Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Usitoke nje ya mada , Kama una mada ya biblia anzishe nije nikusambaratishe

Sijanukuu aya ya 47 tu na nani kawaambia koran ni mtiririko wa habari , koran kila mstari MMOJA au miliwi inatoka habari tofauti.

Aya maandiko ndio maagizo ya Allah kwenu muwaue wasio dini yenu popote mnapo wakuta na Muhammad alilisitiza aya ukimjuta njiani na huna silaaa ya kumuua msukumize mtaroni
Kama hayo Ndio maagizo ya dini yetu mbona tunaishi na wasiokua waislamu na hatufanyi hivyo?
Tangu umezaliwa umewona waislamu wangapi?
Mara ngapi umewaona wakiwasukumiza kwenye shimo?
Kuna vitu vingine havihitaji uwe na PhD kuelewa
Kama nilivyo sema awali, dini ni imani wewe endelea kuamini waislamu wanaamini vile wakati Sisi imani yetu ipo tofauti
Baba yangu anaitwa mussa wee ukilazimisha anaitwa Issa mimi takua nakupotezea tu muda maana mimi namjua baba yangu kuliko wewe
 
Apana hao watu sio magaidi, rejea tafsiri ya gaidi
Hao sio magaidi maana tafsiri halisi ya ugaidi (terrorism ) ni makundi ya kiislamu yanayo tafuta haki kwa njia ya fujo (violence ) so kua gaidi lazima uwe muislamu
 
Kama hayo Ndio maagizo ya dini yetu mbona tunaishi na wasiokua waislamu na hatufanyi hivyo?
Tangu umezaliwa umewona waislamu wangapi?
Mara ngapi umewaona wakiwasukumiza kwenye shimo?
Kuna vitu vingine havihitaji uwe na PhD kuelewa
Kama nilivyo sema awali, dini ni imani wewe endelea kuamini waislamu wanaamini vile wakati Sisi imani yetu ipo tofauti
Baba yangu anaitwa mussa wee ukilazimisha anaitwa Issa mimi takua nakupotezea tu muda maana mimi namjua baba yangu kuliko wewe
Kama hauwavizii, hauwazingiri, hauwafungi minyororo na wala hauwasukumizi mtaroni wasiokuwa waislamu wewe haufuati mafundisho ya Muhammad na Allah
 
Kama hauwavizii, hauwazingiri, hauwafungi minyororo na wala hauwasukumizi mtaroni wasiokuwa waislamu wewe haufuati mafundisho ya Muhammad na Allahkwa
Kwa hio ulimwenguni hakuna waislami?
Maana hakuna anafanya hivyo
Sasa wewe unaamini wote ni makafiri wenzako?
 
Kwa hio ulimwenguni hakuna waislami?
Maana hakuna anafanya hivyo
Sasa wewe unaamini wote ni makafiri wenzako?
Ndio Kama hamfuati Muhammad na Allah hakuna waislamu , waislamu wamebakia vile vikundi vya ugaidi wale wanamfuata koran vizuri
 
Kweli hili swala ni gumu kwangu
Mimi nipo hapa sio tu nakemea Bali pia napinga kwa hoja zote lakini bado unanilazimisha kua mimi naunga mkono ugaidi
Sijui nifanyaje Ndio ujue mimi nalaani ugaidi
I am out of idea
Basi Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni
 
Kweli hili swala ni gumu kwangu
Mimi nipo hapa sio tu nakemea Bali pia napinga kwa hoja zote lakini bado unanilazimisha kua mimi naunga mkono ugaidi
Sijui nifanyaje Ndio ujue mimi nalaani ugaidi
I am out of idea
Ok. Mimi nimekuelewa kuwa unapinga ugaidi. Lakini unapinga pia vikundi vya kigaidi kama al shabab, boko haram na al qaida?
 
Sasa wanajeshi wa marekani wanahusiana vipi na ukristo?

Hao wanajeshi wa marekani huwa wanatumia Jina la Yesu kuua?
Huwa wanatumia maandiko ya Biblia kujustify mauaji yao?

Umewahi kusikia popote pale mtu anaua watu kwa kutumia Jina la Yesu au kwa kutumia justification ya maandiko ya Biblia???

Haya maswali mbona nimeuliza sana huko juu na mnayakwepa?
Ww ndio akili huna hujui hata hii dunia imetawaliwa na propaganda kila sehemu.kwani ww huwezi kuua huku ukisema Allahu akbar ???? Kusema Allahu akbar na kufuga ndevu haikufanyi kuwa muislamu

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Unawazungumzia watu Kama Iraq ambao walivamiwa kwa madai ya uongo ya silaha za nyuklia ambazo hazijapatikana wakishuhudia mama zao wanabakwa na wanajeshi wa Marekani. Hawa wakijitoa muhanga na kuua wanajeshi hao ndiyo unaulizia Kama wapo sahihi au hawapo sahihi?
Vipi sadam husein alivyoua maelfu ya waislam wenzake kwa gesi.vipi shia wanaposwali wanalipuliwa misikitini na waislam wenzao.Vipi shia na suni wanauana Iraq.Hao wote ni mabeberu
 
Hilo la wazungu kujua kuwa uislam ndio dini ya kweli ni la kufikirika tu. kila mmoja anaweza kujenga dhana kuwa dini yake ndio ya ukweli ilhali sio kweli.
sasa wewe je parle, unakemea au hukemei makundi ya kigaidi kama boko haram, al shabaab na al qaida. je unayalaumu makundi haya vikali kwa kufanya vitendo vya kikatili kwa hata wasiokuwa na hatia?
Hata hao bokoharam walishawai kukamatwa kwenye tukio wanavamia wakadakwa katika kuchunguzwa na kuhojiwa ikaonekana ni wakiristo ila.police wakavunga kwakuwa inajulikana ni project za watu zimeletwa KWA njia ya kanzu ya uislamu.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Anti Baraka ni kundi la kigaidi lenye kutumia jina la Ukristo ndio.

Lakini liliundwa baada ya kundi la waasi la SELEKA nchini Afrika Ya Kati kuwalenga zaidi Wakristo sasa baadhi ya Wakristo wakaunda kundi ambalo ndilo Anti Baraka ili kupunguza uonevu kutoka kwa SEKEKA ambalo wapiganaji wake ni Waislam lakini ndo hivyo anti Baraka wakaenda mbali na kuanza kuua hadi raia wasio na hatia.

Viongozi wa dini wa Kikristo walitoka hadharani kukemea na kupinga uundwaji wa kundi hilo la ANTI BARAKA na ufanyaji kazi wake wa kutumia dini ya Kikristo ina maana lipo kinyume na taratibu za Kikristo.

Swali
Ni lini viongozi wa dini ya Kiislam walitoka hadharani na kukemea hayo makundi kina al shaabab, IS, Al Qaeda na nk?
Kwanza viongozi wa kiislamu unawajua??? Unataka uone makemeo wapi jamiiforums kwenye ulishawai kula tunda kimasihara..?

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
nchi wafadhili wakubwa wa ugaidi ni za kiislam
☆ela za mafuta zinawawasha

nchi zenye vikundi vingi vya ugaidi ni za kiislam

nchi zilizoathirika sana na ugaidi ni za kiislam

hiyo imepelekea mataifa makubwa kuona fursa na kuanza kuwatumia magaidi kujinufaisha kiuchumi

anyway mwislaam ndugu yake mwislaam
tumia hata upanga/vita kueneza dini
jihad +72 bikra
wagalatia/kafir/wakristo wanatakiwa waslim kivyovyote vile

BAHATI MBAYA mepewa hela mkanyimwa akili
Labda uislamu wa hivi mnafundishwa na askofu wenu ili chuki ziwaingie zaidi .kama unataka kujua uislamu utafute sehemu rasmi sio kuchukua kitu kimoja ukakitafsiri unavyojua ww alafu unakuja kwenye public kujifanya na ww unajua uislamu na kutaka kuuchafua.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Ww ndio akili huna hujui hata hii dunia imetawaliwa na propaganda kila sehemu.kwani ww huwezi kuua huku ukisema Allahu akbar ???? Kusema Allahu akbar na kufuga ndevu haikufanyi kuwa muislamu

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Swali langu ambalo wenzako waliokutangulia hapa wamelikimbia wote ni hili:

Hao wanaosema "Alah akbar" na kuchafua jina la Alah na Uislam, Hao wanaotumia jina la Mungu wetu "Alah" kuua, Mmewahi kuwakemea popote pale?

Yaani mmewahi kujitokeza hata mara moja HADHARANI kuwakemea wasitumie Jina tukufu la Alah kwa hivyo vitendo vichafu?

Hili swali limekuwa gumu sana kwa wenzako na wote wamelikwepa, labda wewe unaweza kuwasaidia kujibu.
 
nchi wafadhili wakubwa wa ugaidi ni za kiislam
☆ela za mafuta zinawawasha

nchi zenye vikundi vingi vya ugaidi ni za kiislam

nchi zilizoathirika sana na ugaidi ni za kiislam

hiyo imepelekea mataifa makubwa kuona fursa na kuanza kuwatumia magaidi kujinufaisha kiuchumi

anyway mwislaam ndugu yake mwislaam
tumia hata upanga/vita kueneza dini
jihad +72 bikra
wagalatia/kafir/wakristo wanatakiwa waslim kivyovyote vile

BAHATI MBAYA mepewa hela mkanyimwa akili
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom