Vita kuu ya tatu imekaribia, maandalizi yamekamilika, dunia kupata mtawala baada ya machafuko

Vita kuu ya tatu imekaribia, maandalizi yamekamilika, dunia kupata mtawala baada ya machafuko

Nilipoona neno askari wa UN nikazima data!!!!
Nyie watu mnashangaza sana hakika, yani na umri huo hujui kwamba UN wana askari wao?


Unajua kabla ya UN walijaribu kutumia organization gani kutimiza hayo malengo? Unaijua Council of foreign relations? Unaijua the round table? Au Tillateral commission? Club of rome?

Unajua nani muanzilishi wa hizi organization? Unajua nani alitoa $20m kununua eneo kwaajili ya ujenzi wa makao makuu ya UN?

RESEARCH....
 
Nai amekuambia UN ni kitu kimoja na USA?

UN ni adui namba moja wa USA, na ndiye atakaye tawala Marekani baada ya vita kukolea
Huwezi kuitenganisha UN na USA mkuu.
The founder of UN is USA and the leader of UN is USA.
 
Itakuwa ndio wakati wa Afrika kuwa juu kiuchumi, natamani nchi zetu zisijihusishe kabisa na hii vita
 
Huwezi kuitenganisha UN na USA mkuu.
The founder of UN is USA and the leader of UN is USA.
UN na US wote ni watumishi wa bwana mmoja, ushirikiano wao sio wa bahati mbaya, ni mpango uliopangwa.

Niliposema UN wataingia USA, sio kwamba ni uadui, ilna mpango wa ku take over America and Europe, then baada ya hayo mataifa makubwa kuwa chini ya UN, Hapo ndipo serikali moja itaundwa.
 
Itakuwa ndio wakati wa Afrika kuwa juu kiuchumi, natamani nchi zetu zisijihusishe kabisa na hii vita
Kama ni kuwa juu kiuchumi, basi Afrika tulipaswa kufanya hivyo kabla, lakini wakati umetuacha, tayari kila kona tunategemea magharibi.
 
Itakuwa ndio wakati wa Afrika kuwa juu kiuchumi, natamani nchi zetu zisijihusishe kabisa na hii vita
Muafika akitaka kuwa juu labda abadili mfumo wa pesa , ila ni jambo haliwezekani ...Yaani akatae pesa zinatokana na wazungu.
 
North vs South Korea
China Vs Taiwan, Japan, USA
Ukraine vs Russia, North Korea, Iran
DRC vs Rwanda
Iran vs Israel
 
UN na US wote ni watumishi wa bwana mmoja, ushirikiano wao sio wa bahati mbaya, ni mpango uliopangwa.

Niliposema UN wataingia USA, sio kwamba ni uadui, ilna mpango wa ku take over America and Europe, then baada ya hayo mataifa makubwa kuwa chini ya UN, Hapo ndipo serikali moja itaundwa.
UN muanzilishi ni USA utasemaje UN iivamie USA!?
Nani ataiongoza UN iivamie USA ambaye ndiye muanzilishi wake!?
 
UN muanzilishi ni USA utasemaje UN iivamie USA!?
Nani ataiongoza UN iivamie USA ambaye ndiye muanzilishi wake!?
Wapi nimesema itavamia? Namaanisha wataingia kama kusimamia usalama na ndyo watachukua mamlaka yote. Wakati huo wanajeshi wengi wa USA watakuwa vitani nje ya nchi yao.

Nani amekuambia UN imeanzishwa na USA?..... UN imeundwa baada ya Tillateral commission na Council of foreign relation kushindwa kufanya kazi yao.

UN iliundwa chini ya usimamizi wa John Rockefeller, alinunua Eneo kwa $20m na kujenga makao makuu ya UN.

UN imeanzishwa na watu binafsi na sio taifa la USA.
 
Wapi nimesema itavamia? Namaanisha wataingia kama kusimamia usalama na ndyo watachukua mamlaka yote. Wakati huo wanajeshi wengi wa USA watakuwa vitani nje ya nchi yao.

Nani amekuambia UN imeanzishwa na USA?..... UN imeundwa baada ya Tillateral commission na Council of foreign relation kushindwa kufanya kazi yao.

UN iliundwa chini ya usimamizi wa John Rockefeller, alinunua Eneo kwa $20m na kujenga makao makuu ya UN.

UN imeanzishwa na watu binafsi na sio taifa la USA.
Una uhakika mkuu!?
Rockefeller alikua raia wa nchi gani wakati huo!?
Hao watakaoingia wataingia kwa majeshi gani na kwa kuongozwa na nani!??
Ni nani world super power kwa sasa!?
 
Una uhakika mkuu!?
Rockefeller alikua raia wa nchi gani wakati huo!?
Hao watakaoingia wataingia kwa majeshi gani na kwa kuongozwa na nani!??
Ni nani world super power kwa sasa!?
Uhakika ninao

Rockefeller Ni raia wa Amerika, lakini sio mwanasiasa au kiongozi wa USA

Hao watakao ingia ni majeshi au vikosi vya UN, wataongozwa na viongozi wao wa wakati huo.

Kwa sasa super power bado hajaonekana wazi, subiri zichapwe kwanza ndyo tutajua nani zaidi.
 
Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.

Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.

Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.

Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.

Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)

Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇


View attachment 3125748
Mpaka tuoe wake wanne wote ndio ije hioo vita
 
Uhakika ninao

Rockefeller Ni raia wa Amerika, lakini sio mwanasiasa au kiongozi wa USA

Hao watakao ingia ni majeshi au vikosi vya UN, wataongozwa na viongozi wao wa wakati huo.

Kwa sasa super power bado hajaonekana wazi, subiri zichapwe kwanza ndyo tutajua nani zaidi.
Hao viongozi wa wakati huo ni kutokea wapi na mataifa gani!?

Kasome vizuri desa la uanzishwaji wa UN.
Na sasa hivi geopolitics haziendeshwi na matajiri tu bali wanasiasa wakubwa.
 
Hao viongozi wa wakati huo ni kutokea wapi na mataifa gani!?

Kasome vizuri desa la uanzishwaji wa UN.
Na sasa hivi geopolitics haziendeshwi na matajiri tu bali wanasiasa wakubwa.
Kama bado unaamini wanasiasa wana uwezo katika dunia ya leo, umenasa kwenye mtego wao.

UN sio rafiki wa amani, ni nyoka na adui namba moja wa amani, kama unabisha tizama misimamo yao juu ya Israel na utekelezaji wake.

Tizama Congo na maeneo mengine ambayo UN wapo kama kigezo cha kulinda amani, nini wanafanya?
 
Back
Top Bottom