- Thread starter
- #41
Najua unataka kusingizia Marekani lkn Dunia mzima inajua wanaupigania uisilam mpaka kufa hizo propaganda zenu SI muumini wake
Najua unataka kudai ni wamarekani hizo ni propaganda za kitoto,wale ni waisilamu safi kuliko wewe na wapo tayari kuyatoa maisha Yao kwa ajili ya dini Yao kuliko wao,mnapo anza kuona ni Imani ya kijinga mnawakana ili muonekane safi lkn ni walewaleAlqaeda unajua imeanzishwa lini mkuu na kwa minajili ipi!?
IS pia unajua chanzo chake!?
Nenda kafuatilie vizuri mkuu.
Hivyo ni vikundi vinatumiwa tu,hao Alqaeda unajua kama 2013 wametumiwa na Saudi Arabia nchini Yemeni kupigana na Houthi!?