Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Theory!Binadamu wa kwanza aliishi Oldvai Arusha Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Theory!Binadamu wa kwanza aliishi Oldvai Arusha Tanzania
Ana point ndio maana marekani bado wako naye.........wewe kambi ya UN inakuwaje karibu na kambi ya Hezbollah??? Wameambiwa wapishe kwa muda jamaa afanye safisha safisha wanagoma .......pia gaza ndio kabisa UN walitia aibu maana sever ya hamas ilikuwa kwenye ofisi za UN harafu eti Netanyahu asikasirike kama anafanyiwa hujma wazi wazi............dawa ya jino kung'oa ........wakiweka ugoko wewe weka jiwe.....................Hapa akidhibitiwa netanyahu na israel ikapata kiongozi mwingine mwenye akili kama gantz au benett basi dunia itakuwa salama, wafanye wamtoe kwa nguvu zote amasivyo atasababisha maafa dunia nzima kwa ajili ya ujinga wake, angalia tulipotoka since oct 7, 2023 hadi leo mtu mmoja kasabaisha matukio mangapi duniani ambayo yanahatarisha usalama wa sunia nzima huku wajinga wakimshangilia, huyo mqrekani mwenyewe nq ulaya wameahamchoka kwa matatizo na aibu anazowaletea mbele ya jumuia ya kimataifa, hivi leo marekani au ulaya itapata wapi nguvu ya kuenforce resolution za united nations kwa taifa lolote
Au kuzungumzia humqn rights, jqmaa kawavua nguo kwa upumbavu wake, mtu anaenda kusababisha majeruhuli hadi kambi za united nations kama si ukichaa ni nini kweli, he is a mad man ,he needs to be contained
Hawana point mkuu fuatilia vizuri, european countries zote zime condemn upuuzi waliofanya idf, yani united nations iipishe idf hivyo ni akili au matopeAna point ndio maana marekani bado wako naye.........wewe kambi ya UN inakuwaje karibu na kambi ya Hezbollah??? Wameambiwa wapishe kwa muda jamaa afanye safisha safisha wanagoma .......pia gaza ndio kabisa UN walitia aibu maana sever ya hamas ilikuwa kwenye ofisi za UN harafu eti Netanyahu asikasirike kama anafanyiwa hujma wazi wazi............dawa ya jino kung'oa ........wakiweka ugoko wewe weka jiwe.....................
Daaah mkuu 😂 😂 😂 😂 😂Yule ni mwingine , mzee wa michepuko
Ety vikosi vya UN hapo ndio nilifunga page Muulize vipo wapi vikosi vya UNTunakusikiliza mchambuzi wa mambo ya vita kimataifa kutokea newala
Una pointSawa sawa.
Hata hivyo vita haiamuliwi na ndoto kwa kuwa una silaha nzito.
Hitler alikuwa na uhakika wa 💯 kushinda vita na alibakisha kilomita chache kuiteka Moscow lakini alishindwa na mwisho taifa lake likaishia kugawanyika.
Hata Marekani yenye maguvu inaweza kufutwa na kugawanyika kwenye vinchi vingi kutoka kwenye Muungano wao.
Vita ni kama Kimbunga, ina tabia ya kubadirisha Jiografia ya baadhi maeneo.
Kwamba jeshi la UN litaivamia US!Punguza kusikiliiza story za wachungaji waliokimbia shule.
Bila shaka ww ni msabatoNai amekuambia UN ni kitu kimoja na USA?
UN ni adui namba moja wa USA, na ndiye atakaye tawala Marekani baada ya vita kukolea
Kwa hiyo hao wataungana na Hizbola Hamas na Iran kushambulia Israel ??Hapa akidhibitiwa netanyahu na israel ikapata kiongozi mwingine mwenye akili kama gantz au benett basi dunia itakuwa salama, wafanye wamtoe kwa nguvu zote amasivyo atasababisha maafa dunia nzima kwa ajili ya ujinga wake, angalia tulipotoka since oct 7, 2023 hadi leo mtu mmoja kasabaisha matukio mangapi duniani ambayo yanahatarisha usalama wa sunia nzima huku wajinga wakimshangilia, huyo mqrekani mwenyewe nq ulaya wameahamchoka kwa matatizo na aibu anazowaletea mbele ya jumuia ya kimataifa, hivi leo marekani au ulaya itapata wapi nguvu ya kuenforce resolution za united nations kwa taifa lolote
Au kuzungumzia humqn rights, jqmaa kawavua nguo kwa upumbavu wake, mtu anaenda kusababisha majeruhuli hadi kambi za united nations kama si ukichaa ni nini kweli, he is a mad man ,he needs to be contained
UN Ina vikosi kumbe? Yani Kwa huu ujinga Taifa Lina hasarakuchukua
Nipo hapa mapango ya Ambini, dunia ikianza upya mimi nakuwa Chifu na hapa mapangoni ndiyo yatakuwa makao makuu, na eneo la utawala linakuwa ni Afrika mashariki na katiBora dunia ifutike tu, kilakitu kianze upya...🙄
🚮🚮🚮🚮 Kabisa ,UN Ina vikosi? Kwamba wewe mmatumbi unayajua sana haya kuliko wahusika?Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.
Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.
Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.
Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.
Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)
Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇
WW3: How Will World War Three Affect You? Learn How To Prepare - Free Newsletter
How close are we to World War 3? Subscribe to FREE World War 3 alerts. World War 3 has been planned for decades - learn about the Conspiratorial Nature of History.www.threeworldwars.com
View attachment 3125748
Mkuu achana na hizi habari. Kafuatilie ule mzigo wa Makava ya simu usije ukaupoteza, niliutuma kwa basi la Turu best linalotokea Singida kuja huko Meatu.Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.
Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.
Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.
Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.
Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)
Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇
WW3: How Will World War Three Affect You? Learn How To Prepare - Free Newsletter
How close are we to World War 3? Subscribe to FREE World War 3 alerts. World War 3 has been planned for decades - learn about the Conspiratorial Nature of History.www.threeworldwars.com
View attachment 3125748
Ni kweli kabisa, sio hofu bali ni tahadhariDunia inamwenyewe naye ni Mwenyez mungu Hivyo Usiwe na hofu
Hapana haina vikosi, ina kikundi cha ngomaUN Ina vikosi kumbe? Yani Kwa huu ujinga Taifa Lina hasara
Hakuna anayetaka kuwadhibiti, wote ni watoto wa baba mmoja, wanazozana kwenye media usiku wanakutana kwenye ibada.Wakidhibitiwa Netanyahu,Putin na Kim Dunia inakuwa mahala salama pa kuishi
Hoja yako ni ipi hapo?🚮🚮🚮🚮 Kabisa ,UN Ina vikosi? Kwamba wewe mmatumbi unayajua sana haya kuliko wahusika?