Waziri mkuu Sharon aliwataka waisrael kuondoka Jerusalem, na akaanza operesheni ya kuwaondoa kwa lengo la kuwaachia mji huo wapalestina ili kuleta amani ya kidumu. Kilichofuatia Sharon aliingia kwenye coma ya miaka 6 ndipo akafariki.Yote yanaweza kufanyika LAKINI NO 10 HII HAITAKAA ITOKEE MILELE
Yerusalemu ni moyo wa Wayahudi na Israel, kuiachia ni sawa na kuifuta Israel duniani.
Vita hivi vinapoelekea mwisho mwema ni pigo kubwa sana kwa wale wafia dini uchwara hasa wa ule upande mwingine.
Wataandika nini au mada gani sasa kina MK254? 🤣🤣
Waziri mkuu Sharon aliwataka waisrael kuondoka Jerusalem, na akaanza operesheni ya kuwaondoa kwa lengo la kuwaachia mji huo wapalestina ili kuleta amani ya kidumu. Kilichofuatia Sharon aliingia kwenye coma ya miaka 6 ndipo akafariki.
Netanyahu akijaribu kufanya upuuzi huo tena atashughulikiwa na waisrael wenyewe
Amani ya kudumu haitapatikana!
Kuliwa shaba huku ukiomba msamaha, hadi raha, mlilianzisha wenyewe
View: https://twitter.com/i/status/1735629020476158067
Upepo wa sasa hauko vyema kwao:
1. Kwamba:
View attachment 2844796
2. Na wapalestina ni hawa:
View attachment 2844797
3. Huku waisrael ni hawa wanaowataka mateka kwa gharama yoyote:
View attachment 2844800
4. Hii mbombombo siyo ile ya Ariel Sharon.
5. "Kwa hakika furahini katika bwana tena nasema furahini." Mwisho wa kumnukuu.
6. MK254, FaizaFoxy, johnthebaptist, denoo JG, darcity, Utamu na wale wenginewe hakuna aliyeshindwa hapa wandugu.
7. Muda wa kuchukua kapu kwenda kuvuna.
Si Natenyahu, HAMAS, Palestina wala Israel mwenye kutaka au kushabikia vita:
View attachment 2844803
View attachment 2844806
View attachment 2844807
Hujishangai ndugu Itobo Itobo, Nzenga ndani ndani huko?
Yerusalemu ni mji mkuu wa Waisraeli tangu enzi za kina Daudi,Solomoni,Yeroboamu hadi sasa.Nakataa Yerusalemu kuwa mjii mkuu wa Palestina.Hili hapana kabisa.Isael ikikubari kunyanganywa Israel litakuwa kosa kubwa la kihistoria Katia maisha yao hapa duniani
Heko sana kwa ufafanuzi mzuri.Hii palestina kuwa nchi ambayo Yerusalem ndio mji wake mkuu ni kitu ambacho hakiwezekani kimwili wala kiroho.
Yerusalemu ni mji wa Yule mfalme mkuu.
Mfalme huyu ni shina na mzao wa daudi.
Kwa kadri ya nabii za maandiko matakatifu mfalme huyu atalirejelea hekalu lake kwa wakati muafaka kupitia lango la mashariki mwa mji.
Pia mji huu Yerusalemu unatajwa kuwa mji usiogawanyika.
Ndio tunaitaka amani lakini hapana amani kwao watendao uovu.
Kwa sababu amani nje ya imani sii amani bali utulivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa ya Hamas umeielewa au unakurupuka tu ili mradi umeona Netanyahu yeye anamwelekeo huo baada ya kubanwa na wananchi wa Israel kwa tukio la wanajeshi wa Israel kuwauwa walioshikiliwa mateka?Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?
1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:
View attachment 2844789
2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?
2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?
View attachment 2844809
3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?
4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?
5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:
View attachment 2844790
6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?
7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.
8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;
9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.
10. Kwa hakika itapendeza zaidi.
11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.
12. Kila mmoja akagange nundu zake.
13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Taarifa ya Hamas umeielewa au unakurupuka tu ili mradi umeona Netanyahu yeye anamwelekeo huo baada ya kubanwa na wananchi wa Israel kwa tukio la wanajeshi wa Israel kuwauwa walioshikiliwa mateka?
Naamini kabisa huna uelewa wa kiingereza fasaha
View attachment 2845033
Wenye kuelewa statement ya Hamasi wataelewa Israel kapewa sharti asirudie tena kuwashambulia wa Palestine.Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?
1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:
View attachment 2844789
2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?
2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?
View attachment 2844809
3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?
4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?
5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:
View attachment 2844790
6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?
7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.
8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;
9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.
10. Kwa hakika itapendeza zaidi.
11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.
12. Kila mmoja akagange nundu zake.
13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Wenye kuelewa statement ya Hamasi wataelewa Israel kapewa sharti asirudie tena kuwashambulia wa Palestine.
Hapo mana yake Israel kapiga magoti.
Ni vyema yaishe na kila mmoja amuheshimu mwenzake.
Umeona video ya Hamas wanamuua mtanzania mwenzako?
Wewe unashika nafasi gani pale makao makuu ya UN au kwenye sirikali ya US au kwenye utawala haramu wa kizayuniNakataa Yerusalemu kuwa mjii mkuu wa Palestina.Hili hapana kabisa.Isael ikikubari kunyanganywa Israel litakuwa kosa kubwa la kihistoria Katia maisha yao hapa duniani
Wacha uzushi.Sharon alipata stroke tarehe 17 December 2005 baada ya watoto wake kuwa kwenye kashfa ya kupokea hongo kutoka Greece.Waziri mkuu Sharon aliwataka waisrael kuondoka Jerusalem, na akaanza operesheni ya kuwaondoa kwa lengo la kuwaachia mji huo wapalestina ili kuleta amani ya kidumu. Kilichofuatia Sharon aliingia kwenye coma ya miaka 6 ndipo akafariki.
Netanyahu akijaribu kufanya upuuzi huo tena atashughulikiwa na waisrael wenyewe
Wacha uzushi.Sharon alipata stroke tarehe 17 December 2005 baada ya watoto wake kuwa kwenye kashfa ya kupokea hongo kutoka Greece.
Sharon alishutumiwa na kuondoka kwenye chama cha Likud kwa kuondosha majeshi ya Israel Gaza na West Bank.Hakuna kiongozi wa Israel aliyewahi kuwaondoa wayahudi Jerusalem. Kwenye two state solution kuna wazo la East Jerusalem na West Jerusalem.