Vita vinapiganwa nyumbani lakini Mfalme Abdullah aenda kulia Washington ili visimamishwe bila kurusha hata ngumi moja

Leo 2024 unazungumizia mambo ya 1973
Bado anaipima Israel kwa vipimo vya 1973.Hamas tu wana droni na server za chini ya ardhi mwaka huu.Hicho ni kikundi tu kilichozingirea kila pembe na kukatiwa kila kitu.Utasemaje kuhusu Yemen na Hizbullah.Unadhani Israel wana uwezo tena wa kupigana na hao
 
Airforce bora duniani tumeiona ikitumika Gaza kwenye RPG peke yake na imeshindwa kazi.
israel hali iliyonayo haiwezi tena kuvuka hata Lebanon.Kilichobaki ni unafiki na woga wa wafalme basi.
 
Myths
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…