Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Use this statement "the accepted narrative surrounding those events"Is there anything in my post that you would like me to clarify?
Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake
hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan
North korea dhidi ya south.
USA ipi?? Hii ambayo inaongoza kwa madeni? Madeni ambayo wanadaiwa na Corporations za watu binafsi?Kwasasa hakuna Taifa linaloweza kutokea mashariki ya kati na kuitawala dunia.
Bado umiliki wa dunia uko kwenye mikono ya USA hakuna aliyestrong enough Kwa sasa kuchukua kijiti cha USA.
Sisi wengine hatujali watapigana hawatapigana ni juu yao, tusubiri madhara tu
Historia yako ni ya kibibilia.Taifa la israeli halikuanza 1948 bali 700B.C Chini ya Mfalme Sauli
China nao wameanza vitisho kwa Taiwan, Urusi ataendelea na Ukraine, pande zote moto utawaka.Kweli vitisho na maandalizi yamepamba moto
Huko Kiduku kaamua kulipua barabara zote zinazoenda kwa jirani tena kwa mabomu ya ndege
Halafu utaona watu wakisikia mwisho wa Dunia wanaenda kununua Toilet paper na maji sijui wataenda nayo wapi
Kama wakati ule wa 2000 waliposema mwisho wa Dunia wakasomba kila kitu supermarkets daaaa
Binadamu kuna wakati mwingine sijui akili zinaturuka
View attachment 3125831
USA sio kiongozi ni superpower, bado yuko level moja na mtaifa mengine kweny kura turufu kama Russia na China.Kwasasa hakuna Taifa linaloweza kutokea mashariki ya kati na kuitawala dunia.
Bado umiliki wa dunia uko kwenye mikono ya USA hakuna aliyestrong enough Kwa sasa kuchukua kijiti cha USA.
I can't say anything about that because you brought that statement, not me.Use this statement "the accepted narrative surrounding those events"
Vita waisikie tu vijana maana huwa haina hodiChina nao wameanza vitisho kwa Taiwan, Urusi ataendelea na Ukraine, pande zote moto utawaka.
Wakati watu wakihaha supermarket, Wao tayari wamejenga underground base zao, Bunker's zakutosha na resources zikiwa ndani.
Wamejipanga.....
Sahihi kabisa, ndyomaana mwanzo niliandika tusiwe washabiki kwenye vita, vita sio jambo la kufanyia mzahaVita waisikie tu vijana maana huwa haina hodi
Njaa ikizidi jirani anakuuwa kwa debe la mahindi
USA ipi?? Hii ambayo inaongoza kwa madeni? Madeni ambayo wanadaiwa na Corporations za watu binafsi?
Hao watu wana uwezo wa kuteketeza uchumi wa USA wakitaka, sasa wameanza na dollar, wanahamia Digital Currency.......
Sio wamarekani, Marekani ni kinyago chao..Hao unaowasema ndio haohao marekani sasa, na USA ndio heaven yao.
Bali?Historia yako ni ya kibibilia.
Kabla ya mwaka 1948 hakukuwa na taifa linaloitwa Israeli.
Watu wakishatoka kunywa wanzuki zao huko vilabuni hizi ndio mada ambazo wanakuja kuanzisha JF.Ndio vizri tutapata likizo ya kwenda kazini , tukirudi kingereza hakina soko tena duniani ...Wakina Infropreneur watarudi vijijini kwao .
PalestinaBali?
Hapa ndo huwa nachoka wabongo eti tech zote kubwa mmiliki ni musreli ndo zipi hizo .Marekani na Ulaya wapo chini ya Israel, wanatumika kwa manufaa ya Israel.
Lengo la Israel au Jews ni kuporomosha na kudhohofisha utawala wa West hapa duniani, wao ndyo watakaa namba moja na nguvu yote itahamia upande wao.
Mfano: wao ndyo wamiliki wa teknolojia zote kubwa, mainstream media, financial supply (Banks), ect.
ResearchHapa ndo huwa nachoka wabongo eti tech zote kubwa mmiliki ni musreli ndo zipi hizo .