Vita kuu ya tatu imekaribia, maandalizi yamekamilika, dunia kupata mtawala baada ya machafuko

Vita kuu ya tatu imekaribia, maandalizi yamekamilika, dunia kupata mtawala baada ya machafuko

Haipo hivyo, ila israel ni kama tawi la interest ya magharibi middle east, ulaya na marekani wana mikataba ya kuilinda ,kama marekani alivyoingia mkataba na japan kuilinda at any cost
Ni kama magharibi walivyokuwa na mikataba ya kupigana na kujilinda kwa pamoja
Ila sasa huyu kichaa wa sasa amesjaonyesha kuwa ni kichwa kibovu, aliingilia uchaguzi wa ufaransa kutaka kumtoa macron ,bahati macron kashinda na kazuia silaha kwenda israel, netanyahu anabaki kulilia
Halafu mambo ya ajabu anyofanya tofauti hata na ustaarabu wa nchi za magharibi na maslahi ya nchi za magharibi
Yes hawana budi kuisaidia israel ila netanyahu wameshamuona hawafai anawaingiza kwemye matatizo makubwa
Marekani na Ulaya wapo chini ya Israel, wanatumika kwa manufaa ya Israel.

Lengo la Israel au Jews ni kuporomosha na kudhohofisha utawala wa West hapa duniani, wao ndyo watakaa namba moja na nguvu yote itahamia upande wao.


Mfano: wao ndyo wamiliki wa teknolojia zote kubwa, mainstream media, financial supply (Banks), ect.
 
Sio support, ni kuhamisha mfuko wa kushoto kwenda wa kulia. Master ni mmoja. (Rothschilds)
Sidhani!

Waisrael ni jamii ya watu weusi walio wengi kuliko weupe!

Hao unaowaita waisrael ni jamii ya wazungu, Germany, turkey na wazungu wengine!

Waisral wapo Ethiopia na huku Africa ni sisi watu weusi na sio hao!!
 
Unajua kama Washindi wa vita vya pili vya Dunia ndo waliounda UN na kujipa haki ya kura ya VETO wao wenyewe na kuwakusanya wengine wote kwenye kapu moja ili wawasimamie vizuri bila kufurukuta wakiwa ndani ya kapu wakati huo wao wakijivinjari nje ya kapu wakifanya kila wanachoona ni sahihi kwao? Matrekani wanatanua na kujipimia tu nani wampige na nani wamuache, Urusi anajipimia tu size aipendayo, China majirani zake wote wanawapika mkwara anavyotaka. UK na Ufaransa wanajimegea tu rasilimali za Dunia. UN ni desig work ya hao washindi wa vita vya wazungu ingawa waliibatiza kuwa vita vya Dunia. wakati sisi afrika hatukuwa na maslahi yoyote na vile vita.
Sawa sawa.
Hata hivyo vita haiamuliwi na ndoto kwa kuwa una silaha nzito.
Hitler alikuwa na uhakika wa 💯 kushinda vita na alibakisha kilomita chache kuiteka Moscow lakini alishindwa na mwisho taifa lake likaishia kugawanyika.

Hata Marekani yenye maguvu inaweza kufutwa na kugawanyika kwenye vinchi vingi kutoka kwenye Muungano wao.
Vita ni kama Kimbunga, ina tabia ya kubadirisha Jiografia ya baadhi maeneo.
 
Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.

Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.

Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.

Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.

Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)

Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇


View attachment 3125748
anaweza kuingia mtawala katili wote tukashika vichwa, hata msaada tukakosa ikawa ndio mwisho wetu third world countries
 
Ni upuuuzi kuita vita vya mabeberu vita vya dunia, dunia haikuwahi kushika bunduki!
 
Ni upuuuzi kuita vita vya mabeberu vita vya dunia, dunia haikuwahi kushika bunduki!
Mabeberu wakitoweka ghafla nini kitatokea kwa chumi zetu ambazo asilimia kubwa zinategemea wao?

Vita ni mtaji wa matajiri, matajiri ambao wanakopesha nchi zetu kwa pesa zao binafsi.... Rothschild's
 
Back
Top Bottom