Hata wakati wa mtume wanafiki walikuwepoMiaka ya nyuma Lebanon, Jordan, Misri na Syria walipokea wakimbizi toka Palestina.
Lakini baada ya muda hawa watu walianzisha vikundi vya kigaidi ndani ya Nchi hizo na madhara yalikuwa makubwa sana!
Lebanon ndio hawa Hizbollah waliiteka Nchi!
Misri walianzisha vikundi vya kigadi kaskazini ya nchi na viliisumbua sana Misri!
Jordan hivyohivyo hadi waliomba msaada Israel ili kuwamaliza!
Kwani waarabu unafiki wameanza leo?Kweki warabu wana roho mbaya sana.
Yaani hata kupokea Wakimbizi tu?
Mbona wao wamekimbilia Wengi Ulaya na Marekani?
Wanajua kulia lia tu hawana Utu wa kusaidia wakimbizi.
Shekh Mwaipopo anasema hakuna watu wanafiki kama Watawala wa Kiarabu......kweli nimeamini.
Kilichonyuma ya pazia ni kwamba; falme za kiarabu zilikwishaingia mkataba wa kulindwa kwa falme zao na US.Miaka ya nyuma Lebanon, Jordan, Misri na Syria walipokea wakimbizi toka Palestina.
Lakini baada ya muda hawa watu walianzisha vikundi vya kigaidi ndani ya Nchi hizo na madhara yalikuwa makubwa sana!
Lebanon ndio hawa Hizbollah waliiteka Nchi!
Misri walianzisha vikundi vya kigadi kaskazini ya nchi na viliisumbua sana Misri!
Jordan hivyohivyo hadi waliomba msaada Israel ili kuwamaliza!
Ndio maana Saudi wameshtuka wameamua kupiga pombe tuKwani waarabu unafiki wameanza leo?
Waliwafanyia unafiki mpaka dola ya Ottoman dhidi ya Waingereza.
Qatar historia yao wakawa wanaitoa kuwa waturuki walikuwa wakiwabagua waarabu kitu ambacho si kweli. Yaani yote ili wa justify unafiki wao.
Ndiyo maana tamthilia ya Ottoman Saudi Arabia imekatazwa kwa sababu mbeleni huko inaonyesha unafiki wa waarabu walivyowageuka waislamu wenzao kwa unafiki wao.
Hata Saudia wekuwa compromised kwa style hiyo.Kilichonyuma ya pazia ni kwamba; falme za kiarabu zilikwishaingia mkataba wa kulindwa kwa falme zao na US.
Kwa sasa hawana namna madaraka matamu mzee! Awatetee wapalestina au atetee ufalme wake?
Au ukubali kufa kwa kuuliwa kama mfalme Faisal?
Hakuna wa kuthubutu hilo!
Cha kufanya ni kipi sasa? Cha kufanya ni kuwa mnafiki!
Na ni wa ajabu kweli kweli!Ndio maana Saudi wameshtuka wameamua kupiga pombe tu
Mtu anakuzui usinywe oombe huku yeye kweny kasiri yake kajaza hadi Konyagi.
Kwa bahati nzuri inakuwa kinyume chake,magaidi yanakataana hata yenyewe kwa yenyewe, yanajuana yalivyo hovyo,ndiyo maana nchi ni ya kiarabu lakini haipokei wakimbizi waarabu,akili mtu wangu.Ushapokea baraka?
Wazayuni wanatakiwa wafutwe ili dunia iwe na amani
Kupokea wakimbizi wa kiparasitine utakua ushindi wa Israel kuchukua eneo lota la Gaza na kulikalia au kuweka bufferzone.Kweki warabu wana roho mbaya sana.
Yaani hata kupokea Wakimbizi tu?
Mbona wao wamekimbilia Wengi Ulaya na Marekani?
Wanajua kulia lia tu hawana Utu wa kusaidia wakimbizi.
Shekh Mwaipopo anasema hakuna watu wanafiki kama Watawala wa Kiarabu......kweli nimeamini.
Acha ushabiki israel is over rated sasa ni miezi minne bado hajaweza kuteka Gaza ka eneo kadogo kasio ruhusiwa kupata siraha mpya nje,kame zingirwa kwa miaka 16.....bado kanampa shida, sembuse full fringed country kama Misiri.Mkuu si mnatuambia Hamas anashinda vita? Misri na Jordan waliwahi kupigana vita ambayo Israeli aliteka maeneo ya nchi hizi. Egypt alikaa mezani akaomba arudishiwe eneo la mlima Sinai. Kwa historia hii, Misri au Jordan hawatataka vita nyingine na Israeli. Vita ya Gaza isikidanganye, hapo Israeli anapiga kwa ustaarabu, kwa kulinda raia.
Ikiwa ni vita proper, ndio utaona vita ya kweli ya Israeli, huyo hata Waarabu wakiungana bado hawamuwezi, ana super nuclear ya kuchoma Middle East yote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwani unafiki wa waarabu una tofauti gani na wa uswahili hawa wa kwetu.Waarabu wamewazidi waafrika kimaendeleo ila mengineyo waafrika ni bora kuliko waarabu.
Mwaarabu si mtu wa kumtegemea. Mwaarabu ana sifa ya unafiki na hajaanza nayo leo hii sifa.
Anapokea wakimbizi Wanajeshi wa Hamasi wanabaki na mapambanoKupokea wakimbizi wa kiparasitine utakua ushindi wa Israel kuchukua eneo lota la Gaza na kulikalia au kuweka bufferzone.
Warabu na Watanzania Same 100%Kwani unafiki wa waarabu una tofauti gani na wa uswahili hawa wa kwetu.
Wapalestine hawatakiwi wapokelewe na yeyote wanatakiwa wakae hapo hapo mchini kwaoKwa bahati nzuri inakuwa kinyume chake,magaidi yanakataana hata yenyewe kwa yenyewe, yanajuana yalivyo hovyo,ndiyo maana nchi ni ya kiarabu lakini haipokei wakimbizi waarabu,akili mtu wangu.
Kila mtu pale Gaza ni mgambo hakuna jeshi kamiri ni vita ya survival sio jingine kufa au kupona.Anapokea wakimbizi Wanajeshi wa Hamasi wanabaki na mapambano
Tofauti ni kwamba washali ni wanafiki masikini wenye elimu duni waarabu wanafiki wenye pesa na washika Dini, ila wote ni wale wale.Warabu na Watanzania Same 100%
Unataka wafe wanajiona?Wapalestine hawatakiwi wapokelewe na yeyote wanatakiwa wakae hapo hapo mchini kwao
Ndugu huwezi kulaumu nchi yoyote kwa matendo ya hamas, unataka nchi za kiarabu zifanye nini? Hizo nchi za kiarabu zikiingia vitani zitaweza kufua dafu mbele yaKila vita vya Gaza vinavyokuwa vikali na kuzidi kuangamiza watu na unafiki wa nchi nyingi duniani unazidi kudhihirika.
Sauti za kutetea zimekuwa zikisikika sana kutoka Ulaya na Marekani ijapokuwa zina lengo la kuvuta muda Israel afanye anavyotaka bila kuzuiwa.
Unafiki unaosikitisha zaidi ni ule wa nchi za kiarabu jirani na Gaza hasa Jordan na Misri. Wakati wana uwezo wa kuzuia ukatili huo tena unaofanywa kwa ndugu zao, wao ama wamekaa kimya au wamekuwa wakifanya vitu vya kichekesho vinavyokaribia vya kishoga.
Mfalme Abdallah muda kama huu ametoka maelfu ya kilomita kwenda Ikulu ya Marekani yeye na familia yake kuomba Israel isitishe vita na wasipige Rafah.
View attachment 2903474
Biden and Jordanian king warn about planned Israeli invasion of Rafah
Leo 2024 unazungumizia mambo ya 1973Ndugu huwezi kulaumu nchi yoyote kwa matendo ya hamas, unataka nchi za kiarabu zifanye nini? Hizo nchi za kiarabu zikiingia vitani zitaweza kufua dafu mbele ya
Israel yenye air force bora duniani huku akipata back up ya USA, Britain, France, Canada ? Hayo anayoyasema nchi za kiarabu walishafanya wakaangukia pua mwaka 1967 na 1973 na ukumbeke kipindi hicho Israel ilikuwa bado inajitafuta kiuchumi na kijeshi.
kama wafanyavyo boko haram , alshabab , taliban na ISIL ?Anasema Dini Haipiganiwi......dini ina elimishwa watu wenyewe wanaipenda.