hayo Mema.

Nikirudi tena kwa Mkuu wa Mkoa, pamoja na Pongezi nilizompa haina maana kwenye/penye Mapungufu nisiseme au nikae kimya, hapana ntatoa Sauti yangu.

Mapungufu kwenye hii Video nimeyaona.

Nikirudi tena kwenye Video yenyewe ,

Kuna vipande Sauti zimeondolewa/zimeminywa hii nafikiri kwasababu Maalum.

Maana nlikuwa na Shauku sana kuhusiana na huyo Mama anaewapeleka Wasichana wa Umri wa Kati Nchini CHINA na kuwalipa Ujira wa Dollars 7000 iwapo KAZI ikiingia salama
Wewe muunge mkono tu kama unayo nia njema...

Mkiwa vitani siku zote huwa lenu ni moja...kumshambulia adui na sio kuchukua mashambulizi ya adui dhidi ya askari mwenzenu na kuanza kumshambulia...hapo adui atakuwa amefanikiwa ktk mbinu yake ya kuwachonganisha na mkiendelea kuhitilafiana atawapiga.

Vita hii ya dawa za kulevya ni kubwa na tunapaswa kuunga mkono kwa kufumbia macho vitu vidogovidogo kwa mfano suala la masogange dhidi ya Makonda ni suala la kipuuzi na propaganda za hovyo kabisa na bahati mbaya muandishi wa habari anasimama kuuliza huo ujinga hii inaonesha kama jamii hatuko pamoja kuondoa tatizo la dawa za kulevya.

Yaani waandishi wa habari wanasimama na kuuliza propaganda bila kujua kuwa wanaziimarisha na kwa namna moja au nyingine wanamuunga mkono adui...are we serious?????
 
Sawa huyo ni mbowe, na je vilabu hawavijui vilipo? Tuachane na Mbowe what about others? Kwann wasingetuma polisi ghafla wawavamie na kusachi? Hivi unapotangaza kumtuhumu mtu kufanya jambo fulani wakati hujamkamata huoni kuwa unampa nafasi kuficha au kuharibu ushahidi wote? Mbinu anayotumia makonda hawezi kufanikiwa kamwe trust me.

Si umeona wamiliki wa Casino wameitwa pia,au hujaona?

Halafu ndiyo kwanza awamu (phase) ya pili. Usiwe na hofu, wengi wataitwa.

Niliandika hivi:

Vita ya madawa ya kulevya ni kubwa kuliko tunavyofikiria.
Ukisikia mumeo, mkeo, hawara'ko, kaka'ko, dada'ko, mama'ko, baba'ko, babuyo, bibiyo, boss wako, rafiki yako, jirani yako, jamaa yako, mchungaji wako, sheikh wako au wewe mwenyewe unaitwa kuhojiwa usistuke.

Ni vita kubwa sana ambayo inagusa kila mmoja wetu kwa namna moja nyingine.

Tupambane kutokomeza unga, ni safari ndefu na ngumu.

Nchi imeanza kutikisika na ndiyo mwanzo.

Wapenda mema tushirikiane kwenye hili la sivyo sisi sote tutaingia kwenye janga tukitaka tusitake.

Tukiyawachia haya, utafika wakati tutawekewa madawa ya kulevya mpaka kwenye pipi, biskuti ili mradi tuwe wateja na watu waendeleze ushetani wao.

Tuungane bila kujali nani ni nani.
 
Jamani mlioko mjini huko sasa hivi hakuna mateja tena? Ulevi umeisha huko?
 
ndiio maana walisema hii vita ningumu, kwasababu bado watanzania hatuutaki ukweli kuna watu hatutaki waguswe kabisa, unaposema kuchafuana kisiasa hivi mwanasiasa pale yupo pekee yake?
Sioni haja ya kuendelea kupingana na haya yanayoendelea. Hivi kaka wewe ulitaka nani atajwe na nani asitajwe???

T U A C H E U N A F I K I TUWEKE PEMBENI KUJUANA NA SIASA HII VITA NI NGUMU
Ok nilitaka watanjwe wale waliopo kwenye list ya kitwanga aliosema imeshafanyiwa uchunguzi wa kutosha na ipo verified kuwa waliopo wameshakuwa proven kuwa ni wauzaji na kilichobaki ni kuburuzwa mahakamani tu........ile ndio itumike ila hii ya kusema mtu aje tumuhoji wakati kumbe ushahidi hamna huoni ni kuchafuana tu after kutaja jina lake kwenye public....akikutwa hana hatia je utaita press kumsafisha??

Siku wasema tunasaka mashoga afu waseme mido luly njoo kwa ajili ya mahojiano wwe unafkiri watu watahisi nni kma sio kukuchafua tayari hta kma itajulikana hujihusishi na tabia hiyo??

WATUMIE LIST YA KITWANGA ILIYOKUWA VERIFIED ENOUGH OF THS POROJO
 
Jamani watu walilalamika kuwa Makonda kataja vidagaa Sasa na hawa je walio tajwa tena sio vidagaa????
 
Kwa majivuno na kiburi cha viongozi wetu, hali inayopelekea kuona watu katika jamii wasio na madaraka sio kitu. Kwani mimi nina jeshi linanizunguka, police na ninaweza kufanya ninachotaka. Hata kuingilia kazi ya chombo husika cha madawa ya kulevya kwani wao hawafai mimi nafaa zaidi. Hii ndio tuliokuwa tunaambiwa Tanzania mpya inakuja. Wasaniii wanajitahidi katika umaskini wao,hadi kuipaza Tanzania bila kusaidiwa, hata wanasaidia mnafikia uongozi mlipo. Kisha sasa hivi ni takataka. Mnawatumia kama toilet paper. Hata kama mtu amekosa,media dunia nzima aonekane kakosa, wakati bado ni tuhuma (tuhuma zinamfanya anakuwa guilt hata kabla ya investigation ).Wanasheria wetu kimya katika hilo sababu ya viongozi wa nature ya majivuno. Mungu sio Athumani. Usione umesimama usije ukaanguka.
 
Si umeona wamiliki wa Casino wameitwa pia,au hujaona?

Halafu ndiyo kwanza awamu (phase) ya pili. Usiwe na hofu, wengi wataitwa.

Niliandika hivi:

Vita ya madawa ya kulevya ni kubwa kuliko tunavyofikiria.
Ukisikia mumeo, mkeo, hawara'ko, kaka'ko, dada'ko, mama'ko, baba'ko, babuyo, bibiyo, boss wako, rafiki yako, jirani yako, jamaa yako, mchungaji wako, sheikh wako au wewe mwenyewe unaitwa kuhojiwa usistuke.

Ni vita kubwa sana ambayo inagusa kila mmoja wetu kwa namna moja nyingine.

Tupambane kutokomeza unga, ni safari ndefu na ngumu.

Nchi imeanza kutikisika na ndiyo mwanzo.

Wapenda mema tushirikiane kwenye hili la sivyo sisi sote tutaingia kwenye janga tukitaka tusitake.

Tukiyawachia haya, utafika wakati tutawekewa madawa ya kulevya mpaka kwenye pipi, biskuti ili mradi tuwe wateja na watu waendeleze ushetani wao.

Tuungane bila kujali nani ni nani.
Tofautisha wale wameitwa wamiliki kma wamiliki sio individual....... ina maana shareholders wa zile casino wanaweza tuma mwakilishi tu ila kwa mbowe kaitwa yeye kma yeye sasa kma issue ni hoteli zake mbona hajaitwa wamiliki au management rather kaitwa mbowe pekee??? Je hakuna shareholders wengine???

Hivi kwanini basi mutaje watu kuwahoji na kuwaachia wakati tayari kuna list ipo verified ya kitwanga na wanadai inaushahidi wa kutosha wakufungua kesi?? Why not use the verified list nyie mnatumia ya makonda ambayo inataka kuhoji tu hamuoni wastage of time and resources?
 
Jamani watu walilalamika kuwa Makonda kataja vidagaa Sasa na hawa je walio tajwa tena sio vidagaa????
Sawa tulitaka ataje vigogo ila njia aliotumia sio sahihi...... list bado haijafanyiwa uchunguzi unaitaja ya nni???

Bulaya na mdee na kambi ya upinzani inataka ile list ya kikwete na kitwanga ndio itumike yenye vigogo mwanzo mwisho maana hata lukuvi alisema ile ya kitwanga ikitajwa nchi itatikisika sasa kwanni wasiitaje ile tunakimbilia list isiyo na chembe ya ushahidi??!!
 
Yaani akijibu ndio makosa ya wala na wauza unga yatafutika au? Hao wabunge sikuz oooote hizo hawapajua takukuru? Hata kama kachukua, kaiba ngoja kwanza amalize hili, jinai haifi, atshtakiwa hata 2022 wakati huo ukawa wakiwa madarakani,kwkakwakwakkwkaa!


Kwa hiyo wewe ukienda TANESCO kutoa taarifa ya tatizo la umeme na ukamkuta mtu aliyekuibia jogoo lako naye kaja kuripoti tatizo hilohilo basi utamwachia? Kwamba kwa kumwachia basi tatizo la umeme litaisha?
 
Back
Top Bottom