Vita vinapiganwa nyumbani lakini Mfalme Abdullah aenda kulia Washington ili visimamishwe bila kurusha hata ngumi moja

Vita vinapiganwa nyumbani lakini Mfalme Abdullah aenda kulia Washington ili visimamishwe bila kurusha hata ngumi moja

Leo 2024 unazungumizia mambo ya 1973
Bado anaipima Israel kwa vipimo vya 1973.Hamas tu wana droni na server za chini ya ardhi mwaka huu.Hicho ni kikundi tu kilichozingirea kila pembe na kukatiwa kila kitu.Utasemaje kuhusu Yemen na Hizbullah.Unadhani Israel wana uwezo tena wa kupigana na hao
 
Ndugu huwezi kulaumu nchi yoyote kwa matendo ya hamas, unataka nchi za kiarabu zifanye nini? Hizo nchi za kiarabu zikiingia vitani zitaweza kufua dafu mbele ya
Israel yenye air force bora duniani huku akipata back up ya USA, Britain, France, Canada ? Hayo anayoyasema nchi za kiarabu walishafanya wakaangukia pua mwaka 1967 na 1973 na ukumbeke kipindi hicho Israel ilikuwa bado inajitafuta kiuchumi na kijeshi.
Airforce bora duniani tumeiona ikitumika Gaza kwenye RPG peke yake na imeshindwa kazi.
israel hali iliyonayo haiwezi tena kuvuka hata Lebanon.Kilichobaki ni unafiki na woga wa wafalme basi.
 
Ndugu huwezi kulaumu nchi yoyote kwa matendo ya hamas, unataka nchi za kiarabu zifanye nini? Hizo nchi za kiarabu zikiingia vitani zitaweza kufua dafu mbele ya
Israel yenye air force bora duniani huku akipata back up ya USA, Britain, France, Canada ? Hayo anayoyasema nchi za kiarabu walishafanya wakaangukia pua mwaka 1967 na 1973 na ukumbeke kipindi hicho Israel ilikuwa bado inajitafuta kiuchumi na kijeshi.
Myths
 
Back
Top Bottom