Vita, vibali, kuta na mageti vinatumika kama silaha kutaka kuimaliza Palestina

Vita, vibali, kuta na mageti vinatumika kama silaha kutaka kuimaliza Palestina

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Israel tangu kuundwa kwake limekuwa ni taifa hatari sana kwa usalama wa wenyeji waliowakuta na usalama wa majirani zake wote na hata kwa ulimwengu mzima.

Taifa hilo linaongoza kwa kupinga maazimio ya umoja wa mataifa na hata kuvunja mikataba inayowekeana na majirani zao.

Kwa ujumla ni taifa ambalo limepata nguvu sana kwa kufanya mambo haramu.Ina silaha kali aina zote ikiwemo nyuklia na huwa haiogopi kutumia silaha yoyote iliyonayo hata ikiwa inapambana na warusha mawe na haijali iwapo silaha zake hizo zitauwa wakubwa ama wadogo.

Pamoja na silaha hizo kali na vita,Israel ina silaha nyengine za kimya kimya katika kufikia malengo yake,lengo kuu ikiwa ni kumaliza kabisa kelele za kuwepo taifa la wapalestina.

Jumla ya maazimio yanayoihusu Israel na Palestina yapo zaidi ya 200.Kati ya hayo lipo azimio namba 2334 la mwaka (2016) linalohusu kutokuyavunja majumba ya wapalestina na kujenga maeneo hayo majumba mengine kwa ajili ya mayahudi.Kinyume chake tangu kupitishwa kwa azimio hilo ndio kasi ya kuvunja na kujenga imeongezeka.

Kuna maazimio ambayo Israel huwa inayavunja tu kibabe kama hilo hapo juu lakini bado kuna mengine huwa inayavunja kwa kutumia mbinu za kimya kimya na kifisadi ikiwemo hayo maazimio yanayohusu makazi ya wapalestina.

Kwanza Israel hujifanya ni nchi ya sheria sana na kwamba kila unachokifanya ni lazima upate kibali.Lakini sheria hizi huwa zinakusudiwa ni kwa ajili ya kuwakandamiza wapalestina peke yao.Kila anachotaka kukifanya mpalestina lazima aombe kibali.Tatizo kibali huwa hakitolewe kwa mpalestina yoyote na hutolewa kwa waisrael wengine peke yao.

Mtindo wa nenda uje kesho hutumika mpaka mwisho.Mpalestina yoyote akiamua kufanya kitu kwa kuchoka kusubiri kibali, huwa ni kibali kingine kwa mamlaka za Israel cha kuvunja na kuvuruga eneo lote na kufukuzwa pale alipo.

Moja ya aina ya vibali anachotakiwa kukiomba mpalestina na anakikosa ni kujenga au kuzibua mifumo ya maji taka.Kutokana na kukosekana kwa kibali hicho maeneo ya wapalestina yanakuwa ni machafu na kusababisha matatizo ya kiafya kwa wapalestina.

Mvua inaponyesha pia wapalestina huwa wanazuiwa kukinga maji hayo na kuyatumia ikitajwa maji ya mvua ni mali ya Israel.

Wapalestina wanaoishi pembezoni mwa bahari huwa hawaruhusiwi kuvua samaki bila kibali na wakienda baharini huwa si salama kwao kwani wanauliwa muda wowote kwa shabaha za aina mbali mbali.

Vibali hivyo vya uvuvi kinyume chake hutolewa kwa wavuvi wa kiyahudi peke yao ambao huvua mbele ya macho ya wapalestina.

Kwa mujibu wa mtaalamu mmoja wa Israel amesema nchi hiyo ina ukoloni wa kiarchitecture,kwamba ramani iko tayari ya kila kitu kinachotakiwa kujengwa kwenye maeneo walipo wapalestina wakianzia na maeneo yote yenye vyanzo vya maji na ardhi nzuri ya kilimo pamoja na maeneo yenye miinuko.

Kila majengo mapya yanayojengwa huwa yanatenganishwa na kuta au seng'enge nzito kiasi kwamba wapalestina waliokuwa majirani huwa wanaonana kwa macho tu lakini hawawezi tena kutembeleana

Palestinians Forbidden from Collecting Rainwater Because It’s Deemed ‘Israeli Property’?

 
Hata mtu akiwa na silaha kali huwezi kuridhia aendelea kukuchokonoa.Ni tabia ya kibinadamu kuwa tutaendelea kuviziana.Na inajulikana hakuna mbabe amshindae muumba wa Ulimwengu.
Sasa ndo wakae kwa kutulia watunishiane misuli kidogo....hakuna kupiga kelele mpaka mshindi apatikane
 
Hata mtu akiwa na silaha kali huwezi kuridhia aendelea kukuchokonoa.Ni tabia ya kibinadamu kuwa tutaendelea kuviziana.Na inajulikana hakuna mbabe amshindae muumba wa Ulimwengu.
kwamba hamas wamemchokonoa? waislam ndo watu wajinga dunian , ukiwa jambaz na unataka mambo yaende vzr ktk ujambaz wako bas badili dini uwe muislam , hata ushikwe waislam watasema umeshikwa kisa muislam
 
Hawa jamaa kila sehemu wanayokaribishwa huwa ni lazima wakinukishe kwa kujiona wao ni bora kuliko wenyeji wao, wanaanzisha ubaguzi na kuwanyanyasa wenyeji, mwisho wa siku wenyeji uvumilivu unawashinda na kuamua kulipa kisasa pamoja na kuwatimua kabisa kwenye nchi zao.

Hii hapa chini ni orodha ya nchi zilizoshindwa kuwavumilia na kuamua kuwatimua katika kipindi cha karne moja iliyopita.

1080 - Expelled from France.

1098 - Expelled from the Czech Republic.

1113 - Expelled from Kievan Rus (Vladimir Monomakh).

1113- Massacre of Jews in Kiev.

1147 - Expelled from France.

1171 - Expelled from Italy.

1188 - Expelled from England.

1198 - Expelled from England.

1290 - Expelled from England.

1298 - Expelled from Switzerland (100 Jews executed by hanging).

1306 - Expelled from France (3,000 burned alive).

1360 - Expelled from Hungary.

1391 - Expelled from Spain (30,000 executed, 5,000 burned alive).

September 17, 1394 - Expelled from France.

1407 - Expelled from Poland.

1492 - Expelled from Spain (law banning Jews from entering the country forever).

1492 - Expelled from Sicily.

1495 - Expelled from Lithuania and Kiev.

1496 - Expelled from Portugal.

1510 - Expelled from England.

1516 - Expelled from Portugal.

1516- Laws in Sicily allow Jews to live only in ghettos.

1541 - Expelled from Austria.

1555 - Expelled from Portugal.

1555-A law is passed in Rome allowing Jews to live in ghettos only.

1567 - Expelled from Italy.

1570 - Expelled from Germany (Brandenburg).

1580 - Expelled from Novgorod (Ivan the Terrible).

1592 - Expelled from France.

1616 - Expelled from Switzerland.

1629 - Expelled from Spain and Portugal

1634 - Expelled from Switzerland.

1655 - Expelled from Switzerland.

1660 - Expelled from Kyiv.

1701- Completely expelled from Switzerland (Edict of Philip V).

1806 - Napoleon's Ultimatum.

1828 - Expelled from Kyiv.

1933 - Expelled from Germany (Holocaust)
 
Hawa jamaa kila sehemu wanayokaribishwa huwa ni lazima wakinukishe kwa kujiona wao ni bora kuliko wenyeji wao, wanaanzisha ubaguzi na kuwanyanyasa wenyeji, mwisho wa siku wenyeji uvumilivu unawashinda na kuamua kulipa kisasa pamoja na kuwatimua kabisa kwenye nchi zao.

Hii hapa chini ni orodha ya nchi zilizoshindwa kuwavumilia na kuamua kuwatimua katika kipindi cha karne moja iliyopita.

1080 - Expelled from France.

1098 - Expelled from the Czech Republic.

1113 - Expelled from Kievan Rus (Vladimir Monomakh).

1113- Massacre of Jews in Kiev.

1147 - Expelled from France.

1171 - Expelled from Italy.

1188 - Expelled from England.

1198 - Expelled from England.

1290 - Expelled from England.

1298 - Expelled from Switzerland (100 Jews executed by hanging).

1306 - Expelled from France (3,000 burned alive).

1360 - Expelled from Hungary.

1391 - Expelled from Spain (30,000 executed, 5,000 burned alive).

September 17, 1394 - Expelled from France.

1407 - Expelled from Poland.

1492 - Expelled from Spain (law banning Jews from entering the country forever).

1492 - Expelled from Sicily.

1495 - Expelled from Lithuania and Kiev.

1496 - Expelled from Portugal.

1510 - Expelled from England.

1516 - Expelled from Portugal.

1516- Laws in Sicily allow Jews to live only in ghettos.

1541 - Expelled from Austria.

1555 - Expelled from Portugal.

1555-A law is passed in Rome allowing Jews to live in ghettos only.

1567 - Expelled from Italy.

1570 - Expelled from Germany (Brandenburg).

1580 - Expelled from Novgorod (Ivan the Terrible).

1592 - Expelled from France.

1616 - Expelled from Switzerland.

1629 - Expelled from Spain and Portugal

1634 - Expelled from Switzerland.

1655 - Expelled from Switzerland.

1660 - Expelled from Kyiv.

1701- Completely expelled from Switzerland (Edict of Philip V).

1806 - Napoleon's Ultimatum.

1828 - Expelled from Kyiv.

1933 - Expelled from Germany (Holocaust)
Kila wanapofukuzwa baadae hurudi kwa hadaa.Hujifanya kuna makaburi ya babu zao wanakuja kuyalimia.Baada ya hapo wanajenga na vibanda vya kuyalinda.Wataendelea namna hiyo mpaka watajifanya wao ni wenyeji kwa mara nyengine na kutaka watu wengine wasiwakaribie wala wasiwabughudhi.
 
Wapalestina bana, eti wamenyimwa kukinga maji ya mvua 🤣🤣
 
Wapalestina bana, eti wamenyimwa kukinga maji ya mvua 🤣🤣
Si umeona mwenyewe.Hukuwa ukijua kuwa wayahudi ni watu waliolaaniwa.Vitu vya Mungu navyo wanasema ni vyao wenzao wasivipate.
 
Israel tangu kuundwa kwake limekuwa ni taifa hatari sana kwa usalama wa wenyeji waliowakuta na usalama wa majirani zake wote na hata kwa ulimwengu mzima.

Taifa hilo linaongoza kwa kupinga maazimio ya umoja wa mataifa na hata kuvunja mikataba inayowekeana na majirani zao.

Kwa ujumla ni taifa ambalo limepata nguvu sana kwa kufanya mambo haramu.Ina silaha kali aina zote ikiwemo nyuklia na huwa haiogopi kutumia silaha yoyote iliyonayo hata ikiwa inapambana na warusha mawe na haijali iwapo silaha zake hizo zitauwa wakubwa ama wadogo.

Pamoja na silaha hizo kali na vita,Israel ina silaha nyengine za kimya kimya katika kufikia malengo yake,lengo kuu ikiwa ni kumaliza kabisa kelele za kuwepo taifa la wapalestina.

Jumla ya maazimio yanayoihusu Israel na Palestina yapo zaidi ya 200.Kati ya hayo lipo azimio namba 2334 la mwaka (2016) linalohusu kutokuyavunja majumba ya wapalestina na kujenga maeneo hayo majumba mengine kwa ajili ya mayahudi.Kinyume chake tangu kupitishwa kwa azimio hilo ndio kasi ya kuvunja na kujenga imeongezeka.

Kuna maazimio ambayo Israel huwa inayavunja tu kibabe kama hilo hapo juu lakini bado kuna mengine huwa inayavunja kwa kutumia mbinu za kimya kimya na kifisadi ikiwemo hayo maazimio yanayohusu makazi ya wapalestina.

Kwanza Israel hujifanya ni nchi ya sheria sana na kwamba kila unachokifanya ni lazima upate kibali.Lakini sheria hizi huwa zinakusudiwa ni kwa ajili ya kuwakandamiza wapalestina peke yao.Kila anachotaka kukifanya mpalestina lazima aombe kibali.Tatizo kibali huwa hakitolewe kwa mpalestina yoyote na hutolewa kwa waisrael wengine peke yao.

Mtindo wa nenda uje kesho hutumika mpaka mwisho.Mpalestina yoyote akiamua kufanya kitu kwa kuchoka kusubiri kibali, huwa ni kibali kingine kwa mamlaka za Israel cha kuvunja na kuvuruga eneo lote na kufukuzwa pale alipo.

Moja ya aina ya vibali anachotakiwa kukiomba mpalestina na anakikosa ni kujenga au kuzibua mifumo ya maji taka.Kutokana na kukosekana kwa kibali hicho maeneo ya wapalestina yanakuwa ni machafu na kusababisha matatizo ya kiafya kwa wapalestina.

Mvua inaponyesha pia wapalestina huwa wanazuiwa kukinga maji hayo na kuyatumia ikitajwa maji ya mvua ni mali ya Israel.

Wapalestina wanaoishi pembezoni mwa bahari huwa hawaruhusiwi kuvua samaki bila kibali na wakienda baharini huwa si salama kwao kwani wanauliwa muda wowote kwa shabaha za aina mbali mbali.

Vibali hivyo vya uvuvi kinyume chake hutolewa kwa wavuvi wa kiyahudi peke yao ambao huvua mbele ya macho ya wapalestina.

Kwa mujibu wa mtaalamu mmoja wa Israel amesema nchi hiyo ina ukoloni wa kiarchitecture,kwamba ramani iko tayari ya kila kitu kinachotakiwa kujengwa kwenye maeneo walipo wapalestina wakianzia na maeneo yote yenye vyanzo vya maji na ardhi nzuri ya kilimo pamoja na maeneo yenye miinuko.

Kila majengo mapya yanayojengwa huwa yanatenganishwa na kuta au seng'enge nzito kiasi kwamba wapalestina waliokuwa majirani huwa wanaonana kwa macho tu lakini hawawezi tena kutembeleana

Palestinians Forbidden from Collecting Rainwater Because It’s Deemed ‘Israeli Property’?

Wafia dini sasa hivi mko vizuri kwenye kuandika propaganda za kutafuta huruma za kimataifa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kama mnajua Israel ana silaha mlienda kumvamia mkaua wayahudi 1400 kisha mkajificha hospital,shuleni,na kambi za wakimbizi mlitegemea Israel angefanyaje?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Vipi, Jordan bado anasogeza majeshi yake mpakani ili kupigana na Israeli mwenye silaha kali au?
 
Back
Top Bottom