Waonekana umtoto sana aisee.
Hivi unajua betri za magari ya umeme zinaundwa kwa material gani!?
Material zinazotumika kuundia hizo betri zinaharibu mazingira kuliko hata uchimbaji na utumiaji wa mafuta.
Na bado kuna nishati nyingi tu zinahitaji mafuta bado.
Hususan huo umeme wa kuchaji hizo gari za umeme.
Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.
Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.
Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.
Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.
Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)
Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇
How close are we to World War 3? Subscribe to FREE World War 3 alerts. World War 3 has been planned for decades - learn about the Conspiratorial Nature of History.
Hakuna vita ya dunia tena ilo futa akilini, japo dunia na falme na mamlaka zilitaka ivyo ilikutimiza yalioandikwa katika ufunuo 16:16.
Ila Muumba ameshafuta iyo vita kupitia aliyosema katika
Isaya 2:2-4
4 Naye atafanya hukumu katika mataifa mengi, atawakemea watu wa kabila nyingi; nao watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita tena kamwe.
Utaona miaka kadhaa mbele wote kimya hakuna tena vita ilo sambaa popote.
“Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.
”
— Ufunuo wa Yohana 21:1 (Biblia Takatifu)
Isaya 2:2-4
4 Naye atafanya hukumu katika mataifa mengi, atawakemea watu wa kabila nyingi; nao watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita tena kamwe.
Utaona miaka kadhaa mbele wote kimya hakuna tena vita ilo sambaa popote.
Afadhali wadaiwe na china ni taifa na wanaweza kupunguziana kwa njia za kidiplomasia, lakini mbaya zaidi ni USA inadaiwa pesa nyingi na Federal reserve inayomilikiwa na watu binafsi.
Afadhali wadaiwe na china ni taifa na wanaweza kupunguziana kwa njia za kidiplomasia, lakini mbaya zaidi ni USA inadaiwa pesa nyingi na Federal reserve inayomilikiwa na watu binafsi.
Na sasa wanaelekea kwenye Digital Currency, huo ndyo mwisho wa freedom kwao, mfano Gov wakiamua kupiga pini Card ya mtu basi hawezi kununua au kulipia chochote.
Mashetani watawala wa hii dunia aka Illuminati cabal ,wanasema "Order out of chaos "
Kwamba ni lazima wasababishe chaos na misukosuko duniani ili baadaye walete utawala wao na kudeclare kuwa saviours .
Kika kinachotokea kwenye global stage kimepangwa na hawa ibilisi
Na sasa wanaelekea kwenye Digital Currency, huo ndyo mwisho wa freedom kwao, mfano Gov wakiamua kupiga pini Card ya mtu basi hawezi kununua au kulipia chochote.
Mashetani watawala wa hii dunia aka Illuminati cabal ,wanasema "Order out of chaos "
Kwamba ni lazima wasababishe chaos na misukosuko duniani ili baadaye walete utawala wao na kudeclare kuwa saviours .
Kika kinachotokea kwenye global stage kimepangwa na hawa ibilisi
Habari zenu waungwana..... Order Out of Chaos (au Ordo ab Chao ) kama ilivyosemwa kwa Kilatini, ni moja ya kauli maarufu na Kauli hii ina maana kwamba mgogoro au machafuko yanaweza kutumika kama njia ya kuleta "utaratibu" au "mabadiliko" ambayo ni yenye manufaa kwa wale walio katika madaraka...
Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.
Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.
Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.
Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.
Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)
Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇
How close are we to World War 3? Subscribe to FREE World War 3 alerts. World War 3 has been planned for decades - learn about the Conspiratorial Nature of History.
Nami nimejiuliza hilo swali, utafikiri hayo maandiko yameandikwa leo, wakati yamekuwepo miaka na miaka. Vita zote zimetokea na zinaendelea kutokea na hayo maandiko bado yapo.
Watu wanatafsiri biblia katika namna tofauti sana.
Nami nimejiuliza hilo swali, utafikiri hayo maandiko yameandikwa leo, wakati yamekuwepo miaka na miaka. Vita zote zimetokea na zinaendelea kutokea na hayo maandiko bado yapo.
Watu wanatafsiri biblia katika namna tofauti sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.