Vita inayoendelea Syria ipo kimadhehebu zaidi kati ya Suni na Shia

Vita inayoendelea Syria ipo kimadhehebu zaidi kati ya Suni na Shia

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Wanaukumbi hizi Imani za kumpigania Mungu zinaitesa Dunia, vita nyingi zinazohusisha vikundi vya kigaidi kama Hayat Tahrir al-sham inayoshusha kipondo kwa mashia ya Irani na Syria ni ya kidhehebu zaidi.

Hao wote ukiwauliza wanasema wanampigania Allah kwa kuwafuta makafiri.

Swali ninalojiuliza kwanini wampiganie Allah wakati yeye ndo muweza yote? Naamini kama muweza yote anaweza kujitetea mwenyewe pasi msaada wa wanadamu.

Sasa kwanini tuwe wasemaji na wahukumu kwa niaba yake? Yeye mwenyewe amekaa kimya hao uliwaita makafiri anawapa mvua,jua, chakula na mavazi na neema zingine tele wewe kiherehere chanini?

Nasemaje wote wanaoinua upanga kwa jina la Allah ni watu wenye Imani potofu hawana tofauti na wale wanao uwa walemavu wa ngozi kwa kisingizio cha kutaka utajiri.
 
Wanaukumbi hizi Imani za kumpigania Mungu zinaitesa Dunia, vita nyingi zinazohusisha vikundi vya kigaidi kama Hayat Tahrir al-sham inayoshusha kipondo kwa mashia ya Irani na Syria ni ya kidhehebu zaidi.

Hao wote ukiwauliza wanasema wanampigania Allah kwa kuwafuta makafiri.

Swali ninalojiuliza kwanini wampiganie Allah wakati yeye ndo muweza yote? Naamini kama muweza yote anaweza kujitetea mwenyewe pasi msaada wa wanadamu.

Sasa kwanini tuwe wasemaji na wahukumu kwa niaba yake? Yeye mwenyewe amekaa kimya hao uliwaita makafiri anawapa mvua,jua, chakula na mavazi na neema zingine tele wewe kiherehere chanini?

Nasemaje wote wanaoinua upanga kwa jina la Allah ni watu wenye Imani potofu hawana tofauti na wale wanao uwa walemavu wa ngozi kwa kisingizio cha kutaka utajiri.
Wanajeshi waliokuwepo Afghanistan wa US/UK wapo Syria and Ukrain wanapiga hela,Russia anavita 3 sasa, Palestina,Ukrain na Syria
 
Wanaukumbi hizi Imani za kumpigania Mungu zinaitesa Dunia, vita nyingi zinazohusisha vikundi vya kigaidi kama Hayat Tahrir al-sham inayoshusha kipondo kwa mashia ya Irani na Syria ni ya kidhehebu zaidi.

Hao wote ukiwauliza wanasema wanampigania Allah kwa kuwafuta makafiri.

Swali ninalojiuliza kwanini wampiganie Allah wakati yeye ndo muweza yote? Naamini kama muweza yote anaweza kujitetea mwenyewe pasi msaada wa wanadamu.

Sasa kwanini tuwe wasemaji na wahukumu kwa niaba yake? Yeye mwenyewe amekaa kimya hao uliwaita makafiri anawapa mvua,jua, chakula na mavazi na neema zingine tele wewe kiherehere chanini?

Nasemaje wote wanaoinua upanga kwa jina la Allah ni watu wenye Imani potofu hawana tofauti na wale wanao uwa walemavu wa ngozi kwa kisingizio cha kutaka utajiri.
Subili waje
 
Wale ni waislam kuliko wewe mkuu
Niwaulize kitu, Wewe unashamba linamazao mazuri na wengine hawana km yako,anakuja mtu kwakua anauwezo zaidi yako anakuambia ninachukua hilishamba ni lakwangu,mashariki ya kati kuna malighafi zote unazozijua duniani ambazo wamagharibi hawana,Saudi Arabia hanavita kwakua ni papeti wa US,Syria ni wa Russia usitegemee km atakua na amani,sawa na Venezuela,hakuna nchi yenye mafuta km hio kushinda hata Saudis lkn hawezi ishi Kwa amani kwakua hawapo upande wa US
 
Tangu mwanzo wa uisilamu ilikuwa ni kuteka maeneo ya wale wanadhaniwa ni makafir na ndo kinachoendelezwa na waisilamu Dunia nzima na si Syria tu
Suala la kuteka maeneo sio la kidini.
Usijisahaulishe kuwa dola ya Urumi ilivamia maeneo mengi na kuyatawala hadi middle east,je hao waislamu!?
Usijisahaulishe kuwa BERLIN CONFERENCE MEANT FOR DIVIDING AFRICA AMONGST IMPERIALISTS imefanywa na wazungu,je walikua waislamu!??
Duniani asili ipi ilikua imefanya colonialism kama sio wazungu!?

Unafeli sana kijana.
Vita za Syria ni za maslahi ya kidiplomasia zilizochochewa kidini.
Fanya analysis kabla hujaandika mada unafeli sana.
 
Niwaulize kitu, Wewe unashamba linamazao mazuri na wengine hawana km yako,anakuja mtu kwakua anauwezo zaidi yako anakuambia ninachukua hilishamba ni lakwangu,mashariki ya kati kuna malighafi zote unazozijua duniani ambazo wamagharibi hawana,Saudi Arabia hanavita kwakua ni papeti wa US,Syria ni wa Russia usitegemee km atakua na amani,sawa na Venezuela,hakuna nchi yenye mafuta km hio kushinda hata Saudis lkn hawezi ishi Kwa amani kwakua hawapo upande wa US
Lakini wapiganaji ni waislam wenyewe
 
Suala la kuteka maeneo sio la kidini.
Usijisahaulishe kuwa dola ya Urumi ilivamia maeneo mengi na kuyatawala hadi middle east,je hao waislamu!?
Usijisahaulishe kuwa BERLIN CONFERENCE MEANT FOR DIVIDING AFRICA AMONGST IMPERIALISTS imefanywa na wazungu,je walikua waislamu!??
Duniani asili ipi ilikua imefanya colonialism kama sio wazungu!?

Unafeli sana kijana.
Vita za Syria ni za maslahi ya kidiplomasia zilizochochewa kidini.
Fanya analysis kabla hujaandika mada unafeli sana.
Shia vs sunni zingine zote ni porojo.
 
Inasemekana kuna Majahazi 500 yaliyosheheni Wanamgambo wa Kihouthi wanaelekea Syria kwa Amri ya Ayatolah.

Wanatoka Yemen hadi kusini mwa Iraq halafu watatia Nanga kwenye Mji wa Mashia wa Basra halafu usiku mkubwa wanasombwa na kuelekea Syria kwenda kwenye mapigano dhidi ya "Makafiri" wa Kisunni.😁

Hii Vita bado mbichi na huenda Donald Trump na Ayatolah uso kwa uso kwenye uwanja wa Vita huko Syria.

Sasa hivi Macho yote Syria 🇸🇾 Netanyahu anakula Popcorn tu huku anatazama Picha inaendaje.
 
Inasemekana kuna Majahazi 500 yaliyosheheni Wanamgambo wa Kihouthi wanaelekea Syria kwa Amri ya Ayatolah.

Wanatoka Yemen hadi kusini mwa Iraq halafu watatia Nanga kwenye Mji wa Mashia wa Basra halafu usiku mkubwa wanasombwa na kuelekea Syria kwenda mapigano na "Makafiri" wa Kisunni.😁

Hii Vita bado mbichi na huenda Donald Trump na Ayatolah uso kwa uso kwenye uwanja wa Vita huko Syria.

Sasa hivi Macho yote Syria 🇸🇾 Netanyahu anakula Popcorn tu huku anatazama Picha inaendaje.
Israel inalengo zaid ya iyo vita wanataka Dunia akili zao zibaki Syria ilo yeye sasa akafanye mauwaji makubwa pale Gaza raia wawaswage mpakani na Misri lkn watu wapo macho sana. Zayuni akili ana.
 
Israel inalengo zaid ya iyo vita wanataka Dunia akili zao zibaki Syria ilo yeye sasa akafanye mauwaji makubwa pale Gaza raia wawaswage mpakani na Misri lkn watu wapo macho sana. Zayuni akili ana.
Israel hataki Alliance ya Ayatolah na Asad na Silaha kupitishwa Syria
 
Back
Top Bottom