Vita nyingine by Communists iko mbioni

Vita nyingine by Communists iko mbioni

Humu jf wachambuzi wa mchongo wengi sana. Ingekuwa rahisi hivyo unadhani Taiwan ingekuwepo mpaka leo?
Japan ilikuwa kisiwa kidogo tu ila ndo ilikuwa super power wa Asia kipindi hicho.
Unafahamu utofauti wa 1930s,1940s na 2024.

Nikuulize swali jepesi tu Japan leo hii 2024 inaweza kuivamia China ?
 
Madhara ya vita huchukua hata miongo kadhaa kurudi kwenye maendeleo, miundo mbinu, utulivu, upendo na amani.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Unafahamu utofauti wa 1930s,1940s na 2024.

Nikuulize swali jepesi tu Japan leo hii 2024 inaweza kuivamia China ?
Japan kapotea katika ramani ya vita na hana mpango wowote na mambo ya vita
 
China na Taiwan ni ndugu moja tofauti zao na vita ndiyo ilivitenganisha.
Hofu ya Marekani China na Taiwani zikiungana China itakuwa na nguvu kubwa kiuchumi na kijeshi ndio maana Marekani anatia chokochoko.
Wake mezani wakubaliane Kama China na Hong Kong zilivyokubaliana.
 
Back
Top Bottom