Vita nyingine by Communists iko mbioni

Vita nyingine by Communists iko mbioni

Taiwan NI wabishi Sana afu washajiaandaa miaka
Taiwan kwa namna yoyote hawawezi kupigana na China. Ubishi wa Taiwan unaonekana kwa sababu ya upole wa China, ila China ikiamua hapo hamna kitu.

Hata hao mataifa makubwa Taiwan anadhani yatamsaidia hakuna kitu watakachoweza kufanya ikiwa China atakuwa amwedhamiria kuichukua Taiwan.

Mbaya zaidi hicho ni kisiwa kwa msingi huo kinachoingia na kinachotoka ni rahisi kuki monitor tofauti kama ingelikuwa ni tofauti.
 
Taiwan kwa namna yoyote hawawezi kupigana na China. Ubishi wa Taiwan unaonekana kwa sababu ya upole wa China, ila China ikiamua hapo hamna kitu.

Hata hao mataifa makubwa Taiwan anadhani yatamsaidia hakuna kitu watakachoweza kufanya ikiwa China atakuwa amwedhamiria kuichukua Taiwan.

Mbaya zaidi hicho ni kisiwa kwa msingi huo kinachoingia na kinachotoka ni rahisi kuki monitor tofauti kama ingelikuwa ni tofauti.
Humu jf wachambuzi wa mchongo wengi sana. Ingekuwa rahisi hivyo unadhani Taiwan ingekuwepo mpaka leo?
Japan ilikuwa kisiwa kidogo tu ila ndo ilikuwa super power wa Asia kipindi hicho.
 
Humu jf wachambuzi wa mchongo wengi sana. Ingekuwa rahisi hivyo unadhani Taiwan ingekuwepo mpaka leo?
Japan ilikuwa kisiwa kidogo tu ila ndo ilikuwa super power wa Asia kipindi hicho.
imperial japan kazikazi hawa
 
Humu jf wachambuzi wa mchongo wengi sana. Ingekuwa rahisi hivyo unadhani Taiwan ingekuwepo mpaka leo?
Japan ilikuwa kisiwa kidogo tu ila ndo ilikuwa super power wa Asia kipindi hicho.
Hapa unachanganya misingi ya kujengea hoja na kuleta uhalisia.

Zama za China na Japan tofauti na zama za sasa hivi. Hata kama ukisema Japan ilikuwa super power wa Asia kwa hii nafasi ukiileta kwa Taiwan ipo?

Kwa siku moja Russia ilikuwa inarusha makombora takribani elfu 20+ mpaka elfu 30. Idadi hii kwa Ukraine ni kubwa ikamfanye Ukraine ilalamike na kuomba msaada zaidi kwa nchi wanachama wa west.

Iran huwa anaishambulia Israel kwa makombora mengi kuanzia 200 na kuendelea na athari zinaonekana Israel anazozipata kwenye miundombinu yake ya kijeshi.

Makombora mengi yana jam mifumo ya ulinzi ya anga, inazidiwa na inashindwa kufanya kazi hivyo athari za moja kwa moja kwako haziepukiki. Hivi ndivyo wataalamu wanavyosema.

Tujaribu kuiangalia hii fact.
China kwa siku ikishambulia kwa makombora takribani elfu 30 Taiwan itakuwa wapi? Afanye non stop kwa siku 3 au 4 mfululizo Taiwan itakuwa wapi?
 
imperial japan kazikazi hawa
Sasa huyo Bw. startergear anafananisha nguvu ya Japan kwa zama hizo na anaifananisha na Taiwan kwa sasa hivi kwa namna yake anayoiona yeye kuwa Taiwan tunaidogesha dhidi ya China kwa sababu ya udogo wake wa kilometers za mraba kwa kusema ukubwa si hoja!

Swali muhimu, huo ukubwa si hoja Taiwan anao dhidi ya China?
 
Taiwan kwa namna yoyote hawawezi kupigana na China. Ubishi wa Taiwan unaonekana kwa sababu ya upole wa China, ila China ikiamua hapo hamna kitu.

Hata hao mataifa makubwa Taiwan anadhani yatamsaidia hakuna kitu watakachoweza kufanya ikiwa China atakuwa amwedhamiria kuichukua Taiwan.

Mbaya zaidi hicho ni kisiwa kwa msingi huo kinachoingia na kinachotoka ni rahisi kuki monitor tofauti kama ingelikuwa ni tofauti.
Uchambuzi wako umenichekesha Sana. Ungekuwa umesoma tungebishana ila kuokoa muda,uko sahihi
 
Hakuna kitu hapo ...sema china inaitaka taiwana na uchumi wake ndiyo sababu wanatumia njia mbadala vingi nevyo wangeipiga miezi 3 tu kwisha kazi
China kapigana vita gani unavyoweza kuchukua kama reference
 
Uchambuzi wako umenichekesha Sana. Ungekuwa umesoma tungebishana ila kuokoa muda,uko sahihi
Kuna kujibu kwa namna mbili:
1)Kitaalamu na
2)Kikawaida

Katika hayo mawili huwa nachagua namna ya kumjibu mtu kulingana na uwasilishaji wake wa hoja.

Ulivyowasilisha hoja ukaangukia kwenye namba 2.

Kujibu kikawaida ni mbadala.wa kitaalamu na lengo hata yule asiye na ufahamu wowote angalau afahamu kipi kinachozungumziwa.
 
Kuna kujibu kwa namna mbili:
1)Kitaalamu na
2)Kikawaida

Katika hayo mawili huwa nachagua namna ya kumjibu mtu kulingana na uwasilishaji wake wa hoja.

Ulivyowasilisha hoja ukaangukia kwenye namba 2.

Kujibu kikawaida ni mbadala.wa kitaalamu na lengo hata yule asiye na ufahamu wowote angalau afahamu kipi kinachozungumziwa.
Mbona maelezo mengi wakati nimeunga hoja yako mkono ili na wewe ujiskie vizuri kuwa unamawazo mazuri kama wengine. Si vizuri wanaojua, kukubeza. Ila ni Jambo jema iwapo unakuta mmoja wa wanaojua upeo wako NI mdogo lakini akakuunga mkono ili uendelee kujieleza na kufichua udhaifu WA fikra uliokuwa umejificha.
 
Hapa unachanganya misingi ya kujengea hoja na kuleta uhalisia.

Zama za China na Japan tofauti na zama za sasa hivi. Hata kama ukisema Japan ilikuwa super power wa Asia kwa hii nafasi ukiileta kwa Taiwan ipo?

Kwa siku moja Russia ilikuwa inarusha makombora takribani elfu 20+ mpaka elfu 30. Idadi hii kwa Ukraine ni kubwa ikamfanye Ukraine ilalamike na kuomba msaada zaidi kwa nchi wanachama wa west.

Iran huwa anaishambulia Israel kwa makombora mengi kuanzia 200 na kuendelea na athari zinaonekana Israel anazozipata kwenye miundombinu yake ya kijeshi.

Makombora mengi yana jam mifumo ya ulinzi ya anga, inazidiwa na inashindwa kufanya kazi hivyo athari za moja kwa moja kwako haziepukiki. Hivi ndivyo wataalamu wanavyosema.

Tujaribu kuiangalia hii fact.
China kwa siku ikishambulia kwa makombora takribani elfu 30 Taiwan itakuwa wapi? Afanye non stop kwa siku 3 au 4 mfululizo Taiwan itakuwa wapi?
Unapozungumza hivi boss! Wewe ni mwenyeji wa China, Taiwan au Tanzania!

Samahani boss
 
Taiwan kwa namna yoyote hawawezi kupigana na China. Ubishi wa Taiwan unaonekana kwa sababu ya upole wa China, ila China ikiamua hapo hamna kitu.

Hata hao mataifa makubwa Taiwan anadhani yatamsaidia hakuna kitu watakachoweza kufanya ikiwa China atakuwa amwedhamiria kuichukua Taiwan.

Mbaya zaidi hicho ni kisiwa kwa msingi huo kinachoingia na kinachotoka ni rahisi kuki monitor tofauti kama ingelikuwa ni tofauti.
Kwa mfupa uliokwama kooni kwa Urusi lazima Mchina afikirie mara mbili mbili.
 
Back
Top Bottom