Najua unataka kudai ni wamarekani hizo ni propaganda za kitoto,wale ni waisilamu safi kuliko wewe na wapo tayari kuyatoa maisha Yao kwa ajili ya dini Yao kuliko wao,mnapo anza kuona ni Imani ya kijinga mnawakana ili muonekane safi lkn ni walewaleAlqaeda unajua imeanzishwa lini mkuu na kwa minajili ipi!?
IS pia unajua chanzo chake!?
Nenda kafuatilie vizuri mkuu.
Hivyo ni vikundi vinatumiwa tu,hao Alqaeda unajua kama 2013 wametumiwa na Saudi Arabia nchini Yemeni kupigana na Houthi!?
Duh iweNi lazima dini itumike kama kisingizio kwasababu kuna ukinzani wa kimadhehebu kati ya sunni na shia.
Hivyo ukimfuata sunni na kumtia wadudu kichwani kukiamsha ni dakika mbili tu dhidi ya shia na wewe unapata unachokitaka.
Mbumbumbu sio waislam ni waarabu.
Huo ndio uhalisia.Duh iwe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Pole yako aisee.Najua unataka kusingizia Marekani lkn Dunia mzima inajua wanaupigania uisilam mpaka kufa hizo propaganda zenu SI muumini wake
Najua unataka kudai ni wamarekani hizo ni propaganda za kitoto,wale ni waisilamu safi kuliko wewe na wapo tayari kuyatoa maisha Yao kwa ajili ya dini Yao kuliko wao,mnapo anza kuona ni Imani ya kijinga mnawakana ili muonekane safi lkn ni walewale
Siyo kwamba hapo tatizo ni dini yao nduguHuo ndio uhalisia.
Japo ukiachana na udini,linapokuja suala la madaraka waarabu ni rahisi sana kuwagombanisha.
Tatizo sio dini peke yake mkuu.Siyo kwamba hapo tatizo ni dini yao ndugu
Wale sio waislam ni magaidi yasiyo na dini, Uislam ni kama njia inayotumika kutimiza matakwa yao
Russia hapo Palestina kaingiaje tenaWanajeshi waliokuwepo Afghanistan wa US/UK wapo Syria and Ukrain wanapiga hela,Russia anavita 3 sasa, Palestina,Ukrain na Syria
Israel inalengo zaid ya iyo vita wanataka Dunia akili zao zibaki Syria ilo yeye sasa akafanye mauwaji makubwa pale Gaza raia wawaswage mpakani na Misri lkn watu wapo macho sana. Zayuni akili ana.
Ok hapa umenielewesha vizuri,inamaana waarabu mbumbumbu wanautumia uislam kufanikisha malengo ya wazungu werevu.Ni lazima dini itumike kama kisingizio kwasababu kuna ukinzani wa kimadhehebu kati ya sunni na shia.
Hivyo ukimfuata sunni na kumtia wadudu kichwani kukiamsha ni dakika mbili tu dhidi ya shia na wewe unapata unachokitaka.
Mbumbumbu sio waislam ni waarabu.
Kinacho nishangaza kila yakitokea machafuko wanaolaumiwa ni magharibi,sasa ukifikiria hawa watu walishamjua mbaya wao kwa nini wasitafute namna ya kukabiliananae badalayake wanaendelea kuuana wao kwa wao,unagundua tatizo sio magharibi tatizo ni wao wenyewe ila wanatafuta wa kumshushia lawama ndio maana vitazao huwa haziishi zinatulia tu.Kama lengo la dini ni kuleta amani, kwa nn dini hiyo hiyo itumike kuleta mtafaruku katika jamii, ina maana amekosekana mtu muhimu katika jamii ya uislamu kuwashawishi kuondoa tofauti zao hadi watoane roho, sasa kuamini kwao dini kuna saidia nini ?
Usiseme kuwagombanisha sema waarabu ni watu wa visasi ndio,na linapokuja suala la madaraka akilizao wanaziacha kwenye viremba vyao upepo ukipuliza unaondoka nna kilemba pamoja na akili wanabakiwa na fuvu linalobaki na kumbukumbu ya kuua tuHuo ndio uhalisia.
Japo ukiachana na udini,linapokuja suala la madaraka waarabu ni rahisi sana kuwagombanisha.
Kwa maanahiyo unakubali kama asilimia 70 ya migogoro ya middle east dini inahusika? Utakataa vipi sasa kama dini ndio tatizo kubwa?Tatizo sio dini peke yake mkuu.
Asili pia inachangia,muarabu awe muislam awe mkristo linapokuja suala la madaraka kugeukana dakika sifuri.
Japo dini inachukua nafasi kubwa katika migogoro takriban yote hapo Middle east na inakua ngumu kuiepuka dini kwasababu asilimia zaidi ya 70 watu wa mid east ni waislam wa madhehebu tofauti.
Embu rejelea kusoma nilichoandika maelezo yanajitosheleza Hadi kujibu ulichouliza sasa.Kwa maanahiyo unakubali kama asilimia 70 ya migogoro ya middle east dini inahusika? Utakataa vipi sasa kama dini ndio tatizo kubwa?
Suala la visasi linajulikana ila kuwagombanisha waarabu ni jambo lipo.Usiseme kuwagombanisha sema waarabu ni watu wa visasi ndio,na linapokuja suala la madaraka akilizao wanaziacha kwenye viremba vyao upepo ukipuliza unaondoka nna kilemba pamoja na akili wanabakiwa na fuvu linalobaki na kumbukumbu ya kuua tu
Inamaana mpaka leo waarabu hawajui kama wanagombanishwa? Au visasivyao ndio vinapelekea wao kugombana mara kwa mara na kusingizia kama wanagombanishwa?Suala la visasi linajulikana ila kuwagombanisha waarabu ni jambo lipo.
Rejelea Israel alivyopandikiza chuki za udini wa sunni dhidi ya wakristo na shia pale Lebanon.
Waliuana sana tu.
Visasi vinakujaje na vinaanzaje?Inamaana mpaka leo waarabu hawajui kama wanagombanishwa? Au visasivyao ndio vinapelekea wao kugombana mara kwa mara na kusingizia kama wanagombanishwa?
Tukubaliene kwa pamoja kama mimi ninavyoamini binafsi,hayo mataifa ya kiarabu yanayogombana hawana akili ndio maana vita haaishi inatulia tu kwa muda.Visasi vinakujaje na vinaanzaje?
Ni nini chanzo cha hivyo visasi hadi mgombane wenyewe kwa wenyewe?
Kwa mataifa yenye akili huwezi kuyagombanisha,kwani Oman hakuna shia?
Je umesikia wakigombana kuhusu madaraka na vitu vingine?