Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Hivi vitu viwili huwa viko hiviii
images - 2021-02-19T205123.885.jpeg
 
tunazungumzia watu kama al shabab na boko haram famba we. mbona unajifanya huelewi?
Kuwa na akili basi!

Unajua nimeandika hivyo kwa sababu gani au unajiandikia tu ili kujifurahisha, nimeandika hivyo kutokana na maswali aliyokuwa anaulizwa mtoa mada na wadau sasa nakushangaa wewe unavyoniletea habari za al shabaab!
 
HUWEZI kuutenga Uislam na Ugaidi.! hapo awali niliwaza Kama Wewe kua Ugaidi ni watu tu wenye interest zako Ila 28.12.2020 nilibadili msimamo Kwa niliyoyaona. Tandahimba kijiji cha Michenjele,, unawasikia kabisa wanasema Takbiriiiii ,,,,Allah Akbar,, wamevaa makanzu na mandevu na evendence zilipatikana kua wanahifadhiwa Kwa baadhi ya misikiti ... wanajiita " Answar Sunna wa jamaa" KUTOKA SIKU HIYO NAJIHADHARI NA NYINYI
Thread closed!

Umemaliza kila kitu ambacho nimekiongea hapo juu
 
Kutoka hadharani maana yake nini?
Au tuchukue maspika na gari tuzungumze dunia nzima?
Bottom line uliza uislamu unasemaje kuhusu mauaji ya watu wasio na hatia
Swala la nani anakemea na nani anapinga huwezi jua maana haupo na sisi
Pombe, zinaa, nguruwe nk ni haramu
Je umewahi kuona sheikh gani anakemea unavyotaka wewe?
Je kwa sababu hujawahi kusikia hadharani Ndio Pombe iwe halali?
Mzee mbona unaulizwa swali jepesi ila unalifanya liwe gumu!

Nalirudia tena kwa niaba ya..

Ikikojolewa Qur'an mnatoka hadharani makundi kwa makundi mkikemea na kulaani mbali zaidi mkitaka kumtia adabu mkojoleaji

Sasa umeombwa hapo umtaje angalau kiongozi hata mmoja aliyetoka hadharani na kukemea na kulaani hivi vitendo kama mfanyanvyo Qur'an ikifanyiwa kile kitendo
 
Kwanza viongozi wa kiislamu unawajua??? Unataka uone makemeo wapi jamiiforums kwenye ulishawai kula tunda kimasihara..?

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Unaona sasa mwingine huyu!

Unaleta habari za mimi kumjua kiongozi wa Kiislam, ishu iliyopo hapa ni wewe kuleta ushahidi wa viongozi wenu wakikemea huo ujinga basi
 
Majuzi Rais wa Ufaransa Macron aliwachana ukweli kuwa " Uislam ndo chanzo cha dunia kuteseka kupitia ugaidi" Waislam acha wammaindi imefikia hatua hadi baadhi ya nchi za Uarabuni kuacha kususia bidhaa za Ufaransa.

Lakini kwa wakati huo huo Waislam wanalalamika Macron kuisema vibaya dini hiyo lakini huwasikii wakikemea vile vikundi vya kigaidi ambavyo vinaifanya dunia kupitia wakati mgumu sasa unajiuliza hawa watu vipi
 
Kutaka kumfanya mtu kuamini namna unavyo amini wewe ni mzani tosha wa kupima fikra pana na fikra ndogo kabisa.

Wakuu mlio kuwepo kipindi cha mkasa wa ubalozi wa USA, Dar kushambuliwa kuna kiongozi wa dini ya uislamu alijitokeza kulaani kitendo kile?
 
Mzee mbona unaulizwa swali jepesi ila unalifanya liwe gumu!

Nalirudia tena kwa niaba ya..

Ikikojolewa Qur'an mnatoka hadharani makundi kwa makundi mkikemea na kulaani mbali zaidi mkitaka kumtia adabu mkojoleaji

Sasa umeombwa hapo umtaje angalau kiongozi hata mmoja aliyetoka hadharani na kukemea na kulaani hivi vitendo kama mfanyanvyo Qur'an ikifanyiwa kile kitendo
Mkuu, sio kwamba hili swali halielewi. Amelielewa sana.
Nimeliuliza zaidi ya mara 10 ila jamaa anapiga danadana tu.

Na hii ni kwa sababu HANA JIBU, Hawezi kumtaja kiongozi yoyote aliyewahi kukemea kwa sababu huyo kiongozi HAYUPO.
 
Majuzi Rais wa Ufaransa Macron aliwachana ukweli kuwa " Uislam ndo chanzo cha dunia kuteseka kupitia ugaidi" Waislam acha wammaindi imefikia hatua hadi baadhi ya nchi za Uarabuni kuacha kususia bidhaa za Ufaransa.

Lakini kwa wakati huo huo Waislam wanalalamika Macron kuisema vibaya dini hiyo lakini huwasikii wakikemea vile vikundi vya kigaidi ambavyo vinaifanya dunia kupitia wakati mgumu sasa unajiuliza hawa watu vipi
Vile vikundi ni project zao za kueneza Uislam na kumtii Alah, wanaita Jihad.

Huwezi kuwasikia wakikemea hata siku moja.
 
Labda uislamu wa hivi mnafundishwa na askofu wenu ili chuki ziwaingie zaidi .kama unataka kujua uislamu utafute sehemu rasmi sio kuchukua kitu kimoja ukakitafsiri unavyojua ww alafu unakuja kwenye public kujifanya na ww unajua uislamu na kutaka kuuchafua.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Watu wamejazwa chuki ya uislamu
 
Unawazungumzia watu Kama Iraq ambao walivamiwa kwa madai ya uongo ya silaha za nyuklia ambazo hazijapatikana wakishuhudia mama zao wanabakwa na wanajeshi wa Marekani. Hawa wakijitoa muhanga na kuua wanajeshi hao ndiyo unaulizia Kama wapo sahihi au hawapo sahihi?
Wewe uliona mama zao wakibakwa?
 
Unawazungumzia watu Kama Iraq ambao walivamiwa kwa madai ya uongo ya silaha za nyuklia ambazo hazijapatikana wakishuhudia mama zao wanabakwa na wanajeshi wa Marekani. Hawa wakijitoa muhanga na kuua wanajeshi hao ndiyo unaulizia Kama wapo sahihi au hawapo sahihi?
Kenya,Mali, Tanzania (ubalozi wa USA), Nigeria,misri, Algeria, Uganda, Chad, nk.mamia waliuawa kwa jina la Allah
 
Shida hao magaidi wanatumia uislam kuwaponza waislam wenzao. Quran ni kitabu kizuri ila kuna wanaokitumia kuhalalisha ugaidi
Hawa magaidi Wanayoyatenda yote yapo sahihi kwenye hicho kitabu kizuri.na ndio maana wanashindwa kuwakana. wakishughulikiwa wanaona unashughulikiwa uislamu
 
Waislamu wengi wanawachukia wamerekani,wazungu .ndio wanaongoza kuwafuta kwao ulaya!mpaka wanafia baharini kwa maelfu
 
Back
Top Bottom