Vita kali: Ommy Dimpoz na Ney wa Mitego waingia kwenye mtifuano

Vita kali: Ommy Dimpoz na Ney wa Mitego waingia kwenye mtifuano

Kuna Yule dogo anajiita mdogo wa Diamond jina lake ni S kide,aliimbaga ngoma moja Kali sana inaitwa DADA NEEMA.. Yaani humu kamponda sana Ney to the extent ikabidi Ney amtafute ili amtie vitasa .. Na alimsurubu kisawasawa Yaani. Huo wimbo uko YouTube.
Kiboyo ya huyo Ney ni Nikki Mbishi
 
naona ney wa mitego kashalizua la kulizua
 
Saa chache baada ya ney wa mitego kutoa hit singo yake ya ''shika adabu yako'' na moja ya mistari ya singo hiyo inamchana ommy dimpoz kwa kusema haeleweki na jogoo lake halipandi mtungi yaani mtoto chakla.

Ommy Dimpoz ameshindwa kuvumilia na kujibu mapigo. Kwa kupitia Instagram, Ommy dimpoz ameweka video ya binti mzuri na ameandika haya;



ommydimpoz Barua ya wazi kwa Neema wa Mitego kwanza pole kwa Malezi ya Watoto ambao mama zao wamekukimbia, hakuna Mwanamke ambae anaweza kuishi na mwanaume mwenye tabia za kike kama zako inatakiwa ujiulize una tatizo gani maana km umaarufu mavi unao,nyumba unayo,magari unayo na hivyo ndo vitu dada zetu wanapenda lakini kwanini wanakukimbia pili kila nikiwaangalia watoto naona kabisa hamjafanana kuna umuhimu wa DNA Da Neema trust me.

Hiyo video nimekuwekea hapo juu ni kukuonyesha kuwa mimi na wewe Ligi zetu hazifanani vitu navyokula mimi wewe utaishia kuviona kwenye TV maana kuvipata mpaka uwe Unapanda sana Ndege sasa mimi najaza passport ya Tatu wakati wewe hata kurasa 4 za passport yako ya kwanza hujamaliza Sasa wewe ushazoea wanawake zako wa jumuiya basi unataka kila mtu apost demu wake haya sasa Chuma hiko kimetoka ulaya kuja kufuata dodoki.

Nimekujibu ili nikusaidie promo ya nyimbo yako Atleast upige na Vishoo baba Sema nakuomba usirushe ngumi tu maana nakujua Mzee wa Kupanic Maana katika hao mabebi mama wako kuna mmoja nilishapitaga nae Uliza vizuri atakwambia kama jogoo anawika au vipi Ukitaka kudownload wimbo wa @naytrueboy #ShikaAdabuYako nenda kwenye bio ya Da Neema..


Kwa maneno hayo, Ommy Dimpoz anadhihirisha kabisa yeye sio riziki. Ney wa Mitefo hasemagi uongo
 
Isingelikuwa kweli Ommy Dimpoz hakuwa na haja ya kumjibu Nay kwa Instagram, ukweli unauma hahahaaaa.....
 
Saa chache baada ya ney wa mitego kutoa hit singo yake ya ''shika adabu yako'' na moja ya mistari ya singo hiyo inamchana ommy dimpoz kwa kusema haeleweki na jogoo lake halipandi mtungi yaani mtoto chakla.

Ommy Dimpoz ameshindwa kuvumilia na kujibu mapigo. Kwa kupitia Instagram, Ommy dimpoz ameweka video ya binti mzuri na ameandika haya;



ommydimpoz Barua ya wazi kwa Neema wa Mitego kwanza pole kwa Malezi ya Watoto ambao mama zao wamekukimbia, hakuna Mwanamke ambae anaweza kuishi na mwanaume mwenye tabia za kike kama zako inatakiwa ujiulize una tatizo gani maana km umaarufu mavi unao,nyumba unayo,magari unayo na hivyo ndo vitu dada zetu wanapenda lakini kwanini wanakukimbia pili kila nikiwaangalia watoto naona kabisa hamjafanana kuna umuhimu wa DNA Da Neema trust me.

Hiyo video nimekuwekea hapo juu ni kukuonyesha kuwa mimi na wewe Ligi zetu hazifanani vitu navyokula mimi wewe utaishia kuviona kwenye TV maana kuvipata mpaka uwe Unapanda sana Ndege sasa mimi najaza passport ya Tatu wakati wewe hata kurasa 4 za passport yako ya kwanza hujamaliza Sasa wewe ushazoea wanawake zako wa jumuiya basi unataka kila mtu apost demu wake haya sasa Chuma hiko kimetoka ulaya kuja kufuata dodoki.

Nimekujibu ili nikusaidie promo ya nyimbo yako Atleast upige na Vishoo baba Sema nakuomba usirushe ngumi tu maana nakujua Mzee wa Kupanic Maana katika hao mabebi mama wako kuna mmoja nilishapitaga nae Uliza vizuri atakwambia kama jogoo anawika au vipi Ukitaka kudownload wimbo wa @naytrueboy #ShikaAdabuYako nenda kwenye bio ya Da Neema..
Hapa Ommy Akimchamba Neema wa Mitegi
1455092206254.jpg

😀😀😀😀🙁🙁
 
Ila hii nchi ya hovyo sana vijana wengi ni wavivu,hawakusoma na hawapendi kazi sasa hasira zao zoote za maisha wanahamishia kwenye mitandao ya jamii kama huko insta ni balaa. Mtu ana account kwa ajili ya kumtukana fulani tu sasa sijui faida yake ni nini na hawa wasanii wengine naona hizi bangi hawaziwezi kama mtu asimamishi we unamtukania nini kama ni mgonjwa je unataka afanyaje? Wewe kumiliki gari na nyumba isiwe sababu ya kutukana watu uwezo hatufanani kuonekana kwenye video sio kuwa na hela wacha wakae popote wakipata watajenga.
Hivi unafikiri hizo account za kutukana hazina faida?? Hao wanatafuta followers kwa migongo ya wasanii wakubwa. Wanajua kwamba wabongo tunapenda umbea na majungu ndio maana wanafungua account hizo. Na wana followers wengi wa kutosha.

Wanajaza followers kutengeneza pesa through Ads and wengine wana wgatsapp groups za kulipia. Eg Kungwi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hahahahahaa Ommy Dimpoz katisha sana,uwiiii sio kwa majibu haya.
Ngoja niende Insta kushuhudia mpambano vizuri.
Dimpoz katisha sana, nimependa hapo 'NIMEKUJIBU ILI UPATE PROMO YA WIMBO WAKO'!
 
Hapa ninachokiona, ommy dimpoz alitakiwa ajibu swali kwanza, then amponde ney, dongo la ney kwa ommy inaonekana ni kweli kwa kuwa ommy hajakanusha!!!???
 
"Ray anakaa kwa mama
Hela ya bongo movie
Ananunulia mkorogo"
Utani wa ngumi huu
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Utani wa ngumi kweli huu. Huyu Ney anatafuta balaa
[emoji109]
 
Hii ndio sabab sipendi fame na kua na marafiki wengi. Siku zote ogopa mazoea kama unavyo ogopa Ukimwi.

" Ajipatiaye marafiki wengi hujitaftia uharibifu wake mwenyewe, ila yuko rafiki ambatanaye kuliko ndugu " -- Mithali 18:24

Minding your own business will make you rich & happy. -- 1 Thessalonians 4:11- 12
 
Hahahaaaa wewma anatafta kiki ya msimu, huyu jamaa anajua kunyambisha watu
 
Dimpoz hajajibu lolote wala hajakanusha kaleta mipasho. Mambo ya paspoti yanahusu nini sasa? Jibu tuhuma
 
Back
Top Bottom