Vita, vibali, kuta na mageti vinatumika kama silaha kutaka kuimaliza Palestina

Vita, vibali, kuta na mageti vinatumika kama silaha kutaka kuimaliza Palestina

Jordan na waarabu wenzake walitandikwa na Israel kwa siku 6 haweza akarudia upuuzi kama huo

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hadithi za zamani hizo.
Kwani ukipigwa mara moja ndio lazima upigwe tena.
Kwenye ndondi mtu anapigwa raundi ya 3 na ya 5 halafu anapiga na kushinda kwa NO raundi ya 10
Jordan akiamua kupigana sasa hivi kuwasaidia wapalestina basi ataungwa mkono na waarabu wengine haraka na atashinda.
israel hana tena Iron dome za maana.Hizbulah tu anapenyeza makombora anapotaka.Fikiria Jordan afanye makubaliano ya siri na Hizbulah na Misri kwamba siku fulani rusha zako na mimi narusha zangu kuanzia siku fulani Tuone hapo kama Israel atapona.
 
Hadithi za zamani hizo.
Kwani ukipigwa mara moja ndio lazima upigwe tena.
Kwenye ndondi mtu anapigwa raundi ya 3 na ya 5 halafu anapiga na kushinda kwa NO raundi ya 10
Jordan akiamua kupigana sasa hivi kuwasaidia wapalestina basi ataungwa mkono na waarabu wengine haraka na atashinda.
israel hana tena Iron dome za maana.Hizbulah tu anapenyeza makombora anapotaka.Fikiria Jordan afanye makubaliano ya siri na Hizbulah na Misri kwamba siku fulani rusha zako na mimi narusha zangu kuanzia siku fulani Tuone hapo kama Israel atapona.
Ila we jamaa una moyo Sana🤣🤣🤣🤣
 
Hadithi za zamani hizo.
Kwani ukipigwa mara moja ndio lazima upigwe tena.
Kwenye ndondi mtu anapigwa raundi ya 3 na ya 5 halafu anapiga na kushinda kwa NO raundi ya 10
Jordan akiamua kupigana sasa hivi kuwasaidia wapalestina basi ataungwa mkono na waarabu wengine haraka na atashinda.
israel hana tena Iron dome za maana.Hizbulah tu anapenyeza makombora anapotaka.Fikiria Jordan afanye makubaliano ya siri na Hizbulah na Misri kwamba siku fulani rusha zako na mimi narusha zangu kuanzia siku fulani Tuone hapo kama Israel atapona.
Hivi waislamu mnafundishwaga ubishi vita 1967 waarabu walipigwa siku 6 baadaye misri na syria wakajaribu tena mwaka 1973 kama wewe unavyojipa moyo wakapigwa tena vita vya yomkippur huu ubishi hata Hamas wamejaribu kuichokoza Israel matokeo yake Gaza ni magofu na wapalestina 13000 wameuawa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hadithi za zamani hizo.
Kwani ukipigwa mara moja ndio lazima upigwe tena.
Kwenye ndondi mtu anapigwa raundi ya 3 na ya 5 halafu anapiga na kushinda kwa NO raundi ya 10
Jordan akiamua kupigana sasa hivi kuwasaidia wapalestina basi ataungwa mkono na waarabu wengine haraka na atashinda.
israel hana tena Iron dome za maana.Hizbulah tu anapenyeza makombora anapotaka.Fikiria Jordan afanye makubaliano ya siri na Hizbulah na Misri kwamba siku fulani rusha zako na mimi narusha zangu kuanzia siku fulani Tuone hapo kama Israel atapona.
Hiyo Hezbollah inaendelea kucheza mchezo wa hatari imeshaonywa na Israel mara nyingi itaiponza Lebanon kwa kudanganywa na Israel hivi mpaka leo hamfahamu Israel ni taifa la nuklia hivi Lebanon ikifunikwa na makombora ya nuklia mtalia dunia nzima wafia dini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Jibu ni moja.........mipalestina itulie na hiache uchokozi wa kijinga.........hakuna kutafuta sympathy kwenye vitu vya kujitakia...........na wewe muislam kanzu maana kama dini huko mecca kwenye uislam wenyewe linachezwa disco vizuri tu na hawana mawewe kama wewe......wewe tulia watu wanae nda na modern Islamic culture hawataki mambo ya mudi ya mabikira 72 ni uongo mkubwa ..........
 
Si umeona mwenyewe.Hukuwa ukijua kuwa wayahudi ni watu waliolaaniwa.Vitu vya Mungu navyo wanasema ni vyao wenzao wasivipate.
Kwa hiyo na wewe unakubali kuwa ni kweli wanazuiwa kukinga maji ya mvua? , Mengine yanaweza kuwa kweli ila siyo hilo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom