Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Watu wanatafuta wateja wa bidhaa zao hakuna vita ya 3 hapo.Fungua link hiyo uone mengine ambayo yatakushangaza zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanatafuta wateja wa bidhaa zao hakuna vita ya 3 hapo.Fungua link hiyo uone mengine ambayo yatakushangaza zaidi.
🤣😂Bora dunia ifutike tu, kilakitu kianze upya...🙄
🤣🤣Tunakusikiliza mchambuzi wa mambo ya vita kimataifa kutokea newala
Ulichokileta ni:na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)
Bidhaa gani?Watu wanatafuta wateja wa bidhaa zao hakuna vita ya 3 hapo.
Watu wa sampuli yako hampendi uhuru wa fikra..mko tayari kuliwa kibonga in the name of misaada..pambaffMabeberu wakitoweka ghafla nini kitatokea kwa chumi zetu ambazo asilimia kubwa zinategemea wao?
Vita ni mtaji wa matajiri, matajiri ambao wanakopesha nchi zetu kwa pesa zao binafsi.... Rothschild's
After more than three years of being a conspiracy theorist, I've discovered that conspiracy theorists are the ones that discover the truth before the majority of people do.Ulichokileta ni:
conspiracy theory, an attempt to explain harmful or tragic events as the result of the actions of a small powerful group. Such explanations reject the accepted narrative surrounding those events
![]()
Conspiracy theory | Definition, Examples, & Facts | Britannica
Conspiracy theory, an attempt to explain harmful or tragic events as the result of the actions of a small powerful group. Such explanations reject the accepted narrative surrounding those events; indeed, the official version may be seen as further proof of the conspiracy.www.britannica.com
conspiracy theory
a belief that an event or situation is the result of a secret plan made by powerful people
![]()
conspiracy theory
1. a belief that an event or situation is the result of a secret plan made by…dictionary.cambridge.org
Nb: Unaelewa maana ya hii kauli??
narrative surrounding those events
Well, nadhani hujaelewa Nilicho andika, huo ni uhalisia wa mambo, sisi ni watumwa wa mabeberu, sipendi hivyo, lakini ndio uhalisia.Watu wa sampuli yako hampendi uhuru wa fikra..mko tayari kuliwa kibonga in the name of misaada..pambaff
Sahihi, dunia sasa ni uwanja wa tabu, damu na mateso. Ngoma ikilia sana inapasuka, hata historia imeonesha mipasuko ya awali....Hatuwezi kupuuza kabisa! Hata kama haya yalishatokea huko miaka na karne zilizopita,tunaona yanajirudia!
Dhiki na Shida zimeongezeka,Dhuruma,Mauaji,Vita na Chuki vimeongezeka,Njaa na mateso,Umasikini,matetemeko na majanga ya asili.
Kila mmoja ashike alichonacho!
Unajua huwa wanatuitaje?Acha kututisha hii dunia bado ipo sana tuu tutaendelea kuenjoy
Can you really prove to us 100%??I've discovered that conspiracy theorists are the ones that discover the truth before the majority of people do.
Yes I can, do you have a time?Can you really prove to us 100%??
From your today's postWhere would you like to begin?
Is there anything in my post that you would like me to clarify?From your today's post
Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna atakaye faidika nayo si waislamu wala wakristo.
Midle East ndyo kitovu cha dunia, asili na historia ya maisha ya mwanadamu. Huko ndipo palikuwa mwanzo na patakuwa mwisho.
Vita kuu ya tatu ipo njiani, Israel Vs Arabs, Marekani ataingilia na kutoa kiasi kikubwa cha wanajeshi wake, hapo ndipo China atapata nafasi ya kuvamia Taiwan, North korea dhidi ya south.
Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka.
Dunia itaingia katika state of emergency, na hapo ndipo mtawala mpya atatokea, mshindi kati ya Arabs Vs Israel, na ataitawala dunia kwa sheria zake, atakaye mpinga hatoishi, na wengine kuishia magerezani.(Order out of chaos)
Ukihitaji kufahamu zaidi kuhusu vita kuu ya tatu ya dunia, fungua link hii na utajifunza zaidi.👇
WW3: How Will World War Three Affect You? Learn How To Prepare - Free Newsletter
How close are we to World War 3? Subscribe to FREE World War 3 alerts. World War 3 has been planned for decades - learn about the Conspiratorial Nature of History.www.threeworldwars.com
View attachment 3125748
Hii ni kumbukumbu, nimeiweka mapema kabla mambo hayajakolea, ipo siku tutarejea uzi huu."Wakati taifa la Marekani likiwa halina ulinzi wa kutosha, hapo ndipo vikosi vya UN vitaingia Marekani na kuchukua mamlaka."
Nikuombe uutunze huu uzi wako tuurejee muda muafaka mbinguni au hapa duniani.