Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Jinsi ya kudeal na magaidi ni Kama kibiti ,ukiona kizazi hiki ni haohao ni kuondoa chote hakuna mahakama waliua wauawe.
 
Mimi naona waislamu wapinge hawa magaidi wasitumie jina uislamu kwenye matendo ya ugaidi kwa kisingizio wanaeneza dini ya uislamu au wanapigania dini
Haiwezekani asilani.Quran yenyewe ndiyo inaelekeza wanayotenda magaidi na wako sahihi kwa mujibu wa kitabu.kila wafanyalo Kuna Aya inasupport
 
Siku hizi ugaidi umekuwa cheap Sana unabambikiziwa kesi tu kuwa ni gaidi alafu huna pakujitetea mana ni mfumo mzima unakuzunguka.nilisikia kule mkoa wa tanga waislamu wanalalamika kuna masheikh wao wamepewa kesi ya ugaidi wakati hata visu hawajawai kumiliki kisa cha kuambiwa wao ni magaidi na kusotea jela hadi wakati huu naandika hapa ni kwamba walikuwa wanachangisha hela KWA ajili ya kuja kujenga hospital ya kiislamu BAsi hilo ndio kosa lao kubwa hadi leo Wananyea debe maweni tanga huu ni ukwei mtupu.Neno ugaidi ni hila za wazungu katika kuwavunja nguvu waislamu huo ndio ukweli ndugu zangu na polisi wote wanaotumwa kukamata kamata masheikh wanajua hizi hila na madhila wanayo fanyiwa waislamu.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Sio lazima ushike kisu.tena hawa wanaweka kuwa hatari kuliko walioshika visu.kauli zao ni hatari zaidi.
Huku wanachangisha fedha bila shida za kujenga misikiti
 
Nimetoa mfano wa Iraq mbona hujazungumzia huo.
Sio Iraq tu Panama, Grenada zilivamiwa pia.kuhusu Iraq Saudi Arabia, Kuwait,Emirate,Bahrain walihofia uwezo wa kijeshi wa Saddam walitaka aondolewe na hasa baada kuivamia kuwait.uwezo huo alijengewa na marekani na haohao Saudi Arabia &Co ili kuishambulia iran.nakukumbusha Sasa nchi zote za kiarabu ni rafiki wa Israel,wanaishinikiza marekani kuishambulia nchi ya kiislamu Iran kwa kulipa gharama,na hiyo ni biashara nzuri.nenda Yemen Nani anaua hao waislamu kwa ukatili mkubwa +starvation.
Hivi umewahi sikia waislamu kutoka maeneo yenye shida wakiomba hifadhi nchi tajiri za kiislamu (kiarabu) waliotayari kuwachukuwa ni wale mnaowachukia na hapo Trump alikuwa sahihi
 
Mtoa Mada ni Mweupe kichwan hajui kitu chochote kuhusu UGAIDI hajui chochote kuhusu CIA hajui chochote kuhusu vita baridi hajui chochote kuhusu mlengo wa vikundi vya kigaidi anachojua ni kuwa waislamu wanaonewa ndio maana ameanzisha Mada ambayo hawezi kujibu Ata swali dogo kuhusu kulipuliwa kwa ubarozi wa Marekani nchini Kenya na Tanzania hajui chochote yupo apa kulia Lia bila sababu mzungu amefata mafuta wenyew wameamisha magoli imekua vita ya kidini hopeless kabisa
 
Jinsi ya kudeal na magaidi ni Kama kibiti ,ukiona kizazi hiki ni haohao ni kuondoa chote hakuna mahakama waliua wauawe.
Hata mimi namuunga mkono waziri mkuu wa Israel Netanyahuu aliposema magaidi hawaelewi lugha yeyote zaidi kuwafkelea mbali sio diplomatic hawa watu
 
Shida hao magaidi wanatumia uislam kuwaponza waislam wenzao. Quran ni kitabu kizuri ila kuna wanaokitumia kuhalalisha ugaidi
Shida nyingine hawa magaidi wanapotekeleza matukio yao ya ajabu,waislamu wengi hawayakemei matendo hayo ndio maana watu wanaihusisha hiyo dini na magaidi
 
Nimesoma.huu uzi na comments za wakiristo nilichojifunza wakiristo ni watu wakiamini kitu ndio hicho hicho hata kama sio cha kweli madhali wao wamekiamini BAsi wanakufa nacho rohoni.mfano mdogo ni hili suala la ugaidi yani uwezi kumpa maelezo akakuelewa kashafundishwa hivyo na cNN.huwez kumtoa katika hiyo fikra ni haki yake ndio maana hadi leo Bado wanaamini yesu ni mungu .Hakuna wakuwazuia hata umpe dalili ya akili hawez kashaamini hivyo .hata umwambie nguruwe haifai ana madhara kiafya hawez kukuelewa hata kidogo.kwahiyo ndugu zangu waislamu hawa watu ni kuwasupport tu wanachokisema mana hata ukiwaelimisha hawakubali kwanza wanajifanya wajuaji kuwa wamesoma kupindukia ila uwezo wa vitu vidogo vidogo unawashinda.

Mfano.mtu akifanya mauaji mwenye jina la kiislamu utasikia huyo gaidi ila mtu yule yule akifanya mauaji tukampa jina la kikiristo hawez kuitwa gaidi badala yake atapewa jina lingine kama mtu asiefahamika au jina lolote .hapo unapata picha.

Turudi china kuna waislamu wanateswa na kuuliwa kisa tu ni waislamu lakin wakiristo hawaguswi na hili.je hao wanaotesa waislamu na kuwaua ni magaidi pia ??? Au KWA kuwa wauaji sio waislamu BAsi sio magaidi???

Angalizo

Uislamu huo mnaousoma kwenye media sio tulio nao huku mitaani kwetu nyie wenyewe ni mashaidi mtunaseme mtaani kwake kulishawai kutokea ambush ya kuua wakiristo???? KWA sababu ni wakiristo??

Watu waache kuaminishwa kuwa uislamu ni ugaidi na kuamini kuwa ugaidi lengo kubwa ni kuua wakiristo.

Kama ugaidi ni lengo la kuua wakiristo mbona hao magaidi wakiingia sehemu wanaua hawachagui waislamu au wakiristo.????

Kuna watu wanazungumzia kuwa kibit walikuwa magaidi hujiulizi kwann kambi iwepo kibiti ambapo ni pwani na zaidi kuna waislamu wengi na kwann wanaouliwa zaidi na hao magaidi ni waislamu KWAnn wasingeenda kuweka mbeya zone yao ili wauae wakiristo??? Tumia akili kujua hapo lengo ni nini

Wakiristo mkikua na mkaanza kutumia akili zenu vizur ndio mtajua nani kaanzisha ugaidi KWA lengo gani na KWA faida zipi

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma.huu uzi na comments za wakiristo nilichojifunza wakiristo ni watu wakiamini kitu ndio hicho hicho hata kama sio cha kweli madhali wao wamekiamini BAsi wanakufa nacho rohoni.mfano mdogo ni hili suala la ugaidi yani uwezi kumpa maelezo akakuelewa kashafundishwa hivyo na cNN.huwez kumtoa katika hiyo fikra ni haki yake ndio maana hadi leo Bado wanaamini yesu ni mungu .Hakuna wakuwazuia hata umpe dalili ya akili hawez kashaamini hivyo .hata umwambie nguruwe haifai ana madhara kiafya hawez kukuelewa hata kidogo.kwahiyo ndugu zangu waislamu hawa watu ni kuwasupport tu wanachokisema mana hata ukiwaelimisha hawakubali kwanza wanajifanya wajuaji kuwa wamesoma kupindukia ila uwezo wa vitu vidogo vidogo unawashinda.

Mfano.mtu akifanya mauaji mwenye jina la kiislamu utasikia huyo gaidi ila mtu yule yule akifanya mauaji tukampa jina la kikiristo hawez kuitwa gaidi badala yake atapewa jina lingine kama mtu asiefahamika au jina lolote .hapo unapata picha.

Turudi china kuna waislamu wanateswa na kuuliwa kisa tu ni waislamu lakin wakiristo hawaguswi na hili.je hao wanaotesa waislamu na kuwaua ni magaidi pia ??? Au KWA kuwa wauaji sio waislamu BAsi sio magaidi???

Angalizo

Uislamu huo mnaousoma kwenye media sio tulio nao huku mitaani kwetu nyie wenyewe ni mashaidi mtunaseme mtaani kwake kulishawai kutokea ambush ya kuua wakiristo???? KWA sababu ni wakiristo??

Watu waache kuaminishwa kuwa uislamu ni ugaidi na kuamini kuwa ugaidi lengo kubwa ni kuua wakiristo.

Kama ugaidi ni lengo la kuua wakiristo mbona hao magaidi wakiingia sehemu wanaua hawachagui waislamu au wakiristo.????

Kuna watu wanazungumzia kuwa kibit walikuwa magaidi hujiulizi kwann kambi iwepo kibiti ambapo ni pwani na zaidi kuna waislamu wengi na kwann wanaouliwa zaidi na hao magaidi ni waislamu KWAnn wasingeenda kuweka mbeya zone yao ili wauae wakiristo??? Tumia akili kujua hapo lengo ni nini

Wakiristo mkikua na mkaanza kutumia akili zenu vizur ndio mtajua nani kaanzisha ugaidi KWA lengo gani na KWA faida zipi

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Ni vizuri ungeweka vifungu vya Koran vinavyo kukataza kuua wakristo ingekuwa vyema Sana.
Kuna Maneno ya Allah ya chuki kwa wakristo na wayahudi na Allah kaongea kea hasira Sana kwamba muwaue popote mnapo wakuta na pia msiwe na urafiki nao kakataza kabisa na kasisistiza ukiwa rafiki na mkristo hutakuwa chochote mbele yake.

Muhammad kwenye maneno yake kupitia hadith kasema ukikutana na mkristo na myahudi Kama huna silaaa msukumize mtaroni

Yote hayo ni mafundisho ya Muhammad na Allah
 
Nimesoma.huu uzi na comments za wakiristo nilichojifunza wakiristo ni watu wakiamini kitu ndio hicho hicho hata kama sio cha kweli madhali wao wamekiamini BAsi wanakufa nacho rohoni.mfano mdogo ni hili suala la ugaidi yani uwezi kumpa maelezo akakuelewa kashafundishwa hivyo na cNN.huwez kumtoa katika hiyo fikra ni haki yake ndio maana hadi leo Bado wanaamini yesu ni mungu .Hakuna wakuwazuia hata umpe dalili ya akili hawez kashaamini hivyo .hata umwambie nguruwe haifai ana madhara kiafya hawez kukuelewa hata kidogo.kwahiyo ndugu zangu waislamu hawa watu ni kuwasupport tu wanachokisema mana hata ukiwaelimisha hawakubali kwanza wanajifanya wajuaji kuwa wamesoma kupindukia ila uwezo wa vitu vidogo vidogo unawashinda.

Mfano.mtu akifanya mauaji mwenye jina la kiislamu utasikia huyo gaidi ila mtu yule yule akifanya mauaji tukampa jina la kikiristo hawez kuitwa gaidi badala yake atapewa jina lingine kama mtu asiefahamika au jina lolote .hapo unapata picha.

Turudi china kuna waislamu wanateswa na kuuliwa kisa tu ni waislamu lakin wakiristo hawaguswi na hili.je hao wanaotesa waislamu na kuwaua ni magaidi pia ??? Au KWA kuwa wauaji sio waislamu BAsi sio magaidi???

Angalizo

Uislamu huo mnaousoma kwenye media sio tulio nao huku mitaani kwetu nyie wenyewe ni mashaidi mtunaseme mtaani kwake kulishawai kutokea ambush ya kuua wakiristo???? KWA sababu ni wakiristo??

Watu waache kuaminishwa kuwa uislamu ni ugaidi na kuamini kuwa ugaidi lengo kubwa ni kuua wakiristo.

Kama ugaidi ni lengo la kuua wakiristo mbona hao magaidi wakiingia sehemu wanaua hawachagui waislamu au wakiristo.????

Kuna watu wanazungumzia kuwa kibit walikuwa magaidi hujiulizi kwann kambi iwepo kibiti ambapo ni pwani na zaidi kuna waislamu wengi na kwann wanaouliwa zaidi na hao magaidi ni waislamu KWAnn wasingeenda kuweka mbeya zone yao ili wauae wakiristo??? Tumia akili kujua hapo lengo ni nini

Wakiristo mkikua na mkaanza kutumia akili zenu vizur ndio mtajua nani kaanzisha ugaidi KWA lengo gani na KWA faida zipi

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Umesahau kilichotokea mbagala tu kwa sababu wamesikia Kuna mtoto kakojolea Quran? Hukumbuki watu walitoka misikitini na kwenda kuchoma kanisa?
 
Mzee mbona unaulizwa swali jepesi ila unalifanya liwe gumu!

Nalirudia tena kwa niaba ya..

Ikikojolewa Qur'an mnatoka hadharani makundi kwa makundi mkikemea na kulaani mbali zaidi mkitaka kumtia adabu mkojoleaji

Sasa umeombwa hapo umtaje angalau kiongozi hata mmoja aliyetoka hadharani na kukemea na kulaani hivi vitendo kama mfanyanvyo Qur'an ikifanyiwa kile kitendo
Hii picha inajionyesha yenyewe na hawa sio makafiri ni waislamu wanapinga ugaidi lakini wewe hutaki kukubali
Je wajua magaidi wanalipua miskiti Mingi kuliko makanisa?
Sasa huko msikitini kuna waislamu au makafiri?
Je unaamini waislamu wanasapoti mauaji miskitini?
Kuna vitu vingine ni rahisi sana ila kwa sababu watanzania wengi wamepandikizwa chuki dhidi ya waislamu Ndio hivyo tena
Hata ukienda Google na uandike Muslims scholars against terrorism Utakuta viongozi wengi wa kiislamu wanakemea lakini huwezi kukubali kutokana na chuki uliyopandikizwa tangu mdogo ukiwa shule ya msingi kua waislamu ni waovu
Unfortunately hio history ipo Tanzania tu
 

Attachments

  • IMG_20210219_144831.jpg
    IMG_20210219_144831.jpg
    165.2 KB · Views: 3
Ni vizuri ungeweka vifungu vya Koran vinavyo kukataza kuua wakristo ingekuwa vyema Sana.
Kuna Maneno ya Allah ya chuki kwa wakristo na wayahudi na Allah kaongea kea hasira Sana kwamba muwaue popote mnapo wakuta na pia msiwe na urafiki nao kakataza kabisa na kasisistiza ukiwa rafiki na mkristo hutakuwa chochote mbele yake.

Muhammad kwenye maneno yake kupitia hadith kasema ukikutana na mkristo na myahudi Kama huna silaaa msukumize mtaroni

Yote hayo ni mafundisho ya Muhammad na Allah
Ww uislamu umeijulia wapi?? Hadithi za mtume muhammad swallahullah alaih wasalam unazijua kuzitafsir ??? Au umeona sehemu kumeandikwa kiswahili unachukua kama ilivyo bila kujua mantiki yake ??? Hivi unajua mtume wetu alikuwa na ndugu wasio waislamu mbona hakuwaua ??? ACHA ujinga BAsi tumia hata akili yako

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom