Hizb Tahrir Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 18, 2020
- 258
- 235
- Thread starter
-
- #21
Namaanisha wanatumia vita dhidi ya ugaidi wakimaanisha vita dhidi ya uislamu. Wanaona aibu tu kusema moja kwa moja kuwa ni vita dhidi ya uislamu. Kwahiyo wamejificha ktk msamiati wa ugaidi.Una maanisha ugaidi ni jina lingine la dini ya uislam?
Unaona chuki yako dhidi ya uislamu inavyokutafuna Hadi umeshindwa kujizuiaWaislam wote si magaidi ila magaidi wote ni waislam
Akishaweka desa mezani uniite Mkuu tuje kupata "ilim" pamoja!Inaonekana Mtoa mada unao upeo mkubwa sana kwenye masuala mbalimbali nyeti na yanayogusa imani au itikadi za watu mbalimbali.
Basi kwa heshima kubwa nikuombe ndugu yangu utupatie maoni yako juu ya makundi ya Alshabaab, Islamic State ( IS) na Boko Haram
Aksante kwa mada nzuri ya kuvutia
🤣🤣🤣🤣Mtamuonea bure mtoa mada maana yy ni mtanzania hiyo dini anayozungumzia sio asilli yake amepata mapokeo tu kutoka kwa wengine jamani tuamini Imani zetu hata ukiulizwa unapakusemea
Mkuu hakuna chuki hapo- na hakika wewe si uislam. unanionea bureUnaona chuki yako dhidi ya uislamu inavyokutafuna Hadi umeshindwa kujizuia
Mpaka hapa ameshapoteana maana ameulizwa maswali kadiri anavyojibu ndo anavyoibua maswali mengi basi amebaki kujibu yale anayoyaona yeye mepesi.Wajuba msije mkamfanya mtoa mada akaikimbia mada yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Tumechoka na baseless malalamiko. Tufanye kazi,tueneze dini kwa upendo na amani, tujikite kwenye Elimu zote,tujiamini, tuache malalamiko kila siku. Yanachosha.Tangu kuanguka kwa Ujamaa, Mabepari hawana mfumo unaowatisha na kuwapinga zaidi ya Uislamu. Hivyo miongoni mwa mbinu wanazotumia kuumaliza Uislamu bila mafanikio ni Vita dhidi ya ugaidi.
Kupitia Vita hii wamejihalalishia damu, dhuluma, na mateso kwa Waislamu dunia nzima wakiwatumia viongozi vibaraka wanaotawala nchi changa kwa niaba yao.
Nchi zinazokoloniwa(zinazoendelea) zikalazimishwa kupitisha Sheria ya ugaidi na kuua na kutesa raia wao ikiwaweka magerezani bila ushahidi, nk kwa hongo ya "misaada ya kupambana na ugaidi" huku viongozi wake ambao ni mbwa na watumwa wa Wakoloni wakiwaachia Wakoloni hao kupora Mali ya ummah kwa jina la uwekezaji
Wewe quraan unaijua?Kwann magaidi wakiwa wanachinja mtu wanasoma quruan?je Kuna aya inaruhusu watu kuuwawa?
Upendo utapatikana vipi Kama Kuna watu wanadhulumiwaTumechoka na baseless malalamiko. Tufanye kazi,tueneze dini kwa upendo na amani, tujikite kwenye Elimu zote,tujiamini, tuache malalamiko kila siku. Yanachosha.
Haya mengine ni upuuzi wa kila siku umeshachosha. Kutwa kulalamika kama mamie alokosa mwana.
Mi sijadhulumiwa kitu. Popote pale. Jibu maswali ya wadau kule juuUpendo utapatikana vipi Kama Kuna watu wanadhulumiwa
Maswali yanaulizwa nje ya mada, ya ndani ya mada yanajibiwa vzr kwa ufasahaMpaka hapa ameshapotena maana ameulizwa maswali kadiri anavyojibu ndo anavyoibua maswali mengi basi amebaki kujibu yale anayoyaona yeye mepesi.
Una maoni gani kuhusu hivi vikundi vya Kigaidi vinavyoua maelfu ya raia wasio na hatia? Boko Haram, Alshabab, Al Qaeda, ISIS (IS) na vinginevyo vingi?Ugaidi na jihadi ni concept mbili tofauti.
Hili lako ni jipya, linahitaji mjadala mpana, anzisha Uzi wake.Uislam ndio dini kamili hizo zingine sawa na vikoba tu maana wanabadili maandiko kila siku
Acha upotoshajiWao huenda hawaonewi kwa vile dini zao zinakubaliana na ubepari na unyonyaji
Kwahyo wanavyopambana kuondoa hao magaid kina Boko Haram nk wanafanya kosa?Namaanisha wanatumia vita dhidi ya ugaidi wakimaanisha vita dhidi ya uislamu. Wanaona aibu tu kusema moja kwa moja kuwa ni vita dhidi ya uislamu. Kwahiyo wamejificha ktk msamiati wa ugaidi